Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

Elimu ninayoisema siyo hiyo ya unayoijuia wewe ambayo ukifa unakufa nayo.Elimu ninayoisema mimi ni ile ambayo ukifa unafufuliwa nayo
Aliyewahi kufa akafufuka ni nani ukimwondoa yesu, historia inaonesha kuwa kabla ya yesu waliokufa na kufufuka walikuwa wengi ila YESU ndiye alitokea kuwa maarufu zaidi, baada ya hapo hakuna aliyewahi kufa na kufufuka labda misukule
 
Naona ushaishiwa cha kuandika. Sasa nitakuuliza ni mungu gani anaye rejelewa hapo ? Unafikiri hiyo ni Biblia ambayo ni zao la mwanadamu ?

Yaani Qur'aan ni maneno ya Allah, anaye yatamka ni Mtume, ndiyo inakuwa katika sura ya namna hiyo.
Alie andika Koran alikuwa anasahau ku switch kutoka first person kwenda third person Biblia Haina ujinga kama huo

Unaona utafauti Allah anasema Mungu ndie kweli anajisahau yeye ndio anatakiwa kuwa Mungu, biblia unaona wazi Yesu anasema Mimi ni kweli na uhai, kama Allah alikuwa anaongea na muhammad anabadili hilo ni tatizo lingine kubwa

Alah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....

Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
 
Kwanza nakupa pole sana, umesema umesoma madrasa na unaijua Dini ya kiislamu?kwa mtu anayeijua Dini ya Kiislam hawezi kuja kuomba msaada hapa jukwaani, naamini wewe ungekuwa msaada kwa wengine kuwaingiza kwenye Uisilamu.

Kama kweli ulichokifanya unakijua na malipo yako utakuwa unayajua baada ya kufa kaburini na siku ya kiaama. Kibaya zaidi unadiriki hata kuwapotosha watoto zako wakati wazazi wako wamekupa kheri zote? Nimejaribu kuandika lakini nashindwa kuuendelea, angalia wanaokupotosha wanakwambia Dini zote ni sawa, wapi na wapi? Nenda kwa wazazi wako ukawaambie kuhusu msimamo wako nadhani watakusaidia zaidi
Hovyo kabisa, yani nyie makobazi mnachojua ni vitishotu huwezi kumuelekeza mtu vizuri kwa logic,kitu kidogotu utaskia Kaburi,kiyama,mwanandani, mara sanda hahahaaa hovyo kabisa.
 
Hovyo kabisa, yani nyie makobazi mnachojua ni vitishotu huwezi kumuelekeza mtu vizuri kwa logic,kitu kidogotu utaskia Kaburi,kiyama,mwanandani, mara sanda hahahaaa hovyo kabisa.
Huku kwetu hakuna cha kusifiana,sijui maji ya upako,huwa tunaambizana ukweli
 
Vipi ulishapata MABWANA uliokuwa unawatafuta??


Tupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa superstar
Ndiyo
 
Mimi ni Muislam kwa baba na mama na hatuna historia ya dini nyingine labda huko nyuma kabisa ambapo hata bibi zangu hawakuwepo au hawajui, imetokea mimi tu kuupenda ukiristo kiasi ambacho tangu niko form one miaka zaidi ya ishirini kubadili majina yangu na kuwa ya Kikiristo na nilikua nikisema baba yangu mkristo mama yangu ndiyo Muislam.

Bahati mbaya nikiwa form two nilikaa hostel ya waroma kwahivyo nilikuwa napenda wakati mwingine kwenda kanisani japo nilikua sielewi kitu, kuna wakati napotezea naanza kusali kiislam kwasababu dini ya Kiislam naijua nimesoma madrasa nikiwa mdogo na hakuna kitabu cha dini kina kina kinanishinda kusoma na hapo zamani nilikua nikisia mtu anasoma kuruan nalia bila kujua nalilia nini nikawa namwambia mama mbona nie nalia nikiona au kusikia kuruan inasomwa? Mama ananiambia tu inaitwa midadi hiyo.

Nimejikuta tu wanangu sijawapeleka madrasa na shule nimewapeleka shule za kikiristo na sipendi kabisa za kiislam wala madrasa na huwa nawaambia wanangu nendeni kanisani, na utu uzima huu kuna wakati nilipata majanga makubwa nikaona njia sahihi ni kuombewa kanisani nikaenda roma kuombewa ndani ya siku tatu pepo likatoka na nimeendelea kusali kiroma nikiwa nyumbani na natumia maji ya baraka wakati mwingi nahisi kabisa yananisaidia, halafu nikiwa kanisani nina amani zote nachokisema nakielewa nachokisali nakielewa! Naona mahubiri ya father nayaelewa vizuri na hapa nyumbani redio nasikiliza redio Maria tu na naifurahia.

Sasa wakuu nisaidieni hili ni pepo au nini? Je nibadili dini na utu uzima huu? Au nifanyaje nifute historia hii? Yaan sasa hivi ndiyo nazidi kuzama kwenye ukristo kiasi ambacho hata wanangu natamani waanze mafundisho, au kuna sehemu sijielewi?

Suali ; hivi Kuna mahali katika biblia au kitabu chochote Yesu alisema kuweni wakristo ?? au alisema dini ya haki Na ukweli ni ukristo tena madhehebu ya Roma?
 
Upo sahihi kabisa ndugu na tena Mungu anataka umjue kupitia Yesu Kristo, endelea kuwa mkristo tena shika imani yako vizuri kabisa nawe utakuwa na amani tele na kuupata ufalme wa mbinguni mwishowe. Ubarikiwe!

Unapata kitabu gani maneno hayo ? Lete ushahidi tafadhali
 
Huku kwetu hakuna cha kusifiana,sijui maji ya upako,huwa tunaambizana ukweli
Hakuna reality yoyote ya maana, kitu chamaana nikumueleza mtu ukweli na ukweli sio kutaja taja makaburi sanda,sijui mwanandani, ilikutishana bila sababu, kwanini tufundishane imani kwa vitisho badala ya kufundisha fact kwamba, MUNGU ATATUSAMEHE MAKOSA YETU KAMA NASISI TUTAWASAMEHE WALIO TUKOSEA.
ama,MPENDE JIRANIYAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.

Acheni ujanja ujanja.
 
Hakuna reality yoyote ya maana, kitu chamaana nikumueleza mtu ukweli na ukweli sio kutaja taja makaburi sanda,sijui mwanandani, ilikutishana bila sababu, kwanini tufundishane imani kwa vitisho badala ya kufundisha fact kwamba, MUNGU ATATUSAMEHE MAKOSA YETU KAMA NASISI TUTAWASAMEHE WALIO TUKOSEA.
ama,MPENDE JIRANIYAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.

Acheni ujanja ujanja.

Ni wapi Mungu alituambia dini ambayo tuifuate Na anayoikubali ni ukristo?
 
Hakuna reality yoyote ya maana, kitu chamaana nikumueleza mtu ukweli na ukweli sio kutaja taja makaburi sanda,sijui mwanandani, ilikutishana bila sababu, kwanini tufundishane imani kwa vitisho badala ya kufundisha fact kwamba, MUNGU ATATUSAMEHE MAKOSA YETU KAMA NASISI TUTAWASAMEHE WALIO TUKOSEA.
ama,MPENDE JIRANIYAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.

Acheni ujanja ujanja.
Uisilamu siyo kutishani,na kuna hadisi nyingi zinasema hivyo,lakini inatofautiana mnazungumzia nini?mfano kuna mtu mmoja wa kibila la bedui tumuite kama mshamba hana ustarabu,alienda akakojoa ndani ya msikitini,Maswahaba wakataka kumpiga, Mtume Muhamad(S.A.W)akawakataza,kwanza aliwaamulu wamuache mpaka amalize kukojo,pili akawaamuru wapasafishe kwa kumwagia maji,na baadaye kutokana na ukarimu wa Mtume,yule jamaa akaslimu na kuwa Muisilamu.Sasa huwezi kuuchezea Uisilamu kama huyo mleta maada halafu watu wakakujibu kwa hadithi za kukupapasa
 
Q
Mimi ni Muislam kwa baba na mama na hatuna historia ya dini nyingine labda huko nyuma kabisa ambapo hata bibi zangu hawakuwepo au hawajui, imetokea mimi tu kuupenda ukiristo kiasi ambacho tangu niko form one miaka zaidi ya ishirini kubadili majina yangu na kuwa ya Kikiristo na nilikua nikisema baba yangu mkristo mama yangu ndiyo Muislam.

