Naomba kushauriwa, kukosolewa, na kuelekezwa

MWANAHARAKATI MWEMA

Senior Member
Dec 16, 2022
192
270
Mimi ni mfanyakazi wa taasisi Fulani inayoshughulikia masuala ya Sheria, ninafamilia na ninazaidi ya miaka Zaidi ya Kumi kazini.

Kielimu Mimi ni wamadarasa 11, haina yangu Ni mpole na mwenye huruma sana na nisiyependa utani kwa kuwa huwa mwepesi kukwazika.

Katika maisha yangu ya Kazini nimekuwa Nina tabia ya kutanguliza hutu badala ya kitu na hii inapelekea kuchukiwa na kusimangwa na wafanyakazi wezangu kwamba nitaishia hivyo hivyo na nitakufa Maskini,na wengine wanasema Mimi sikustaili kufanya Kazi hii Kwa Sababu ya upole wangu.

Mara nyingi nikikaa na wafanyakazi wezangu unicheka Kwa kuniambia kuwa Mimi sijitambui Kwa Sababu vitu vyote MUHIMU vinavyofanywa na vijana Kwa maana pombe,wanawake,sigara, michezo ya Kamali na mingine mingi sifanyi sasa wanajiuliza Mimi Nina Shida gani.

Unakuta mara nyingi wanapotaka kufanya Kazi yoyote AMBAYO inaonekana Kuna na malipo uwa natengwa au kutohusishwa na Mimi kama mwanadamu naumia Kwa Sababu najiona kama labda ninapungufu Fulani.

Kwa kuwa maisha ya utu nimeyazoea nimekuwa ninajitaidi kujitenga na harakati za kufezuri na kupenda kukaa nyumbani bhasi naambiwa kwamba Mimi mjinga na inawezekana sijui umuhimu WA Kazi niliyonayo.

Sasa naomba mnipe ushauri Kwa Sababu nakuwa napitia kipindi kigumu sana, Kwa kuwa wezangu wanapata pesa Kwa Sababu wao wanapambana mtaani sana, na wakati mwingine wanakuwa na pesa mpaka naona wivu na hapo unakuta Nina Shida inanikabili lakini moyo wangu unachukia uonevu.

Sasa nimeshauliwa au wananishawishi kwamba kama naitaji kupata mafanikio lazima nibadilike, Kwa maana nianze kunywa pombe Kwa kuwa marafiki wengi wanapatikana kwenye pombe na mipango mingi ya pesa inapatikana kwenye pombe.

Pia wanasema kwamba kama naitaji mafanikio ya haraka au maisha mazuri niondoe huruma niwe na Roho mbaya, Kwa kuwa ili utajilike lazima ukandamize wengine,na pesa haitaki mtu mwenye huruma wanasema mishahara haioshi ivyo ukitaka maisha mazuri Hakuna haki.

Mimi binafsi naamini maisha yangu yanaweza kuendeshwa Kwa Fani niipendayo ya Biashara japo bado Sina Biashara, pia naamini kupata Ni mpango WA mungu,lakini nimekuwa na hofu sana ya kufukuzwa Kazi kama nitafanya Jambo Kwa kuiga wengine wanachokifanya ,nimekuwa ninahofu sana na kutokuniamini sijui Ni Kwanini.

Sasa ndugu zangu nishurini maana naukumbuka msemo wa JK kwamba "Akili za kuambiwa changanya na zako" maana Ninawafahamu watu waliofukuzwa Kazi Kwa mambo kama hayo na Leo Hakuna anayewapa msaada wanadhalilika TU mtaani.

Asanteni
 
Mimi ni mfanyakazi wa taasisi Fulani inayoshughulikia masuala ya Sheria, ninafamilia na ninazaidi ya miaka Zaidi ya Kumi kazini.

Kielimu Mimi ni wamadarasa 11, haina yangu Ni mpole na mwenye huruma sana na nisiyependa utani kwa kuwa huwa mwepesi kukwazika.

Katika maisha yangu ya Kazini nimekuwa Nina tabia ya kutanguliza hutu badala ya kitu na hii inapelekea kuchukiwa na kusimangwa na wafanyakazi wezangu kwamba nitaishia hivyo hivyo na nitakufa Maskini,na wengine wanasema Mimi sikustaili kufanya Kazi hii Kwa Sababu ya upole wangu.

Mara nyingi nikikaa na wafanyakazi wezangu unicheka Kwa kuniambia kuwa Mimi sijitambui Kwa Sababu vitu vyote MUHIMU vinavyofanywa na vijana Kwa maana pombe,wanawake,sigara, michezo ya Kamali na mingine mingi sifanyi sasa wanajiuliza Mimi Nina Shida gani.

Unakuta mara nyingi wanapotaka kufanya Kazi yoyote AMBAYO inaonekana Kuna na malipo uwa natengwa au kutohusishwa na Mimi kama mwanadamu naumia Kwa Sababu najiona kama labda ninapungufu Fulani.

Kwa kuwa maisha ya utu nimeyazoea nimekuwa ninajitaidi kujitenga na harakati za kufezuri na kupenda kukaa nyumbani bhasi naambiwa kwamba Mimi mjinga na inawezekana sijui umuhimu WA Kazi niliyonayo.

Sasa naomba mnipe ushauri Kwa Sababu nakuwa napitia kipindi kigumu sana, Kwa kuwa wezangu wanapata pesa Kwa Sababu wao wanapambana mtaani sana, na wakati mwingine wanakuwa na pesa mpaka naona wivu na hapo unakuta Nina Shida inanikabili lakini moyo wangu unachukia uonevu.

Sasa nimeshauliwa au wananishawishi kwamba kama naitaji kupata mafanikio lazima nibadilike, Kwa maana nianze kunywa pombe Kwa kuwa marafiki wengi wanapatikana kwenye pombe na mipango mingi ya pesa inapatikana kwenye pombe.

Pia wanasema kwamba kama naitaji mafanikio ya haraka au maisha mazuri niondoe huruma niwe na Roho mbaya, Kwa kuwa ili utajilike lazima ukandamize wengine,na pesa haitaki mtu mwenye huruma wanasema mishahara haioshi ivyo ukitaka maisha mazuri Hakuna haki.

Mimi binafsi naamini maisha yangu yanaweza kuendeshwa Kwa Fani niipendayo ya Biashara japo bado Sina Biashara, pia naamini kupata Ni mpango WA mungu,lakini nimekuwa na hofu sana ya kufukuzwa Kazi kama nitafanya Jambo Kwa kuiga wengine wanachokifanya ,nimekuwa ninahofu sana na kutokuniamini sijui Ni Kwanini.

Sasa ndugu zangu nishurini maana naukumbuka msemo wa JK kwamba "Akili za kuambiwa changanya na zako" maana Ninawafahamu watu waliofukuzwa Kazi Kwa mambo kama hayo na Leo Hakuna anayewapa msaada wanadhalilika TU mtaani.

Asanteni
Pambana na hali yako ukiwaiga utapotea mazima
UKIIGA KUNYA KWA TEMBO UTAPASUKA??????
 
Kuwa mpole au mtaratibu haimaanishi uwe mvivu. Samahani Mkuu ila niseme tu wewe ni MVIVU!. Na mbaya zaidi unalijua ilo ila unajipa moyo kwa kisingizio cha upole/ukimya.

Mkuu pambana, maisha hayana huruma so usitake kuonewa huruma.

Kamwe usifanye kazi za bure eti kusema ni utu, achana na iyo mentaliti fanyakazi dai malipo/ujira wako maana fedha ndio itakupa mahitaji yako na kusonga mbele.

Mwisho kabisa, jichanganye na wadau Mkuu, sio lazima kuwa unakwenda club au bar ila jichanganye na wadau popote ulipo usikae kivyako vyako.

Kama unaenda kanisani jichanganye na wadau wa kanisani, kama ni msikitini jichanganye na wadau wa msikitini zaidi ya yote jichanganye na wadau wa kazini huko ndipo utapata watu wakukupa michongo maana utakuwa ni miongoni mwao.

Hautengwi bali unajitenga.

Nadhani nimekushauri, kukosoa na kukuelekeza Mkuu
 
Kuwa mpole au mtaratibu haimaanishi uwe mvivu. Samahani Mkuu ila niseme tu wewe ni MVIVU!. Na mbaya zaidi unalijua ilo ila unajipa moyo kwa kisingizio cha upole/ukimya.

Mkuu pambana, maisha hayana huruma so usitake kuonewa huruma.

Kamwe usifanye kazi za bure eti kusema ni utu, achana na iyo mentaliti fanyakazi dai malipo/ujira wako maana fedha ndio itakupa mahitaji yako na kusonga mbele.

Mwisho kabisa, jichanganye na wadau Mkuu, sio lazima kuwa unakwenda club au bar ila jichanganye na wadau popote ulipo usikae kivyako vyako.

Kama unaenda kanisani jichanganye na wadau wa kanisani, kama ni msikitini jichanganye na wadau wa msikitini zaidi ya yote jichanganye na wadau wa kazini huko ndipo utapata watu wakukupa michongo maana utakuwa ni miongoni mwao.

