mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,746
Mshana Jr Kaka haya mambo vipi,Msaada, kuna Ndoto nimeoteshwa, niko Makao makuu ya kampuni nalofanyia kazi tuko kwenye meza tumekaa wanawake ni wengi mwanaume kama nilikuwa mwenyewe, na kuna jambo tulikuwa tukijadili japo silikumbuki.
Watu hao niliokaa nao ni mwanamke mmoja ndio namjua, na watu hao wako idara ambayo ilishawahi kutoa kazi na nilikuwa nakidhi vigezo ila kuna mambo yalifanyika nika katwa, ilikuwa nyuma kidogo lakini sasa naona tumekaa meza moja kuna jambo tunajadili.
hii Ndoto maana yake ni nini..?
Ahsanteni