Bahati mbaya nikiwa form two nilikaa hostel ya waroma kwahivyo nilikuwa napenda wakati mwingine kwenda kanisani japo nilikua sielewi kitu, kuna wakati napotezea naanza kusali kiislam kwasababu dini ya Kiislam naijua nimesoma madrasa nikiwa mdogo na hakuna kitabu cha dini kina kina kinanishinda kusoma na hapo zamani nilikua nikisia mtu anasoma kuruan nalia bila kujua nalilia nini nikawa namwambia mama mbona nie nalia nikiona au kusikia kuruan inasomwa? Mama ananiambia tu inaitwa midadi hiyo.

Nimejikuta tu wanangu sijawapeleka madrasa na shule nimewapeleka shule za kikiristo na sipendi kabisa za kiislam wala madrasa na huwa nawaambia wanangu nendeni kanisani, na utu uzima huu kuna wakati nilipata majanga makubwa nikaona njia sahihi ni kuombewa kanisani nikaenda roma kuombewa ndani ya siku tatu pepo likatoka na nimeendelea kusali kiroma nikiwa nyumbani na natumia maji ya baraka wakati mwingi nahisi kabisa yananisaidia, halafu nikiwa kanisani nina amani zote nachokisema nakielewa nachokisali nakielewa! Naona mahubiri ya father nayaelewa vizuri na hapa nyumbani redio nasikiliza redio Maria tu na naifurahia.

Sasa wakuu nisaidieni hili ni pepo au nini? Je nibadili dini na utu uzima huu? Au nifanyaje nifute historia hii? Yaan sasa hivi ndiyo nazidi kuzama kwenye ukristo kiasi ambacho hata wanangu natamani waanze mafundisho, au kuna sehemu sijielewi?
 

Attachments

  • VID-20220520-WA0032.mp4
    5.2 MB
Niongee na Mokiti na Kisai hivi kuna mmoja wenu amewahi kujifunza kuhusu fractal Geometry? Nataka kutumia analojia yake kuonesha asili ya mnachobishania View attachment 2231811
Ukitazama ki sura na umbo hako kajani kamoja pembeni kanafanana kabisa na katawi kote kalivyokaa.

Kutokana na Yesu kuwa Mwana wa Mungu basi amezibeba sifa zile za Mungu ndio maana kuna baadhi ya watu wanashindwa kutofautisha vizuri.

Kitawi kikisema kwa seli mimi ndio ninawapa, maji, chakula na uhai, hata kijani pia kwa seli ndicho kinawapa maji, chakula na uhai wao! Umeona?

Kwa analojia seli zilizopo katika kajani kamoja zinaona hako kajani kama ndio kila kitu kwake na zinakatumikia. Ila kwa kutumikia hako kajani ndio hivyo zinalitumikia tawi zima na kuutumikia mmea mzima na mmea mzima ni mapenzi yake kabisa seli zitumikiane na kuzitambua mamlaka zilizo juu yake. Kajani na kitawi ni mmoja ila kuna kajani na kuna kitawi. Kajani[mwana] ndio njia pekee ya kuelekea kwa tawi zima[baba]. Jani na tawi hata siku moja havipingani ki matakwa ni 'kitu kimoja'

Sasa kwa kuwa seli ni ndogo sana kajani kwake kanaonekana ni kitu kuuubwa sana[infinity] kiasi kwamba wakiambiwa kuna tawi kubwa zaidi[infinity infinity] wanakubali na wanaelewa. By the way for all intents and purpose wakimuangalia jani wanapata sura halisi ya tawi na mmea ulivyo kisifa wanazoweza kuzielewa wao finite cells.

Kwa hiyo kwa level yetu ndogondogo ndogo sana Yesu ni Mungu[infinity] (Hata hivyo neno zuri tungetumia kusema YESU NI MMOJA NA MUNGU kuepusha tafrani) hamna kitu hakipo chini yake katika ulimwengu huu. Lakini sasa huyo Yesu yumo ndani ya Mungu tena infinity,infinity,infinity. Sisi tulio wadogo hatutenganishi kiuelewa infinity yoyote ile. Na we can do just fine hata tukiishia kuelewa level yetu mradi tufanye kitu ambacho kina uelekeo mwema kwa seli, mwema kwa kijani, mwema kwa kitawi na mmea mzima!
Soma maandiko yenu yanapingana na unacho kiandika. Kingine inaonyesha ya kuwa nyinyi mnajua zaidi kuliko Yesu mwenyewe mpaka mnamuita Mungu. Hakuna sehemu ambayo Yesu amesema yeye ni Mungu zaidi ya nyinyi kuleta maoni yenu binafsi na maoni yenu dhaifu sana, na hamgusi jambo husika.

Hakuna andiko hata moja ambalo mnalihusisha na uungu wa Yesu bila yeye kurejea kwa muwezeshaji ambaye andiko lenu humtaja kama ni Baba.
 
Kwa nini Allah kuna mda anasahau kumwambia muhammad sema , huku kuongea kwa allah na kutaja mungu mwingine ni muujiza
Wapi hapo amesahau ? Tuonyeshe tuone.
Allah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
Kijana naona kama kawaida yaki unajitekenya na kucheka mwenyewe, si ungemalizia tu hiyo aya uone imesemaje na inayofata kadhalika. Hili nalifanya mimi sasa.

Anasema Allah mtukufu :

62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli, na kwamba wale wanao waomba badala yake, ni baat'ili, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Aliye Juu na ndiye Mkubwa.


63. Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu huteremsha maji kutoka mbinguni, na mara ardhi inakuwa chanikiwiti? Hakika Mwenyezi Mungu ni Mpole na Mwenye kujua. (al-Haajj : 62-63)

Maana yake anaye abudiwa kinyume na Allah huyi ni batili.

Tuwekee andiko hilo kutokea mstari wa kwaza kisha mpaka wa nane. Yesu ametumwa na nani. Uzuri hakuna andiko ambalo mnamnasibisha Yesu na uungu ambalo haliwaumbui, yaani lazima Yesu arudishe jambo kwa Allah aliye juu.
 
Tunaendelea na nondo hilo la mwanga tumeshamaliza na Allah alishakujibu sasa kama hujapenda maelezo ya Allah sijui nikusaidieje
Hili la mwanga halijaisha, sababu bujajibu swali langu huo mwanga wa Yesu ni wa kimaana au maada ? Hili huwezi kulijibu achilia mbali tu kusema umelimaliza.
Allah Anatutajia tena sifa nyingine ya Mungu
Allah anasema kuna Mungu ambae Yeye ni mwanzo na mwisho
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Yohana akamsemea Yesu mwisho kabisa kwamba :

16 . “Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!”

Yaani Yesu ni mzawa wa ukoo wa Daudi halafu hapo hapo anasema amemtuma Malaika. Ukiangalia hili andiko kwa namna ya maandiko yanayotoka kwa Allah, tunasema kabisa haya maneno ya uongo achilia mbali tu ndani kumetajwa yeye ni wa uzao wa Daudi.

Swali, linakuja maneno hayo Yesu aliyasema akiwa wapi na huyo Malaika ni nani. Je wakati huo anaongea hayo Malaika alikuwa tayari ameshatumwa na makanisa yalikuwepo ?
 
Vipi ulishapata MABWANA uliokuwa unawatafuta??


Tupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa superstar
Kwa uzi huu wake wa "Tips za kuwa superstar bongo" ugoro uliopo ndani unaonyesha jinsi gani mleta mada ni mtu wa hovyo na anapenda zaidi mambo ya kikafiri kama alivyojielezea humo eti "anataka kupata mabwana"
Empress_sheila
#PatheticKafir
 
1Timothy 3:16 And without controversy great is the mystery of godliness: God was manifest in the flesh, justified in the Spirit, seen of angels,.........

Ulitaka hiyo flesh itoke kwenye uzao wa wapi?
nimekwambia unaposoma ukristo ukiweka nature ya mungu wako huwezi elewa Jehovah ni Roho hiyo ndio nature yake , Allah nature yake ni physical being creature hana uwezo wa ku manifest in flesh
Sasa hilo liko wazi. Mola ametuumba kwa mfano wake.

Sasa Biblia si imeshatuambia ni katika uzao wa Daudi, hii imeonyesha wazi kuwa Yesu si Mungu, sababu Mola hajaa wala hajazaliwa wala hafanani na chochote. Kitendo cha kuzaliwa tu kinaonyesha Yesu si Mungu.

Hata wewe ni Roho kadhalika na Roho haifi kijana, ndiyo maana kuna maisha ya kaburini na kuna ufufuo.
 
Back
Top Bottom