Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,959
- 19,979
Tangu lini mkataba ukawa siri, mkuu? Which school did you go?Sitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi