cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Amani ya Mungu iwe juu yenu.
nina rafiki yangu aliniomba ushauri nikaona ni vyema niwashirikishe tushirikiane mawazo.
Huyu rafiki yangu (msichana) ana urafiki wa kawaida na wakaka wawili,hao wakaka ni marafiki.
rafiki yangu alianza kufahamiana na kaka A,kaka A akamtambulisha kwa kaka B,wakaunda urafiki wa watu watatu.
Wakati rafiki yangu anaanza kufahamiana na kaka A waliheshimiana vizuri na kaka A hakuonesha dalili zozote za kumhitaji shosti wangu kimapenzi.
Ila kaka B baada ya muda fulani akaanza kuonesha dalili za kutaka uhusiano wa kimapenzi na shosti wangu,na shosti wangu anadai na yeye pia anajihisi kumpenda kaka B.
Tatizo ni kwamba baada ya kaka B kuonesha interest na kaka A from no where na yeye anaanza kuonesha interest zake.
Mbaya zaidi ni kwamba,kila kaka B akitaka kumake a move kaka A anajaribu kuvuruga,mfano kaka B alisema siku moja kuwa siku yake ya off atakwenda kumfundisha shosti wangu kucheza tenis kaka A na yeye japokua hiyo sio siku yake ya off hakwenda kazini ili aende nao huko kwenye hiyo michezo.
Shosti wangu anadai kwamba hawa wakaka wamekua kama wanashindana kumipress,ila kaka B kwa kuwa ni mpole na mstaarabu amekua kama ameamua kumuachia kaka A.
Shosti wangu anadai kuwa pamoja na kua kaka A alikua rafiki yake lkn anajihisi kumchukia kwa sbb kaka A anatumia mbinu yakumfanya kaka B adhani kuwa kaka A na shosti walikua na kauhusiano fulani kabla.
Sasa shosti wangu hajui afanyaje maana mwanaume mstaarabu hawezi kushindana juu ya mwanamke,na ndivyo kaka B alivyoamua kumuachia kaka A lkn shosti wangu hamtaki kaka A.
Sasa shosti wangu hajui afanyaje ili aweze kuwa na kaka B maana kaka A alivyozidisha makeke kaka B hamuombi tena shosti wangu kutoka out na haoneshi nia sana kama mwanzo.
natanguliza shukrani zangu.
nina rafiki yangu aliniomba ushauri nikaona ni vyema niwashirikishe tushirikiane mawazo.
Huyu rafiki yangu (msichana) ana urafiki wa kawaida na wakaka wawili,hao wakaka ni marafiki.
rafiki yangu alianza kufahamiana na kaka A,kaka A akamtambulisha kwa kaka B,wakaunda urafiki wa watu watatu.
Wakati rafiki yangu anaanza kufahamiana na kaka A waliheshimiana vizuri na kaka A hakuonesha dalili zozote za kumhitaji shosti wangu kimapenzi.
Ila kaka B baada ya muda fulani akaanza kuonesha dalili za kutaka uhusiano wa kimapenzi na shosti wangu,na shosti wangu anadai na yeye pia anajihisi kumpenda kaka B.
Tatizo ni kwamba baada ya kaka B kuonesha interest na kaka A from no where na yeye anaanza kuonesha interest zake.
Mbaya zaidi ni kwamba,kila kaka B akitaka kumake a move kaka A anajaribu kuvuruga,mfano kaka B alisema siku moja kuwa siku yake ya off atakwenda kumfundisha shosti wangu kucheza tenis kaka A na yeye japokua hiyo sio siku yake ya off hakwenda kazini ili aende nao huko kwenye hiyo michezo.
Shosti wangu anadai kwamba hawa wakaka wamekua kama wanashindana kumipress,ila kaka B kwa kuwa ni mpole na mstaarabu amekua kama ameamua kumuachia kaka A.
Shosti wangu anadai kuwa pamoja na kua kaka A alikua rafiki yake lkn anajihisi kumchukia kwa sbb kaka A anatumia mbinu yakumfanya kaka B adhani kuwa kaka A na shosti walikua na kauhusiano fulani kabla.
Sasa shosti wangu hajui afanyaje maana mwanaume mstaarabu hawezi kushindana juu ya mwanamke,na ndivyo kaka B alivyoamua kumuachia kaka A lkn shosti wangu hamtaki kaka A.
Sasa shosti wangu hajui afanyaje ili aweze kuwa na kaka B maana kaka A alivyozidisha makeke kaka B hamuombi tena shosti wangu kutoka out na haoneshi nia sana kama mwanzo.
natanguliza shukrani zangu.