naombeni mawazo yenu

Yeah ...The Dii Part.....something more? Do I need Microscope?



Rev umenifurahisha saana angles of my smile zimevuka beyond... for that asante..
Hamna mahusiano kabisaa, labda ungekua na wasi na kijana mwingine labda ungekua
umepatia, ila i keep the name no need of changing... hata hivyo Steve Dii namkubali
na tunakutana saana jamvini... bless him and you of coz..
 
Naona shosti wako awapotezee wote mana wanataka kumfanyia gwaride..
Ni hivii kaka B kaamua kukaa pembeni kumwachia kaka A..Kaka A nae ataendeleza mbwembwe zake na kumpata shosti wako halafu akivunja amri nae atamuacha..kwa huzuni itatotea siku shosti wako atamwelezea kaka B ambae atajifanya anamfariji halafu anampata na kumchezea shosti wako tena pia kumuacha kwenye mataa.
Halafu hao makaka A+B kwa kuwa ni marafiki,ushkaji wao utaendelea japo wamepitia shosti wako na kupata walichotaka..halafu hawana muda nae tenaa!..kifupi wanamtumia!!.
Mwambie shosti awapotezee au kuwa mwangalifu!!.
 
Rev umenifurahisha saana angles of my smile zimevuka beyond... for that asante..
Hamna mahusiano kabisaa, labda ungekua na wasi na kijana mwingine labda ungekua
umepatia, ila i keep the name no need of changing... hata hivyo Steve Dii namkubali
na tunakutana saana jamvini... bless him and you of coz..


OOhhh nami ninafurahi kwa niaba yako! Meno yangu 29 yote walau yameonekana

Glorious!
 
thanx the boss,
kweli nadhani itasaidia akipunguza outing na hawa watu kwa pamoja mana style ya kaka A inamfanya kaka B kuhisi kuna kitu kati ya A na shosti kumbe wapi,mana A hata heshima tena kwa shosti imepungua eti wakiwa wote watatu A anapose kama vile ni mpenzi wa shosti,sasa shosti wangu alifanya sijui ni kosa maana eti alipoona A anafanya vitendo vya kufanya B ahisi shosti na A ni wapenzi shosti wangu akataka kumdhihirishia B kuwa yeye yuko single kwa kusema eti tokea ameachana na x boyfriend wake hadhani kama anahitaji tena kuwa na mahusiano na wanaume,anasema alivyosema hivyo kaka B akamwambia kuwa asidhan kuwa wanaume wote ni wabaya na akaanzisha tena kuonesha nia.
Tatizo ni huyu kaka A ndo anakera sbb anaonesha kama vile lengo lake ni kuhakikisha wawili hawa hawawi pamoja lkn sio kama ana mapenzi na shosti wangu.

Nadhan ni wazo zuri kuwa shosti wangu ajaribu kumualika kaka B kwa outings wao peke yao.



wakati mwingine ukiangalia hili at another side of the coin,
kiukweli unaweza kuta hawa wakaka, sijui A , B hawana matatizo kabisa,
Tatizo liko kwa huyo shosti,
Cheusi hebu mwambie shosti aache hako katabia kaumalaya tafadhali,
asifikiri sifa,atambue kuwa NYUKI HAPIGWI BUSU...
 
shosti wangu unajua ninavyokuaminia kwa mabusara,
sasa ampashaje maana kumbuka no vocal language imetumika zaidi ya lugha ya vitendo,na yeye shosti wangu atawezaje kuanzisha hayo mazungumzo wkt sisi wanawake hatuna ujasiri wa kuwaanza wanaume kwa maneo ya mapenzi,sbb yeye alitegemea huko kaka B alikokua akitaka kumtoa out ndo kaka B angeanzisha hayo mazungumzo lkn A ndo yuko mstari wa mbele kuhakikisha hawa wawili hawakutani bila yeye kuwepo,na kila kaka B alipotaka kutoka yeye na shosti peke yao kaka A alimwambie hommie wake kuwa mbona unanitenga inakuwaje mpange kwenda sehemu bila kutaka mm niwepo.

wewe unaonaje wazo la shoga kujitenga nao kwa muda,maana shoga yangu anapenda kutoka nao ili aweze kumuona kaka B sema ndo hata akimuona hawawezi kuongea cha maana coz kaka A hata choon haendi akawaacha peke yao.
mm naona shoga aache kuambatana nao kwa muda labda itasaidia.


