Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,712
- 35,077
Kwa hiyo huu mkataba umebuniwa na wahuni ?Sitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi