Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,847
- 3,746
- Thread starter
- #21
DuuhShida yako ni waarabu nasio kaz wala watu wanaoenda kufanya kaz
DuuhShida yako ni waarabu nasio kaz wala watu wanaoenda kufanya kaz
Bas kama hio hakuna sehemu nimekuambia lolote lileHapana ID yangu ni hii mkuu
Sawa mkuiBas kama hio hakuna sehemu nimekuambia lolote lile
Wewe kumbe ni taahira...wapi nimesema ninashida na waarabu?Shida yako ni waarabu nasio kaz wala watu wanaoenda kufanya kaz
Kwani hilo mbona lipo waz ndugu taahira mwezanguWewe kumbe ni taahira...wapi nimesema ninashida na waarabu?
Mbombo khafuWewe kumbe ni taahira...wapi nimesema ninashida na waarabu?
Ndio nchi yetu hii mkuuHao wanaenda kufanya kazi za ndani huko sema Serikali inatoa kibali hicho cha boda boda maana bila kibali hata wakiwa na tiketi hawatoki Julius Nyerere terminal 3 hao sema sijapenda Serikali kuwatupa watu wake kwa waarabu na watu wenyewe sio poa kabisa aisee..
KabisaaaWengi wao tutawakuta DXB...
Maana ukikatiza ndani ya DXB wabongo kibao wanapiga box...
Mimi siwezi Kuwaita hao watoto wa kike na kuwaaga wakafanye kazi za kitumwa huko labda tutengeneze wote fursa hapa hapa Bongo sio niwatupe huko ni uongo..Ndio nchi yetu hii mkuu
Wakenya na Waganda wanaokwenda huko wamesoma na hawafanyi kazi za kiboi!! Ndio maana ukisafiri na kupitia sehemu kama DOHA International Airport utawakuta wanafanya kazi ya security pale airport!!! These are educated people sio hawa wanaodanganywa kuwa wanakwenda kuendesha Bajaj na waziri mkuu nae anakubali!!Acha upumbavu wakristo wa kenya na Uganda wamejazana uko uarabuni tele we endelea na taarab wenzio wakirud Wana nyumba 3 kibit wewe unaendelea na kupanga chumba singo gongo la mboto kodi 30k
KWahyo wazir mkuu muongo iLa wewe ndo unasema kweli?Wakenya na Waganda wanaokwenda huko wamesoma na hawafanyi kazi za kiboi!! Ndio maana ukisafiri na kupitia sehemu kama DOHA International Airport utawakuta wanafanya kazi ya security pale airport!!! These are educated people sio hawa wanaodanganywa kuwa wanakwenda kuendesha Bajaj na waziri mkuu nae anakubali!!
Viongozi wenyewe tunao sasa wanaoweza kuwaza chanyaMimi siwezi Kuwaita hao watoto wa kike na kuwaaga wakafanye kazi za kitumwa huko labda tutengeneze wote fursa hapa hapa Bongo sio niwatupe huko ni uongo..
Ndio boda boda haoMbn asilimia kubwa ni wanawake?
Umeona Nchi gani wamefanya hivyo kuwachukua wadada wawaage wawapeleke kwa wahuni huko aisee daah kazi ipo..Viongozi wenyewe tunao sasa wanaoweza kuwaza chanya
Nchi zote za GCC nimewahi kutembew kwa muda fulani , hao mnaoita boda boda kama kubeba abiria kule hawafanyi kama usafiri bali ni kufanya delivery ya huduma na bidhaa , kuna kampuni kama Talabat , Careem n.kNdio boda boda hao
Sasa hapo kwenye picha ndio boda boda wenyewe sasa wa mama kizmkaziNchi zote za GCC nimewahi kutembew kwa muda fulani , hao mnaoita boda boda kama kubeba abiria kule hawafanyi kama usafiri bali ni kufanya delivery ya huduma na bidhaa , kuna kampuni kama Talabat , Careem n.k
Halafu sikuona mwanamke hata mmojs kama dereva .