Nashukuru dear for the vote of confidence....lol

Enways pamoja na madhaifu ya A tukumbuke kua ndo alikutanisha na was the friend before hata B, Shosti inabidi achukulie adv hio kwa kua huru na kuongea nae kuhusu feelings zake juu ya B (na akitaka isiwe awkward it is beta ajifanye haja notice the interest in her...), La muhimu kabla hajafanya hivyo inabidi ahakikishe B ana mpango dhabiti, maana haya mambo ya love hutufanya tuwe clouded in judgement na kutaka kuamini want we want... Jinsi gani atamface B hapo ni shida kidogo asianze yeye kutamka (atumie techniques zetu za kidada... kumuweka jamaa in a position wea he admits...)
 
wakati mwingine ukiangalia hili at another side of the coin,
kiukweli unaweza kuta hawa wakaka, sijui A , B hawana matatizo kabisa,
Tatizo liko kwa huyo shosti,
Cheusi hebu mwambie shosti aache hako katabia kaumalaya tafadhali,
asifikiri sifa,atambue kuwa NYUKI HAPIGWI BUSU...

bacha ni nin kimefanya udhani huyu dada ana katabia ka umalaya?
siwezi kumlia yamin lkn namfahamu ni dada aliyetulia kabisa na hata kaka yangu akisema anamuoa nitapokea habar kwa moyo mweupe sbb ni dada anayejiheshimu.
sio ajabu kwa mdada kuwa na hisia za kimapenzi kwa rafiki wa rafik yake.
ningependa kujua kilichokupa hisia kuwa shosti wangu ni malaya
 
Fidel its not about nani kaanza kumjua dada,its about feelings,hata kaka A angeanza asingempata shosti wangu,maana shosti wangu hana feelings zozote juu ya kaka A.

kaka A nadhani analeta ligi zisizo na umuhimu sbb nadhani anadhan kaka B akimpata huyu dada,yeye kaka A ataonekana mzembe kumjua kwanza na kushindwa kuwa naye,lkn nadhan kaka B asingeonesha interest kaka A na yeye asingeonesha.

Kwa nini unasema huyo shostito hana feelings na kaka A? au kwa sababu kamuona kaka B?
Mapenzi we acha tu yaitwe mapenzi. Umeona mjini unakuta kajamaa kachafu chafu alafu kabayaaaa alafu akanamashimo 10 Mererani huku mitaani kana viota 5 mambo safi kuhusu fweza angalia sasa hapo mabinti warembo wanavyo jilesi kwake.
Naamini hata kaka A angetumia mapema sanaa ya kutongoza ambapo unahamisha feelings za mwanamke ziendane na matakwa ya mwanaume basi angekuwa katika himaya ya kaka A sasa hivi.
 
Kwa nini unasema huyo shostito hana feelings na kaka A? au kwa sababu kamuona kaka B?
Mapenzi we acha tu yaitwe mapenzi. Umeona mjini unakuta kajamaa kachafu chafu alafu kabayaaaa alafu akanamashimo 10 Mererani huku mitaani kana viota 5 mambo safi kuhusu fweza angalia sasa hapo mabinti warembo wanavyo jilesi kwake.
Naamini hata kaka A angetumia mapema sanaa ya kutongoza ambapo unahamisha feelings za mwanamke ziendane na matakwa ya mwanaume basi angekuwa katika himaya ya kaka A sasa hivi.

fidel unaweza kuwa sahihi,lkn mm nasema alichonileza shosti na pia jinsi ninavyomfahamu,shosti wangu ndiye kasema hana feelings na kaka A.
lkn si ni rahisi tu kuelewa mtu anaposema kuwa hana feelings na mtu fulani,maana hakuna binadamu anayeweza kuwa na feelings na kila mtu.'
ngojea nijitolee mfano mm,mm kama sina feelings na wewe hata ufanye nin sitakua na hizo feelings,hata ukinipa fahari yote ya dunia,kama nitakukubali haijalishi kuwa nimepata feelings za kukupenda,no,nitakua niko na ww sbb nataka mali zako.
shosti anampenda A kama rafiki,tena anadai jinsi A anavyofanya ligi anajihisi kama anamchukia fulani hivi.
 
thanx the boss,
kweli nadhani itasaidia akipunguza outing na hawa watu kwa pamoja mana style ya kaka a inamfanya kaka b kuhisi kuna kitu kati ya a na shosti kumbe wapi,mana a hata heshima tena kwa shosti imepungua eti wakiwa wote watatu a anapose kama vile ni mpenzi wa shosti,sasa shosti wangu alifanya sijui ni kosa maana eti alipoona a anafanya vitendo vya kufanya b ahisi shosti na a ni wapenzi shosti wangu akataka kumdhihirishia b kuwa yeye yuko single kwa kusema eti tokea ameachana na x boyfriend wake hadhani kama anahitaji tena kuwa na mahusiano na wanaume,anasema alivyosema hivyo kaka b akamwambia kuwa asidhan kuwa wanaume wote ni wabaya na akaanzisha tena kuonesha nia.
tatizo ni huyu kaka a ndo anakera sbb anaonesha kama vile lengo lake ni kuhakikisha wawili hawa hawawi pamoja lkn sio kama ana mapenzi na shosti wangu.