Hautengwi bali unajitenga.

Nadhani nimekushauri, kukosoa na kukuelekeza Mkuu
Thread closed
 
"Mizani ya hadaa ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza." chukua ushauri wa kufanya kazi kwa bidii na kujituma sio lazima ufanye wanachofanya rafiki zako na hata ukikifanya bado huenda kisikusaidie kwa sababu kila mtu ana njia yake ya kutoboa !!

ongeza bidii kwenye unayoyafanya na hizo ndoto zako za kufungua biashara zitimie taratibu utafikia !! utafanya kitu unachokipenda kutoka rohoni !!
 
"Mizani ya hadaa ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza." chukua ushauri wa kufanya kazi kwa bidii na kujituma sio lazima ufanye wanachofanya rafiki zako na hata ukikifanya bado huenda kisikusaidie kwa sababu kila mtu ana njia yake ya kutoboa !!

ongeza bidii kwenye unayoyafanya na hizo ndoto zako za kufungua biashara zitimie taratibu utafikia !! utafanya kitu unachokipenda kutoka rohoni !!
Kuna kitu cha kujifunza hapa
 
Mimi napenda sana kujichanganya shid
Kuwa mpole au mtaratibu haimaanishi uwe mvivu. Samahani Mkuu ila niseme tu wewe ni MVIVU!. Na mbaya zaidi unalijua ilo ila unajipa moyo kwa kisingizio cha upole/ukimya.

Mkuu pambana, maisha hayana huruma so usitake kuonewa huruma.

Kamwe usifanye kazi za bure eti kusema ni utu, achana na iyo mentaliti fanyakazi dai malipo/ujira wako maana fedha ndio itakupa mahitaji yako na kusonga mbele.

Mwisho kabisa, jichanganye na wadau Mkuu, sio lazima kuwa unakwenda club au bar ila jichanganye na wadau popote ulipo usikae kivyako vyako.

Kama unaenda kanisani jichanganye na wadau wa kanisani, kama ni msikitini jichanganye na wadau wa msikitini zaidi ya yote jichanganye na wadau wa kazini huko ndipo utapata watu wakukupa michongo maana utakuwa ni miongoni mwao.

Hautengwi bali unajitenga.

Nadhani nimekushauri, kukosoa na kukuelekeza Mkuu
A
Mgeni wa Jiji kakupa ushauri mzuri hapo juu. Acha uvivu kwa kisingizio cha uungwana.

Halafu jifunze kuandika pia. Unaandika kama mtoto wa chekechea.
Sawa bosi
 
Kuwa mpole au mtaratibu haimaanishi uwe mvivu. Samahani Mkuu ila niseme tu wewe ni MVIVU!. Na mbaya zaidi unalijua ilo ila unajipa moyo kwa kisingizio cha upole/ukimya.

Mkuu pambana, maisha hayana huruma so usitake kuonewa huruma.

Kamwe usifanye kazi za bure eti kusema ni utu, achana na iyo mentaliti fanyakazi dai malipo/ujira wako maana fedha ndio itakupa mahitaji yako na kusonga mbele.

Mwisho kabisa, jichanganye na wadau Mkuu, sio lazima kuwa unakwenda club au bar ila jichanganye na wadau popote ulipo usikae kivyako vyako.

Kama unaenda kanisani jichanganye na wadau wa kanisani, kama ni msikitini jichanganye na wadau wa msikitini zaidi ya yote jichanganye na wadau wa kazini huko ndipo utapata watu wakukupa michongo maana utakuwa ni miongoni mwao.

Hautengwi bali unajitenga.

Nadhani nimekushauri, kukosoa na kukuelekeza Mkuu
Mimi naweza sana kujituma kufanya, Shida Ni kwamba Kazi yangu inatoa Fulsa ya kupata pesa za r*****sh sasa Mimi nina huruma na hutu na napenda haki hapo ndipo naitaji ushauri nibadike au niendelee na moyo huu Kwa kuamini nitapata Baraka za mungu.
 
Mkuu mi nashauri za kuambiwa changanya na zako

Fanya kazi ya halali pata malipo ya halali, hata hizo kazi wanazosema zina hela kama za halali fanya then lipwa, usimuibie mtu wala usimkandamize mtu utaishia kubaya

Weka uhusiano mzuri na watu sio lazima kua attached nao ila kua na uhusiano mzuri epuka ugomvi

Kubwa kuliko MUNGU huwalipa watu wema tenda wema na kua muadilifu siku zote
 
Back
Top Bottom