huku kwetu
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 145
- 194
Habarini wakuu,
Samahani mimi ni mwajiriwa wa serikalini ivi karibuni, shida yangu jmn siwezi kabisa kubajeti hela. Sawa mwanzoni mwa mwezi nanunua kila kitu.
Ambacho nakuwa sina labda mboga mboga hizi. Na nikasema labda nitumiage 10 per wiki kutokana na mazingira ya kijijini. Sasa yani nikichenji hiyo kumi ndani ya siku mbili au tatu sina hela.
Na hivi NMB wakala ni hapo nje naenda natoa. Siku mbili sina kitu. Sisaidieni nifanyeje niweze kuhimili maisha ukizingatia ndo naanza kazi na kamshahaea kenyewe la laki 4 na
Samahani mimi ni mwajiriwa wa serikalini ivi karibuni, shida yangu jmn siwezi kabisa kubajeti hela. Sawa mwanzoni mwa mwezi nanunua kila kitu.
Ambacho nakuwa sina labda mboga mboga hizi. Na nikasema labda nitumiage 10 per wiki kutokana na mazingira ya kijijini. Sasa yani nikichenji hiyo kumi ndani ya siku mbili au tatu sina hela.
Na hivi NMB wakala ni hapo nje naenda natoa. Siku mbili sina kitu. Sisaidieni nifanyeje niweze kuhimili maisha ukizingatia ndo naanza kazi na kamshahaea kenyewe la laki 4 na