Nadhan ni wazo zuri kuwa shosti wangu ajaribu kumualika kaka b kwa outings wao peke yao.
hapo bold nahisi kama ni wewe, eeeee cheusi, tuambie ukweli bana hahahahaa
 
Hata mie simuelewi kaka A sbb eti hadi mwenzie aoneshe nia ndo na yeye aanze fujo.
mm naona kaka A anataka ligi tu lkn hana mapenzi na shosti.
MIE SIPENDI WANAUME WASIOJIAMINI, ANZA NA b HUYO NDIO KIDUME BANA
 
kwa sasa siwezimpa mtu ushauri wowote wa kijamii as mwenyewe yanaelekea kunishinda

Hahhahaaaa nimecheka hii hadi basi, yalishanishainda ila nikipata chance nawashauri wahusika ili wasipitie path niliyopita coz was a dark tunnel sometimes nakaa chini naandika matukio na kuyasoma na kuchoma moto kikaratasi ila there is always a light at the end of the tunnel
 
Well mwambie aachane nao wote coz mwisho wa cku hao jamaa wanaweza fanyiana kitu mbaya,akae nao pamoja awachome roho kwa kuwambia kuwa ana mtu na aendelee kuwa marafiki na washkaji!
 
Hilo lipo sana,ilinitokea pia mi na rafiki yangu,pale ninapojenga uhusiano yeye naye anaanzisha,mi nikiona hizo namwachia ili aeleze nia yake unakuta anakataliwa,akishaniharibia hivo namtafuta mwingine nashangaa na yeye yupo tena,ikafikia mda nikaamua kutulia nimwangalie tu yeye apate kwanza halafu mi nitamtafuta wangu,but ikawa inajirudia same ishu,na kweli kugombana na rafiki yako ni ngumu kisa mapenzi.baadaye tukaa chini tukaelezana na ninapomfuata girl flani mi namwambia kabisa kwamba naenda kutongoza so hakunisumbua tena.
cha msingi kaka B amwambie live huko rafiki yake.na ninajua hawatapigana.
 
Huyo dada namshauri awapige chini wote wawili kwa sababu ni obvious hampendi A kwa hiyo asiingie kwenye mapenzi na mtu asompenda kisa yuko available. Pili hapendwi na B. B angekuwa anampenda asingekubali maelezo alopewa na A bila kuyafanyia kazi. Angemuuliza huyo dada ili ajue ukweli kama yeye na A wana uhusiano wowote. Kwa ufupi B alitaka kumchezea ndio maana alipoona rafiki yake A yuko interested amemwachia aendelee kwa sababu yeye hajakolea kiivyo kwa mdada.

Both A and B are players. Awe makini sana.
 
Hilo lipo sana,ilinitokea pia mi na rafiki yangu,pale ninapojenga uhusiano yeye naye anaanzisha,mi nikiona hizo namwachia ili aeleze nia yake unakuta anakataliwa,akishaniharibia hivo namtafuta mwingine nashangaa na yeye yupo tena,ikafikia mda nikaamua kutulia nimwangalie tu yeye apate kwanza halafu mi nitamtafuta wangu,but ikawa inajirudia same ishu,na kweli kugombana na rafiki yako ni ngumu kisa mapenzi.baadaye tukaa chini tukaelezana na ninapomfuata girl flani mi namwambia kabisa kwamba naenda kutongoza so hakunisumbua tena.
cha msingi kaka B amwambie live huko rafiki yake.na ninajua hawatapigana.

hivi unamchukuliaje pale anapokuingilia kila ukianza kumfuata binti,na je anapomfuata binti unayempenda then unaamua kumuachia,ina maana mapenzi kwa yule binti yanakuwa yamekuisha au unaamua kujikaza kisabun tu.
hata mi nadhan mwenye kama B anamsimamo atachukua hatua yeyote,mm nitamshaur binti atulie kwanza aone B atachukua hatua gani.
 
The power to control that iko vestesd in the shosti her self..
Wanawake tumeumbwa na a very strong female intuation for these things
hasa kama wahusika wako mbele ya macho yetu... Kosa alilolafanya shosti ni
kuacha mpaka mambo yanaelekea yako out of control kwa sasa (yawezekana
mwanzo she didn't mind the attention ya both kwake...)

Hata hivyo yeye kisha gundua kua anampenda kaka B, Simlaumu A kwa kumwaga sera
baada ya B kumwaga for guy wametofautiana.. inawezekana alikua anampenda na sababu
alikua nae close hakua na haraka mpaka A alipomwaga sera... Hata hivyo nashindwa kuelewa
ni kwanini A na B hawaja jadili hili suala for guys are good at solving nani ampate the lady!

Chakufanya tokana na mtazamo wangu, kwanza shosti ahakikishe kua B anampenda na
ana mpango nae, akihakikisha hilo inabidi akae ki utu uzima na A kumueleza the situation
kana kwamba haja notice feelings za jamaa (mana naona hajamwanga sera wazi...)
Kua sababu yeye ndo aliwa connect anataka ajue kua they have feelings for each other...

Cheusimangala naamini wewe ni mzima...

hapa wala sina cha kuongeza,,,,,
 
Subira yangu ndo iloniponzaaa,ngoja ngoja naonekana zoba,dada aache kujiuma uma A aambiwe apishe barabarani asije gongwa na lori.
 
Back
Top Bottom