Naomba ushauri: Mke wangu alinificha kwamba ameathirika

Naomba ushauri: Mke wangu alinificha kwamba ameathirika

Tuache tabia ya kuaminiana hovyo, mtu humjui tayari mshavuana!!
Huyo mwanamke anakupenda ndiomana alikuficha na wewe na tamaa zako za fisi hukukumbuka kupima.
Wewe endelea naye ila mkapate ushauri jinsi ya kuishi bila kuambukizana
 
Kwa maana hiyo mpaka Sasa pasi na shaka umeshajiridhisha uko -ve?

Nini kisababishi Cha homa na dizziness?

Na ukamuacha ndipo ugonjwa ukadhihiri itakuwaje?

Na kama hajaweza kukuambukiza mpaka Sasa inawezekanaje akaja kukuambukiza?
 
Kwa maana hiyo mpaka Sasa pasi na shaka umeshajiridhisha uko -ve?

Nini kisababishi Cha homa na dizziness?

Na ukamuacha ndipo ugonjwa ukadhihiri itakuwaje?

Na kama hajaweza kukuambukiza mpaka Sasa inawezekanaje akaja kukuambukiza?
Ndio nimepima hospital jana niko -ve
Na leo nimeenda naye kuthibisha hospital nyingine nimekutwa fresh ila kwa sababu tulienda wote nikapewa PEP nitumie siku 28 then niludi kuchek tena baaada ya hzo siku 28 kuisha.

Na hilo swali lako la mwisho wewe ungeweza kuendelea???
 
Mkuu kwanza pole sana kiakili nahis kama bado hujakaa sawa kwa TKO ulotaka kupigwa🤔cha kufanya pima zaidi ya mara tatu maeneo tofauti tofauti ukiona huna fanya kuhama mkoa kbs

🤔🤔🤔Mwaka mzima unaotmba hujapata aiseee wakamiaji tuna la kujifunza hapa
 
Kweli kabisa kabla ya kufanya maamuzi yoyote mkapime kwanza na hapo ndipo mimi nilipokosea
Haujakosea ndugu wala usijilaumu bali, sisi wafrika huwa tunaishi kwa kuaminiana na hatuna utaratibu wa kupima afya zetu.
Ushauri
  • Nenda ukampime mtoto ujue hali yake. Hiyo ni damu yako
  • Baada ya miezi 3 kapime ujue hali yako ila sasa kapime hospital km 3 hivi ujue hali yako.
Kama mtoto ni negative na wewe pia jaribu kukaa na mzazi mwenzako ili ajue umuhimu wa afya bora kwasababu kama alithubutu kuwa na wewe na ameathirika basi huenda km mtoto ni negative anaweza kumuambukiza ili muwe sawa.
Ni bora upate ukimwi kutokujua kuliko kupata ukimwi kwa kujua. Ugonjwa wowote ule hautakiwi uukubali
Ila pole sana
 
Ndio nimepima hospital jana niko -ve
Na leo nimeenda naye kuthibisha hospital nyingine nimekutwa fresh ila kwa sababu tulienda wote nikapewa PEP nitumie siku 28 then niludi kuchek tena baaada ya hzo siku 28 kuisha.

Na hilo swali lako la mwisho wewe ungeweza kuendelea???
Hali ya mtoto vipi?
Kama mimi siwezi kuendelea naye. Unafikiri hata angekuwa huyo mke wako wewe umeathirika mkeo angekubali kuendelea na wewe? Hayupo mwanamke wa hivyo lbd km ameathirika na yeye.
 
Ndio nimepima hospital jana niko -ve
Na leo nimeenda naye kuthibisha hospital nyingine nimekutwa fresh ila kwa sababu tulienda wote nikapewa PEP nitumie siku 28 then niludi kuchek tena baaada ya hzo siku 28 kuisha.

Na hilo swali lako la mwisho wewe ungeweza kuendelea???
Kama anaupendo na ni mwaminifu unaendelea.
 
Mkuu kwanza pole sana kiakili nahis kama bado hujakaa sawa kwa TKO ulotaka kupigwa🤔cha kufanya pima zaidi ya mara tatu maeneo tofauti tofauti ukiona huna fanya kuhama mkoa kbs

🤔🤔🤔Mwaka mzima unaotmba hujapata aiseee wakamiaji tuna la kujifunza hapa
Asante sana mkuu
 
Haujakosea ndugu wala usijilaumu bali, sisi wafrika huwa tunaishi kwa kuaminiana na hatuna utaratibu wa kupima afya zetu.
Ushauri
  • Nenda ukampime mtoto ujue hali yake. Hiyo ni damu yako
  • Baada ya miezi 3 kapime ujue hali yako ila sasa kapime hospital km 3 hivi ujue hali yako.
Kama mtoto ni negative na wewe pia jaribu kukaa na mzazi mwenzako ili ajue umuhimu wa afya bora kwasababu kama alithubutu kuwa na wewe na ameathirika basi huenda km mtoto ni negative anaweza kumuambukiza ili muwe sawa.
Ni bora upate ukimwi kutokujua kuliko kupata ukimwi kwa kujua. Ugonjwa wowote ule hautakiwi uukubali
Ila pole sana
Asante sana mtoto ni mzima na amepewa dawa ya kuzuia maambukizi
 
Hali ya mtoto vipi?
Kama mimi siwezi kuendelea naye. Unafikiri hata angekuwa huyo mke wako wewe umeathirika mkeo angekubali kuendelea na wewe? Hayupo mwanamke wa hivyo lbd km ameathirika na yeye.
Mtoto mzima na amepewa dawa ya kupunguza uwezekano wa kuambukizwa
 
Pole kwa mshtuko lakn[emoji838]

Mkuu huyo ajatak kuuambukz brother , mwaka mmoja angeamua ungeupata tuu , be free mind now amua kwa akili na sio hisia

Na dawa soon December inapatkn.
 
Kuna jamaa ni Mtoto wa mchungaji akapenda binti kanisani kumbe yule binti ni +
Binti kumbe alikuwa anamoenda Sana mshikaji akauchuna wameoana fresh baadae mimba ikatoka ,tena akajifungua Mtoto mfu jamaa kufwatilia kwa Dctor tatizo Doctor naya akijua jamaa anajua akawa anampa ushauri .

Wee kiliwaka vikao vikaanza jamaa anataka amwache ,kwenda kupima naye tayari +
Wakamtuliza binti akasema historia yake kumbe alizaliwa navyo na alikuwa anampenda Sana jamaa .
Hivi wanaishi pamoja ila jamaa demu yoyote asijichanganye anaye
Anaudhuriaga kwenye sehemu na kumbi za starehe au Mabaa na hoteli anaanza muudumu mmoja baada ya mmoja mpaka watakapo stuka .
Anatumia vinyaji Baridi pombe hagusi ni mkimya Sana na pesa ipo hivyo wananasa kweli na anaafya nzuri tuu.
Yaani ni hatari na nusu .
 
Back
Top Bottom