Naomba wataalamu wetu wanisaidie kutafsiri kipengele hiki katika lugha yetu ya Kiswahili

Sitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.

Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Tangu lini mkataba ukawa siri, mkuu? Which school did you go?
 
Dah mbona mkataba wa kimangungo huu?so state haina power ya kuvunja mkataba huu no Mara waah🤣🤣nacheka kama mazuri🤔
Translation: Ndoa hii ikishafungwa, kamwe katu kabisa hakuna yeyote anayeweza kuibatisha -- awe mtawala, rais, shekh, padre, kasisi, katekista, ama askofu -- hata kama pande hizi mbili zigombana na kuhasimiana kiasi cha kung'oana meno ama kunyweshana sumu.
 
Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

View attachment 2648997
WOW!
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Ilete kwanza hiyo iliyotajwa hapo kama "Article 20 of this agteement".

Ili mtu aweze kutoa tafsri sahihi, lazima ajue kwanza article hiyo imesema nini
 
Translation: Ndoa hii ikishafungwa, kamwe katu kabisa hakuna yeyote anayeweza kuibatisha -- awe mtawala, rais, shekh, padre, kasisi, katekista, ama askofu -- hata kama pande hizi mbili zigombana na kuhasimiana kiasi cha kung'oana meno ama kunyweshana sumu.
dah nimecheka
 
Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam. WOW!

View attachment 2648997


Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Hakuna upande wowote ule kati ya mataifa yetu ambao utakuwa na haki ya kukanusha, kujiondoa, kusimamisha au kutengua mkataba huu kwa namna yoyote ile, ikiwemo tukio la ukiukaji, mabadiliko yalo na athari, uharibifu wa mahusiano ya kibalozi au uwakilishi, au visababishi vyovyote vinotambuliwa na sheria za kimataifa. Licha ya yalopita, ubishani wowote kati ya sehemu mbili za mkataba kwa kuzingatia mazingira hayo kutokukubaliana kokote kati ya sehemu hizi mbili za mkataba kutashughulikiwa kwa mujibu wa mahitaji ya sehemu ya 20 ya mkataba huu.

Cha msingi leta hiyo Article 20 tuichambue.
 
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Inakuwa siri ya nani...serikali au wana CCM? Je Bandari ni ya nani...wananchi, serikali au wana CCM? Kumbuka hao uliowataja ni watumishi wa wananchi.
 
Sitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.

Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Ndio ujue kitu kiko mtaani now.
 
Labda mimi ndio niko nyuma na hizi Habari
Mkataba upi huo na bandari ipi?
Dubai sio Saudia au mnatoa bandari zote na wanagawana?
Next Oman na Kuwait labda
 
ENGLISH:
4 The State Parties shall not be entitled to denounce, withdraw from,suspend or terminate this Agreement in any circumstances, including in theevent of material breach, fundamental change of circumstances, severance ofdiplomatic or consular relations,'intemational law. Notwithstanding the foregoing, any dispute between StateParties in respect of such circumstances shall be dealt with in accordance withthe requirements of Article 20 of this Agreement.


SWAHILI:
4 Hawana haki ya kutangaza, kujitoa, kusimamisha au kumaliza Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na tukio la uvunjifu mkubwa wa mkataba, mabadiliko muhimu ya hali, ukatwaji wa mahusiano ya kidiplomasia au kidiplomasia, au sheria za kimataifa. Hata hivyo, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusu hali hizo utashughulikiwa kulingana na mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Mkataba huu.
Maana yake ya kwanza ni kwamba kama kutatokea jambo lolote, wahusika watalishugjulikia kulingana Na utaratibu uliokubaliwa katika KIFUNGU CHA 20, na na sio kijitoa ama vinginevyo.
 
Kama mlikua mnatafuta sababu ya kuandamana/kukinukisha, hii ndo imejileta sasa mkizembea na hapa basi subirini kupigwa mnada. Natamani kujua hyo article 20 ya huo mkataba inasemaje kwenye utatuzi wa migongano, mwenye nayo pliz!
 
ENGLISH:
4 The State Parties shall not be entitled to denounce, withdraw from,suspend or terminate this Agreement in any circumstances, including in theevent of material breach, fundamental change of circumstances, severance ofdiplomatic or consular relations,'intemational law. Notwithstanding the foregoing, any dispute between StateParties in respect of such circumstances shall be dealt with in accordance withthe requirements of Article 20 of this Agreement.


SWAHILI:
4 Hawana haki ya kutangaza, kujitoa, kusimamisha au kumaliza Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na tukio la uvunjifu mkubwa wa mkataba, mabadiliko muhimu ya hali, ukatwaji wa mahusiano ya kidiplomasia au kidiplomasia, au sheria za kimataifa. Hata hivyo, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusu hali hizo utashughulikiwa kulingana na mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Mkataba huu.
Hila hapa full Mangungo contract!
 
ENGLISH:
4 The State Parties shall not be entitled to denounce, withdraw from,suspend or terminate this Agreement in any circumstances, including in theevent of material breach, fundamental change of circumstances, severance ofdiplomatic or consular relations,'intemational law. Notwithstanding the foregoing, any dispute between StateParties in respect of such circumstances shall be dealt with in accordance withthe requirements of Article 20 of this Agreement.


SWAHILI:
4 Hawana haki ya kutangaza, kujitoa, kusimamisha au kumaliza Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na tukio la uvunjifu mkubwa wa mkataba, mabadiliko muhimu ya hali, ukatwaji wa mahusiano ya kidiplomasia au kidiplomasia, au sheria za kimataifa. Hata hivyo, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusu hali hizo utashughulikiwa kulingana na mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Mkataba huu.
Aiseeeee !!!
 
Back
Top Bottom