naombeni mawazo yenu

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
Amani ya Mungu iwe juu yenu.

nina rafiki yangu aliniomba ushauri nikaona ni vyema niwashirikishe tushirikiane mawazo.

Huyu rafiki yangu (msichana) ana urafiki wa kawaida na wakaka wawili,hao wakaka ni marafiki.

rafiki yangu alianza kufahamiana na kaka A,kaka A akamtambulisha kwa kaka B,wakaunda urafiki wa watu watatu.

Wakati rafiki yangu anaanza kufahamiana na kaka A waliheshimiana vizuri na kaka A hakuonesha dalili zozote za kumhitaji shosti wangu kimapenzi.

Ila kaka B baada ya muda fulani akaanza kuonesha dalili za kutaka uhusiano wa kimapenzi na shosti wangu,na shosti wangu anadai na yeye pia anajihisi kumpenda kaka B.

Tatizo ni kwamba baada ya kaka B kuonesha interest na kaka A from no where na yeye anaanza kuonesha interest zake.

Mbaya zaidi ni kwamba,kila kaka B akitaka kumake a move kaka A anajaribu kuvuruga,mfano kaka B alisema siku moja kuwa siku yake ya off atakwenda kumfundisha shosti wangu kucheza tenis kaka A na yeye japokua hiyo sio siku yake ya off hakwenda kazini ili aende nao huko kwenye hiyo michezo.

Shosti wangu anadai kwamba hawa wakaka wamekua kama wanashindana kumipress,ila kaka B kwa kuwa ni mpole na mstaarabu amekua kama ameamua kumuachia kaka A.

Shosti wangu anadai kuwa pamoja na kua kaka A alikua rafiki yake lkn anajihisi kumchukia kwa sbb kaka A anatumia mbinu yakumfanya kaka B adhani kuwa kaka A na shosti walikua na kauhusiano fulani kabla.

Sasa shosti wangu hajui afanyaje maana mwanaume mstaarabu hawezi kushindana juu ya mwanamke,na ndivyo kaka B alivyoamua kumuachia kaka A lkn shosti wangu hamtaki kaka A.

Sasa shosti wangu hajui afanyaje ili aweze kuwa na kaka B maana kaka A alivyozidisha makeke kaka B hamuombi tena shosti wangu kutoka out na haoneshi nia sana kama mwanzo.

natanguliza shukrani zangu.
 
The power to control that iko vestesd in the shosti her self..
Wanawake tumeumbwa na a very strong female intuation for these things
hasa kama wahusika wako mbele ya macho yetu... Kosa alilolafanya shosti ni
kuacha mpaka mambo yanaelekea yako out of control kwa sasa (yawezekana
mwanzo she didn't mind the attention ya both kwake...)

Hata hivyo yeye kisha gundua kua anampenda kaka B, Simlaumu A kwa kumwaga sera
baada ya B kumwaga for guy wametofautiana.. inawezekana alikua anampenda na sababu
alikua nae close hakua na haraka mpaka A alipomwaga sera... Hata hivyo nashindwa kuelewa
ni kwanini A na B hawaja jadili hili suala for guys are good at solving nani ampate the lady!

Chakufanya tokana na mtazamo wangu, kwanza shosti ahakikishe kua B anampenda na
ana mpango nae, akihakikisha hilo inabidi akae ki utu uzima na A kumueleza the situation
kana kwamba haja notice feelings za jamaa (mana naona hajamwanga sera wazi...)
Kua sababu yeye ndo aliwa connect anataka ajue kua they have feelings for each other...

Cheusimangala naamini wewe ni mzima...
 
Kaka A anakaba mpaka kivuli sio lool.

Kaka A hakuwa anajiamini mwanzo mpaka alipoona Kaka B anaonesha nia ya mapenzi na rafiki yako ana respond vizuri na yeye ndio akapata nguvu ya kutupa karata yak.

Kwa vile njia inayotumika hapa ni ya vitendo bai ni muhimu rafiki yakjo atumie vitendo pia kumuonesha kaka A kwamba hayuko intrested nae. Kama ujumbe hautomfikia itabidi tu amwambie ukweli haina haja kuumiza kichwa atumie uhuru wake wa kuchagua.

