Sijaanzisha uzi kwa chuki mkuu , mimi nimeuliza kwa sababu wanasema ni boda boda ila cha ajabu waliopo pale wengi ni wanawake na wanaume watu wazimaTatzo nikuwa wanaenda nchi ya kiarabu ambayo hamuwapendi nasio kaz wala lolote
Uzi umejaa chuki bila uhalisia
Hakuna kaz ya unskilled na skilled inayolipa mshahara mzuri kuliko hiyo nchi wanayoenda kwa kaz hiyohiyo na level ya elimu hiyohiyo na kama ipo itaje
WatakubaliKuna mwenzao alinyewa mdomoni huko!!😀
NB:Uhuru wao utaishia airport ya nchi wanayoenda!
Kwahy hapo kwenye hiyo picha ushajua had umri wa hao watu?Sijaanzisha uzi kwa chuki mkuu , mimi nimeuliza kwa sababu wanasema ni boda boda ila cha ajabu waliopo pale wengi ni wanawake na wanaume watu wazima
Sawa mtetezi wa ujinga nimeshakusomaKwahy hapo kwenye hiyo picha ushajua had umri wa hao watu?
Wanawake hawaruhusiwi kuendesha pikipik?
Au kwasabab hao wanawake wamevaa ushungi ndo umeona watu wazma?
Nipe idadi ya wanawake na wanaume kwenye hiyo picha mkuu
mmmmh yani Africa ni vituko kila kukichaView attachment 3534824
Wakuu Samahanini kwenye hii picha nimeitoa kwenye ukurasa wa ofisi ya waziri mkuu wakisema kuwa picha hii ni vijana waliokuwa wanaagwa na kwenda kufanya kazi ya boda boda huko UAE ama falme za kiarabu .
Swali: Hawa kweli ni vijana wanaoenda kuendesha boda boda uarabuni na je ni kweli uarabuni kuna uhitaji wa bodaboda na je biashara hii inalipa sana huko?
They've gotten a price tag on them, bei ya jioni.Ukiangalia idadi yao wengi wao ni wanawake ambao wanakwenda huko kuwa watumwa wa kufanya kazi za ndani za uboi kwa mateso sana!! Wengine huko hudhalilishwa na hawa waarabu mpaka kuwalazimisha kuingiliwa na mbwa kwa ujira kiduchu wanaopata!!
Ni serikali mufilisi inayodhani kupeleka nguvu kazi yake Uarabuni inatatua tatizo la ajira nchini mwao!! Kuwa na uongozi wenye vision ndio suluhisho la matatizo ya ajira nchini. Kuwapeleka vijana Uarabuni ni sawa na kufanya biashara ya kuwauza binadamu kama watumwa!! No difference at all.
Qatar ukipeleka mwanamke mmoja unalipwa riyal elfu tatu....Wakifika hawatoamini , hilo ni dili la fisadi mmoja wa CCM kuexchange vijana wa watu sababu wako desperate tu.
Hilo dili la kazi kwanini viongozi wa CCM hakuna mtoto wao humo hata mkoja kwenye kundi hujajiuliza?
Kwa GCC , kama sio expat ambaye upo skilled au katika zile kazi zenye kipaumbele basi utateseka mfumo wao kazi haukupi flexibility ni full time hapo tofauti na EU au America, utapiga kazi zako tofauti ni wewe tu na nguvu zako hata chances za kujiendeleza kitaaluma ni kubwa kuliko huko GCC.
Nafahamu vizuri sana hizo biashara wanaonufaika ni hao wanaoitwa agents kama huyo mzee.Qatar ukipeleka mwanamke mmoja unalipwa riyal elfu tatu....
Kuna Mzee mmoja yupo maeneo ya kisutu sokoni (Dar es Salaam) ndio ishu zake hizo .
Huwa anawapeleka pia Oman,kwa kifupi hii ni 'human trafficking'...
Aisee kumbe ni miradi ya watuHii ndiyo kazi inayomuweka mjini Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu.
3 years ago alikuwa na mgogoro mkubwa sana na issue hii ya wafanyakazi aliowapeleka
Aisee mbona ni hatari hiiNafahamu vizuri sana hizo biashara wanaonufaika ni hao wanaoitwa agents kama huyo mzee.
Nimetembea nchi zote za GCC nimepiga story na wabongo kadhaa ni ajabu hata kuna baadhi yao wanafanya kazi katika hizo nchi na hawana medical insurance , maagent wakishirikiana na maafisa wa ubalozi ndio wanakandamiza watanzania wenzao.
NimeelewaQatar ukipeleka mwanamke mmoja unalipwa riyal elfu tatu....
Kuna Mzee mmoja yupo maeneo ya kisutu sokoni (Dar es Salaam) ndio ishu zake hizo .
Huwa anawapeleka pia Oman,kwa kifupi hii ni 'human trafficking'...
😅😅😅They've gotten a price tag on them, bei ya jioni.
Noma sanammmmh yani Africa ni vituko kila kukicha
Yes ilinishtua kukuta kuna mabinti ni housemaids na hawana medical insurance.Aisee mbona ni hatari hii
Madereva ndio hao mkuuKwa maoni yangu. Hiyo picha na maekezo yake ni tofauti. Labda ipo picha nyingine ya vijana wa kiume ambao waliandaliwa kwenda kuwa bodaboda ila kwenye kuattach wakaweka hii.
Kwa hali ya kawaida, hamna dereva bodaboda hapo
Duuuh wanasaidikaje sasaYes ilinishtua kukuta kuna mabinti ni housemaids na hawana medical insurance.
Na ubalozi upo na agents wapo wanayajua hayo yote.
Mabinti hao wanafanyishwa kazi non-stop bila mapumziko hata wakiugua hawathaminiwi hadi kupelekea vifo vyao .
Mikataba hawapewi wasome kila kitu hufanywa juu kwa juu na hata passport zao huhodhiwa hivyo kuwafanya kukosa sauti.
Msaada ni wao kwa wao tu ulitarajia mabalozi na maafisa ubalozi ambao kigezo chake ni kuwa kada wa CCM au mzazi wake alikuwa mtu fulani sasa mtoto hupewa kama zawadi ndio waje wakupe msaada?Duuuh wanasaidikaje sasa