Naombeni msaada kwenye hili

Naombeni msaada kwenye hili

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
17,021
Reaction score
23,669
Jana ndugu yangu alienda kupima Corona baada ya kupimwa akataka aondoke baada ya kumaliza kupimwa akaambiwa akae kwanza karantini mpaka kesho yake na majibu atapewa hiyo kesho.

Na Mungu mkubwa matokeo amepata negative ila wamemzuia kuondoka leo bila kutoa gharama ya kuwepo karantini ambayo kaambiwa ni laki 3.5 wakampunguzia mpaka laki 2, wakati anaenda kupima Corona alizani ni bure na pia yeye akutaka kubaki hapo karantini ila alilazimishwa na daktari je mwenye kujua kuhusu hili imekaaje? atuambie
 
Jana ndugu yangu alienda kupima Corona baada ya kupimwa akataka aondoke baada ya kumaliza kupimwa akaambiwa akae kwanza karantini mpaka kesho yake na majibu atapewa hiyo kesho.

Na Mungu mkubwa matokeo amepata negative ila wamemzuia kuondoka leo bila kutoa gharama ya kuwepo karantini ambayo kaambiwa ni laki 3.5 wakampunguzia mpaka laki 2, wakati anaenda kupima Corona alizani ni bure na pia yeye akutaka kubaki hapo karantini ila alilazimishwa na daktari je mwenye kujua kuhusu hili imekaaje? atuambie
Alipimiwa wapi?

Amandla..
 
Jana ndugu yangu alienda kupima Corona baada ya kupimwa akataka aondoke baada ya kumaliza kupimwa akaambiwa akae kwanza karantini mpaka kesho yake na majibu atapewa hiyo kesho.

Na Mungu mkubwa matokeo amepata negative ila wamemzuia kuondoka leo bila kutoa gharama ya kuwepo karantini ambayo kaambiwa ni laki 3.5 wakampunguzia mpaka laki 2, wakati anaenda kupima Corona alizani ni bure na pia yeye akutaka kubaki hapo karantini ila alilazimishwa na daktari je mwenye kujua kuhusu hili imekaaje? atuambie
Hao siyo matapeli kweli? Kipimo kilichukuwa siku moja? Mhn! Sounds fishy
 
Jana ndugu yangu alienda kupima Corona baada ya kupimwa akataka aondoke baada ya kumaliza kupimwa akaambiwa akae kwanza karantini mpaka kesho yake na majibu atapewa hiyo kesho.

Na Mungu mkubwa matokeo amepata negative ila wamemzuia kuondoka leo bila kutoa gharama ya kuwepo karantini ambayo kaambiwa ni laki 3.5 wakampunguzia mpaka laki 2, wakati anaenda kupima Corona alizani ni bure na pia yeye akutaka kubaki hapo karantini ila alilazimishwa na daktari je mwenye kujua kuhusu hili imekaaje? atuambie
Elezea vizuri watu waelewe ndugu. Alikuwa nje ya nchi? Alienda kupima wapi? Alikuwa anaumwa ndiyo akaenda? Karantini aliwekwa wapi?
 
Jana ndugu yangu alienda kupima Corona baada ya kupimwa akataka aondoke baada ya kumaliza kupimwa akaambiwa akae kwanza karantini mpaka kesho yake na majibu atapewa hiyo kesho.

Na Mungu mkubwa matokeo amepata negative ila wamemzuia kuondoka leo bila kutoa gharama ya kuwepo karantini ambayo kaambiwa ni laki 3.5 wakampunguzia mpaka laki 2, wakati anaenda kupima Corona alizani ni bure na pia yeye akutaka kubaki hapo karantini ila alilazimishwa na daktari je mwenye kujua kuhusu hili imekaaje? atuambie
Mkuu Usio na Hatia Mtegemea, jibu maswali haya usaidiwe
Elezea vizuri watu waelewe ndugu. Alikuwa nje ya nchi? Alienda kupima wapi? Alikuwa anaumwa ndiyo akaenda? Karantini aliwekwa wapi?
P
 
Elezea vizuri watu waelewe ndugu. Alikuwa nje ya nchi? Alienda kupima wapi? Alikuwa anaumwa ndiyo akaenda? Karantini aliwekwa wapi?
Yupo hapa hapa bongo na kapima hapa hapa bongo alikuwa amehisi ana dalili za Corona ndo akaenda kupima ila kapatikana negative.
 
Mleta mada wewe hukwenda kule kwenye isolation ya ofisi?
 
Jana ndugu yangu alienda kupima Corona baada ya kupimwa akataka aondoke baada ya kumaliza kupimwa akaambiwa akae kwanza karantini mpaka kesho yake na majibu atapewa hiyo kesho.

Na Mungu mkubwa matokeo amepata negative ila wamemzuia kuondoka leo bila kutoa gharama ya kuwepo karantini ambayo kaambiwa ni laki 3.5 wakampunguzia mpaka laki 2, wakati anaenda kupima Corona alizani ni bure na pia yeye akutaka kubaki hapo karantini ila alilazimishwa na daktari je mwenye kujua kuhusu hili imekaaje? atuambie
Karantini ni aina mpya ya kupiga pesa hapa nchini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom