cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,198
- 140,123
Ndo maana ake,Basi na tukae kimya tutulie tunyolewe kama wendawazimu.
Ndo maana ake,Basi na tukae kimya tutulie tunyolewe kama wendawazimu.
Hii lazima isomwe pamoja na requirements za article 20, ili ieleweke vizuri.Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam. WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
huu umewekwa wazi ili tuungane kupiga huu mkataba mabavu, maana tungeshtuka tu tayari watu wameshasaini bandari imeenda. tuwashukuru walio likisha huu mkatabaSitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Ilete kwanza hiyo iliyotajwa hapo kama "Article 20 of this agteement".
EnglishKipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam. WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Angalia hapo juuNatamani kujua hyo article 20 ya huo mkataba inasemaje kwenye utatuzi wa migongano, mwenye nayo pliz!
lete na hicho kifungu cha 20 ili viweze kusomwa kwa pamoja, na ndiyo maana hasa itawezekana kupatikanaKipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam. WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Article 20 inasemaje?Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam. WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Article 20 inasemaje?
lete na hicho kifungu cha 20 ili viweze kusomwa kwa pamoja, na ndiyo maana hasa itawezekana kupatikana
Post #44 | Naomba wataalamu wetu wanisaidie kutafsiri kipengele hiki katika lugha yetu ya Kiswahililete na hicho kifungu cha 20 ili viweze kusomwa kwa pamoja, na ndiyo maana hasa itawezekana kupatikana
kwanza ulitakiwa uwekwe mkataba wote siyo kipengele kimoja tu.
Mijinga utasikia ikiimba bibi tozo anaupiga mwingi, wizi mtupuMaana yake Mkataba ni WA MILELE Si miaka 100 pekee.
Tuungane kukataa UOVU huu juu ya nchi yetu.
Shukrani sana mkuu Mwl.RCT . Nimeipitia hiyo article 20 kwa haraka haraka. Nimejiridhisha kuwa utaratibu uliowekwa hiyo article ni mzuri.
Mmmh huna kitu kichwaniMi ni mtaalam mzuri tu ila sitaki kabisa kujihusisha na hili suala maana tulipoambiwa kuna siku nchi itapigwa mnada tulidhani ni filamu ya pwagu na pwaguzi! Acha nchi iuzwe!
Umelikishwa na wazalendo watanganyika.Sitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Hakuna mkataba wa bandari baina ya Saudi Arabia na Tanzania.Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam. WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.