Naomba wataalamu wetu wanisaidie kutafsiri kipengele hiki katika lugha yetu ya Kiswahili

Hakuna mkataba wa bandari baina ya Saudi Arabia na Tanzania.

Nijuavyo kuna mkataba baina ya Falme ya Dubai na Tanzania.
Waislam kila wakipewa nchi wanaiharibu alikwepo mwinyi alicho fanya anajua mwenyewe kaja mkapa kaweka mambo sawa haya kaja kikwete nusu nchi itaifishwe ,kaja magufuli kaweka mambo sawa haya sasa mwingine huyoo anaanz kuuza bandari baada ya kuuza mbuga ya wanyama , sio mda tutasikia kipande cha dar es salaam hadi pwani ni mali ya dubai hatari hii
 
Translation: Ndoa hii ikishafungwa, kamwe katu kabisa hakuna yeyote anayeweza kuibatilisha -- awe mtawala, rais, shekh, padre, kasisi, katekista, ama askofu -- hata kama pande hizi mbili zigombane na kuhasimiana kiasi cha kung'oana meno ama kunyweshana sumu.
Kubatilisha inawezekana, atatokea Rais mwingine jasiri ataivunjilia mbali.
 
Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!

View attachment 2648997

Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Tafsiri ninayoipata mimi kuhusu kipengere hicho ni kwamba Tanzania italazimika kulianzisha la msituni kupambania uhuru wake kwa mara ya pili.

Hakuna anayeweza kuzuia hilo lisitokee.

Ni haki ya kila taifa kupambania uhuru wake, au siyo?
 
Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!

View attachment 2648997

Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
A crooked agreement of which you do not need to go for law school, in reality though Tanzania practices and favors herding behavior an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objectives , Ni mkataba wa kuitapeli japokuwa Tanzania tunawatu ambao hujitoa ufahamu kwa mlengo fulani (masilaha binafsi ama kikundi fulani) pia tuna jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji kwa sauti
 
62DA454D-9E7E-4E35-997C-2ABDA06F5F50.jpeg


Bila ya kusoma article 23 yote inaweza isi make sense.

1. Kila mkataba utakaoingiwa una condition na terms zake. Zipo project nyingi mfano maboresho ya sehemu za maboti ya abiria, kazi ikiisha na mkataba unaishia hapo.

Kuna project zingine baada ya kufanya uwekezaji zikiisha zina muda wa makubaliano wa kuziendesha pia, mfano uboreshaji wa sehemu ya kuingiza mizigo; wanaweza endesha wao kwa muda wa makubaliano mpaka hela yao itakaporudi au kama kuna option ya kuongezewa muda.

4. Ukishaingia hayo makubaliano ndio uwezi kuvunja mkataba kishamba, vinginevyo mnaenda kushitakiana.

Si kweli kwamba hakuna ukomo, miradi ni mingi na kila mmoja utakuwa na terms and conditions zake.
 
Kosa tutakalo fanya raia ni kuacha kuangalia hizo sehemu zilizotajwa wanataka kuwekeza kwenye appendix 1, na kuuliza maswali ya msingi.

Je tunahitaji wawekeze kila sehemu hapo maana kama uwekezaji wenyewe sio wa hela nyingi kwanini wavune tu kirahisi, watapewa muda gani, tunahitaji waendeshe sehemu za bandari au tununue utaalamu wa kutuongoza.

Lakini upotoshaji aujengi, kwa sababu ukipitia hiyo agreement kuna mambo mazuri pia, but then kwa conditions zipi tunataka wapewe kwenye final HGA.
 
Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!

View attachment 2648997

Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
img_1_1686167947854.jpg
 
Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.

Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!

View attachment 2648997

Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Yani hicho kifungu atake ingia king ndio kaliwa maliza, kinga yetu itakua nini! Kodi au!? Au watapewa sera maalum za kikodi tofauti na sera/mifumo ya sasa ya kikodi
 
ENGLISH:
4 The State Parties shall not be entitled to denounce, withdraw from,suspend or terminate this Agreement in any circumstances, including in theevent of material breach, fundamental change of circumstances, severance ofdiplomatic or consular relations,'intemational law. Notwithstanding the foregoing, any dispute between StateParties in respect of such circumstances shall be dealt with in accordance withthe requirements of Article 20 of this Agreement.


SWAHILI:
4 Hawana haki ya kutangaza, kujitoa, kusimamisha au kumaliza Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na tukio la uvunjifu mkubwa wa mkataba, mabadiliko muhimu ya hali, ukatwaji wa mahusiano ya kidiplomasia au kidiplomasia, au sheria za kimataifa. Hata hivyo, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusu hali hizo utashughulikiwa kulingana na mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Mkataba huu.
JamiiForums-1000003237.jpg
 
"makubaliano ya mkataba hayatovunjwa KWA sababu yeyote ile hata ikitokea mabadiliko yeyote yale yawe ya kiuchumi,kijamii,ukiukwaji wa haki yeyote ile mkataba hautovunjwa""

Nilivoelewa,nipo tayari kukosolewa kama nimeenda chaka!!
Mpaka! Ukiukwaji wa haki yoyote ile mkataba hautovunjwa!

Hata kiapo cha ndoa hakipo hivyo walahi!

KATAA NDOA
 
Msaada wa Google (disclaimer: sihusiki na makosa):

^Nchi Wanachama hazitakuwa na haki ya kukemea, kujiondoa, kusimamisha au kusitisha Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na ukiukaji wa nyenzo, mabadiliko ya kimsingi ya hali, kukatwa kwa uhusiano wa kidiplomasia au kibalozi, au sababu zingine zozote zinazotambuliwa chini ya sheria ya kimataifa. . Licha ya hayo yaliyotangulia, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusiana na hali kama hizo utatatuliwa kwa mujibu wa mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Makubaliano haya.^
Wamesha SIGN huu mkataba wa kuzimu!?
 
CB0BA203-C7AA-4BF6-8C6A-973E920412CF.jpeg


Huo ndio uwekezaji unaotarajiwa kufanywa ni project kadhaa sio mdogo kabisa, kama kuna good terms na utaongeza biashara sana.

Issue ni kutaka maelezo ya kina, kama ilivyokuwa kwenye mradi wa Bagamoyo, hizo zote ni independent constituents za mkataba zenye terms zake au fungu moja. Na details za hizo specific contracts kuona tunavuna au tunaibiwa.

Binafsi sikuwahi fikiria ni uwekezaji mkubwa ivyo na potential ya kusaidia kwenye miundombinu mingine kuongeza ufanisi. If we get good terms ni uwekezaji wenye tija; key word good terms.
 
Back
Top Bottom