Kingine wote ni watu wazima na yeye inabidi amuonesha kaka B kama anampenda na sio lazima kila wamshirikishe au kumjulisha kaka A ahead of time.
 
The power to control that iko vestesd in the shosti her self..
Wanawake tumeumbwa na a very strong female intuation for these things
hasa kama wahusika wako mbele ya macho yetu... Kosa alilolafanya shosti ni
kuacha mpaka mambo yanaelekea yako out of control kwa sasa (yawezekana
mwanzo she didn't mind the attention ya both kwake...)

Hata hivyo yeye kisha gundua kua anampenda kaka B, Simlaumu A kwa kumwaga sera
baada ya B kumwaga for guy wametofautiana.. inawezekana alikua anampenda na sababu
alikua nae close hakua na haraka mpaka A alipomwaga sera... Hata hivyo nashindwa kuelewa
ni kwanini A na B hawaja jadili hili suala for guys are good at solving nani ampate the lady!


Chakufanya tokana na mtazamo wangu, kwanza shosti ahakikishe kua B anampenda na
ana mpango nae, akihakikisha hilo inabidi akae ki utu uzima na A kumueleza the situation
kana kwamba haja notice feelings za jamaa (mana naona hajamwanga sera wazi...)
Kua sababu yeye ndo aliwa connect anataka ajue kua they have feelings for each other...

Cheusimangala naamini wewe ni mzima...

Hiyo inatokea tu kama hawampendi msichana au wameamua kumfanyizia dada wa watu!

Usiamini kwamba wanaume wanaweza kukubaliana katika jambo la namna hii. Hata huyo kaka B atakuwa amejiweka pembeni anamchora binti anavyotaka kufanya kosa la kiufundi.

Mzee DC
 
yani hii ni very simple.
kwakua urafiki wao tooka mwanzo ulikua ni wa kaka na dada (ofcoz huku ndikomapenzi huanzia mara nyigi)
na kwa kua kwa mujib wako, kaka B ndie alieanza kumwonesha interest za mapenzi, na kwa kua yeye shost mwenyewe
anadai kua anahisi kumpenda kaka B na sio A, basi wala asipate kazi. Afuate kile amabacho
moyo wake unakitaka. in this case ni kaka B.
Hta siku moja asiingie katika mapenzi kwasabab anahisi huruma kwa mtu bali kwa kua anmpenda mhusika.\

wala asifikirie sana jibu ni aende kwa yule anaehisi kua anapendwa nae na yeyey mwenyewe anampenda.
 
Cheusi,

Mwambie rafiki yako aache kuchezea akili za wanaume. Wanaweza kumgeuka wakati wowote na amini usiamini atajiua (they can decide to give her rope...hope unajua kitakachofuata). Kwa vile anampenda kaka B na anakiri hivyo basi kazi yake ni rahisi sana. Amweze kaka A bila kumung'unya maneno kwamba B keshabeba mzigo na A hana chake tena. Ni jambo zito ila litampatia freedom ya mwili, akili na moyo pia, kwa leo na hata ziku zake zote.

Mimi iliwahi kunitokea na nikamweleza dada kuwa kama hataki kumweleza huyo mshikaji wangu kwamba mimi niko speed 150km/hr wakati yeye ndoa anajaribu kuwasha gari basi she is in for it! Alifanya hivyo na jamaa akaja kuniuliza nikamrudisha kwa dada. Mchezo uliishia hapo.

Katika hili....Binti ndiye polisi, mwendesha mashtaka na hakimu. Akifanya mchezo atajuta!
 
Hiyo inatokea tu kama hawampendi msichana au wameamua kumfanyizia dada wa watu!

Usiamini kwamba wanaume wanaweza kukubaliana katika jambo la namna hii. Hata huyo kaka B atakuwa amejiweka pembeni anamchora binti anavyotaka kufanya kosa la kiufundi.

Mzee DC


It is beta i have been answered na a male...
imeweka at rest mawazo yangu...
 
Kaka A anakaba mpaka kivuli sio lool.

Kaka A hakuwa anajiamini mwanzo mpaka alipoona Kaka B anaonesha nia ya mapenzi na rafiki yako ana respond vizuri na yeye ndio akapata nguvu ya kutupa karata yak.

Kwa vile njia inayotumika hapa ni ya vitendo bai ni muhimu rafiki yakjo atumie vitendo pia kumuonesha kaka A kwamba hayuko intrested nae. Kama ujumbe hautomfikia itabidi tu amwambie ukweli haina haja kuumiza kichwa atumie uhuru wake wa kuchagua.

Kingine wote ni watu wazima na yeye inabidi amuonesha kaka B kama anampenda na sio lazima kila wamshirikishe au kumjulisha kaka A ahead of time.



ha ha ha... nimeipenda hii...
 
yani hii ni very simple.
kwakua urafiki wao tooka mwanzo ulikua ni wa kaka na dada (ofcoz huku ndikomapenzi huanzia mara nyigi)
na kwa kua kwa mujib wako, kaka B ndie alieanza kumwonesha interest za mapenzi, na kwa kua yeye shost mwenyewe
anadai kua anahisi kumpenda kaka B na sio A, basi wala asipate kazi. Afuate kile amabacho
moyo wake unakitaka. in this case ni kaka B.
Hta siku moja asiingie katika mapenzi kwasabab anahisi huruma kwa mtu bali kwa kua anmpenda mhusika.\

wala asifikirie sana jibu ni aende kwa yule anaehisi kua anapendwa nae na yeyey mwenyewe anampenda.

Watu wengi wamepata shida kwa kudhani kuwa ukimhurumia mtu atakupenda sana kumbe mambo hayatabiriki. Huyu dada asipochukua hatua basi ajiandae kukabiliana na makubwa! The guys can decide to team up na kumfanyia kitu cha ajabu sana kama hataonesha msimamo!
 
It is beta i have been answered na a male...
imeweka at rest mawazo yangu...

Wewe Asha,

Did u ever think kwamba simba na chui wanaweza kukaa pamoja na kukubaliana nani amle swala hata kama hawajamuua? Forget about that.

Wakikaa pamoja basi ujue matokeo ya hiyo paradox yatakuwa makubwa kuliko paradox yenyewe!
 
Wewe Asha,

Did u ever think kwamba simba na chui wanaweza kukaa pamoja na kukubaliana nani amle swala hata kama hawajamuua? Forget about that.

Wakikaa pamoja basi ujue matokeo ya hiyo paradox yatakuwa makubwa kuliko paradox yenyewe!


I get! Hata hivyo i don't trust the guys...
personally am very wary of guys ambao ni friends and
woote they are interested in me...
I could end up kutopenda woote maana wote hawanipendi
for if they did wangekua considerate kwangu..
 
Amani ya Mungu iwe juu yenu.

nina rafiki yangu aliniomba ushauri nikaona ni vyema niwashirikishe tushirikiane mawazo.

Huyu rafiki yangu (msichana) ana urafiki wa kawaida na wakaka wawili,hao wakaka ni marafiki.

rafiki yangu alianza kufahamiana na kaka A,kaka A akamtambulisha kwa kaka B,wakaunda urafiki wa watu watatu.

Wakati rafiki yangu anaanza kufahamiana na kaka A waliheshimiana vizuri na kaka A hakuonesha dalili zozote za kumhitaji shosti wangu kimapenzi.

Ila kaka B baada ya muda fulani akaanza kuonesha dalili za kutaka uhusiano wa kimapenzi na shosti wangu,na shosti wangu anadai na yeye pia anajihisi kumpenda kaka B.

Tatizo ni kwamba baada ya kaka B kuonesha interest na kaka A from no where na yeye anaanza kuonesha interest zake.

Mbaya zaidi ni kwamba,kila kaka A akitaka kumake a move kaka B anajaribu kuvuruga,mfano kaka B alisema siku moja kuwa siku yake ya off atakwenda kumfundisha shosti wangu kucheza tenis kaka A na yeye japokua hiyo sio siku yake ya off hakwenda kazini ili aende nao huko kwenye hiyo michezo.

Shosti wangu anadai kwamba hawa wakaka wamekua kama wanashindana kumipress,ila kaka B kwa kuwa ni mpole na mstaarabu amekua kama ameamua kumuachia kaka A.

Shosti wangu anadai kuwa pamoja na kua kaka A alikua rafiki yake lkn anajihisi kumchukia kwa sbb kaka A anatumia mbinu yakumfanya kaka B adhani kuwa kaka A na shosti walikua na kauhusiano fulani kabla.

Sasa shosti wangu hajui afanyaje maana mwanaume mstaarabu hawezi kushindana juu ya mwanamke,na ndivyo kaka B alivyoamua kumuachia kaka A lkn shosti wangu hamtaki kaka A.

Sasa shosti wangu hajui afanyaje ili aweze kuwa na kaka B maana kaka A alivyozidisha makeke kaka B hamuombi tena shosti wangu kutoka out na haoneshi nia sana kama mwanzo.

natanguliza shukrani zangu.

...........ya nini malumbano, ya nini maneno ooooooh,
najiweka pembeni naepusha msongamano oooh,
bora nitulieee, ningoje changu na mie eeeeeeeeeeh!!!

Kaka B katumia busara sana, kujiweka pembeni!
Inaonyesha kaka A, hajiamini isitoshe ni mwoga!!

Shosti nae aonyeshe msimamo wake, au ndo zile sitaki nataka?
 
I get! Hata hivyo i don't trust the guys...
personally am very wary of guys ambao ni friends and
woote they are interested in me...
I could end up kutopenda woote maana wote hawanipendi
for if they did wangekua considerate kwangu..

Tatizo letu tunakuaga na ushindani wa nani ataibuka na mtoto mwisho wa siku lol.
 
Subira yake ndo ilomponza kaka wa watu,mmh huyo B nae kutambulishwa imekua tabu,ila kwakuwa hawa jamaa ni marafiki na bado hakuna aliyekuwa tayari kwenye uhusiano na huyo dada wanaweza kukaa na kuongea kama wanaume,lakini pia huyu dada sijui analengo gani na hao wanaume,kama anatafuta mtu wa ku exchange vows basi hapo yeye ndiye mwenye uamuzi wa mwisho kujua yupi ni original na yupi ni mchina.Angalizo inawezekana pia hao guys wamewekeana dau kum wine huyo shosti,wanaume waangalie hivohivo tu sometimes unaweza usiamini mambo yao.:lock1::lock1:
 
I get! Hata hivyo i don't trust the guys...
personally am very wary of guys ambao ni friends and
woote they are interested in me...
I could end up kutopenda woote maana wote hawanipendi
for if they did wangekua considerate kwangu..

Ndo maana tunasema kuwa huu mpira anao dada mwenyewe. Ni uamuzi wake kuuweka kwapani na kutimua mbio au kubaki uwanjani akacheza.

Hilo la kuwaacha wote ni gumu Asha kwa sababu hapa si suala la tu kwamba wanaume wanampenda bali naye amendondokea mmoja wao. Sidhani kama itakuwa rahisi kukikwepa kitanzi!
 
kwa sasa siwezimpa mtu ushauri wowote wa kijamii as mwenyewe yanaelekea kunishinda
 
Subira yake ndo ilomponza kaka wa watu,mmh huyo B nae kutambulishwa imekua tabu,ila kwakuwa hawa jamaa ni marafiki na bado hakuna aliyekuwa tayari kwenye uhusiano na huyo dada wanaweza kukaa na kuongea kama wanaume,lakini pia huyu dada sijui analengo gani na hao wanaume,kama anatafuta mtu wa ku exchange vows basi hapo yeye ndiye mwenye uamuzi wa mwisho kujua yupi ni original na yupi ni mchina.Angalizo inawezekana pia hao guys wamewekeana dau kum wine huyo shosti,wanaume waangalie hivohivo tu sometimes unaweza usiamini mambo yao.:lock1::lock1:

Ukisikia wamewekeana dau ujue ni wasanii. Linapokuja suala la kupigania wife materials sidhani kama kuna compromise hapo!
 
Back
Top Bottom