Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Si unaona kila mtu anavutia kwake wakati mpo wote tayari unawatoto hapo lazima utaambiwa chagua kubadili dini au aongeze mwingine afunge naye ndoa msala utaanzia hapo bora kabla ya uchumba kuliko mkiwa pamoja na watoto lakini jibu la mwisho unalo mwenyewe wengine washangiliaji tu mdadaHayupo aliyetayar kubadili
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app