Naombeni msaada kwenye picha hii

Naombeni msaada kwenye picha hii

Msaada ni wao kwa wao tu ulitarajia mabalozi na maafisa ubalozi ambao kigezo chake ni kuwa kada wa CCM au mzazi wake alikuwa mtu fulani sasa mtoto hupewa kama zawadi ndio waje wakupe msaada?
Kwa style hii ni ngumu sana , kwa maana hiyo mabalozi wetu wanaowakilisha nchi zetu hakuna kazi wanafanya sasa
 
Kwa style hii ni ngumu sana , kwa maana hiyo mabalozi wetu wanaowakilisha nchi zetu hakuna kazi wanafanya sasa
Ukipata tatizo ukiwa nje ya nchi watanzania wenzako ndio watakua wa kwanza kukusaidia kuliko hao makada wa CCM ofisi za ubalozi.
 
Hii ndiyo kazi inayomuweka mjini Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu.

3 years ago alikuwa na mgogoro mkubwa sana na issue hii ya wafanyakazi aliowapeleka
I once heard this
 
Tatzo nikuwa wanaenda nchi ya kiarabu ambayo hamuwapendi nasio kaz wala lolote

Uzi umejaa chuki bila uhalisia

Hakuna kaz ya unskilled na skilled inayolipa mshahara mzuri kuliko hiyo nchi wanayoenda kwa kaz hiyohiyo na level ya elimu hiyohiyo na kama ipo itaje
Ungenisoma vizuri na kunielewa nilicholenga usingekuja na hili la kutafuta kuhamisha hoja..

Lakini pamoja na hilo, kwa vile unahamishia hoja huko, ukweli ni kwamba waafirika wanaokwenda kufanya kazi kwenye nchi hizo hudhalilishwa sana; hili lipo wazi.

Wewe shida yako ni nini, mshahara mzuri huku ukidhalilishwa na kutwezwa utu wako?

Nchi hii imekosa kitu gani cha kuwezesha watu kujenga maisha bora kabisa, huku wakiheshimika duniani kote.
Mtwala anashindwa hata kufanya mipango tu ya wananchi wake kunufaika na mapori chungu nzima yaliyopo hapa, anaamua kuyagawa kwa hao hao wanakopelekwa watwana hawa; badala ya kuwajengea uwezo wa kuendesha mapori yao ili yawanufaishe wao huku wakilinda heshima zao?

Huu ni uongozi wa namna gani huu?
 
Ungenisoma vizuri na kunielewa nilicholenga usingekuja na hili la kutafuta kuhamisha hoja..

Lakini pamoja na hilo, kwa vile unahamishia hoja huko, ukweli ni kwamba waafirika wanaokwenda kufanya kazi kwenye nchi hizo hudhalilishwa sana; hili lipo wazi.

Wewe shida yako ni nini, mshahara mzuri huku ukidhalilishwa na kutwezwa utu wako?

Nchi hii imekosa kitu gani cha kuwezesha watu kujenga maisha bora kabisa, huku wakiheshimika duniani kote.
Mtwala anashindwa hata kufanya mipango tu ya wananchi wake kunufaika na mapori chungu nzima yaliyopo hapa, anaamua kuyagawa kwa hao hao wanakopelekwa watwana hawa; badala ya kuwajengea uwezo wa kuendesha mapori yao ili yawanufaishe wao huku wakilinda heshima zao?

Huu ni uongozi wa namna gani huu?
Wangeenda uingereza ungesema haya?
 
Hii ndiyo kazi inayomuweka mjini Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu.

3 years ago alikuwa na mgogoro mkubwa sana na issue hii ya wafanyakazi aliowapeleka
Mtemvu alianza zamani sana akiwa mbunge kufanya hii biashara ya " human trafficking" lakini kama ilivyo kwa biashara ya madawa ya kulevya, wanatumia mwanvuli wa ccm kujikinga na kufanya biashara hizo haramu!!
 
Wangeenda uingereza ungesema haya?
Hata wangeenda mbinguni na kunyanyaswa, na kudhalilishwa utu wao ningesema..

Nchi hizo zinajulikana kuwa na tabia mbaya sana kwa waajiriwa wa ndani, hasa waafirika.

Wewe unazungumzia Uingereza, lakini hujui lolote kuhusu haki za wafanyakazi ndani ya nchi hiyo; bila kujali huyo mtu katokea wapi.
 
Ukiangalia idadi yao wengi wao ni wanawake ambao wanakwenda huko kuwa watumwa wa kufanya kazi za ndani za uboi kwa mateso sana!! Wengine huko hudhalilishwa na hawa waarabu mpaka kuwalazimisha kuingiliwa na mbwa kwa ujira kiduchu wanaopata!!
Ni serikali mufilisi inayodhani kupeleka nguvu kazi yake Uarabuni inatatua tatizo la ajira nchini mwao!! Kuwa na uongozi wenye vision ndio suluhisho la matatizo ya ajira nchini. Kuwapeleka vijana Uarabuni ni sawa na kufanya biashara ya kuwauza binadamu kama watumwa!! No difference at all.
umemaliza kila kitu..well said.
 
Back
Top Bottom