Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

Hivi kiswahili kinakupiga chenga?

Yesu aseme hivi?
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua

John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “

Yesu alipozungumza hayo ni maneno ya Yesu ?
Muandishi ananukuu maneno alivyotamka Yesu , mbona inaeleweka

Sasa tuje kwa huyu anaejisahau kwamba yeye ndio anatakiwa kuwa mungu

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
 
Muandishi ananukuu maneno alivyotamka Yesu , mbona inaeleweka

Sasa tuje kwa huyu anaejisahau kwamba yeye ndio anatakiwa kuwa mungu

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Kidogo umeanza kuelewa kuwa hayo ni maneno ambayo mwandishi aliyepewa jina la Yohana ndiye anayetuambia kuwa Yesu alisema.

Suali

Jee Una hakika gani kuwa Yesu aliyasema hayo maneno ?
Jee huyo mwandishi ni Yohana yupi ?

Na kwa nini Injili zimeanza Na Injili Kama ilivyoandikwa? According to?
Isiwe injili ya Yohana ?
 
Kidogo umeanza kuelewa kuwa hayo ni maneno ambayo mwandishi aliyepewa jina la Yohana ndiye anayetuambia kuwa Yesu alisema.

Suali

Jee Una hakika gani kuwa Yesu aliyasema hayo maneno ?
Jee huyo mwandishi ni Yohana yupi ?

Na kwa nini Injili zimeanza Na Injili Kama ilivyoandikwa? According to?
Isiwe injili ya Yohana ?
Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
 
Unapokuja na videos za watu kuugeukia uislam uje na za wanaougekia Ukristo pia ili ubalance kotekote. Najua huwezi kwasababu uko biased na pedophilia wenu.
Kwani Nani kakukataza kuleta video ??? au umekazania Na yule mwanaharamu asiyeingia katika ufalme wa Mungu Kama biblia inavyosema
 
Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Kwani wapi Yesu amesema yeye ni wa mwanzo Na wa mwisho ?
 
Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,


Katika Kitabu cha Ufunuo 1, aya ya 8, inaonyeshwa kuwa Yesu alisema yafuatayo kuhusu yeye mwenyewe: “Mimi ni Alfa na Omega”, asema Bwana, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu”.

Hizi ni sifa za Mwenyezi Mungu. Hivyo, Yesu, kulingana na Wakristo , hapa anadai uungu.

Hata hivyo, maneno yaliyotajwa hapo juu, ni kulingana na KJV.

Katika RSV, wanazuoni wa Biblia walisahihisha tafsiri na kuandika: “Mimi ni Alfa na Omega”, asema Bwana Mungu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu”.

Masahihisho pia yalifanywa kwa New American Bible (Biblia Mpya ya Marekani) iliyochapishwa na Katoliki.

Tafsiri ya Ayah hiyo imerekebishwa ili kuiweka katika muktadha wa sawa kama ifuatavyo:

“Bwana Mungu anasema: ‘Mimi ni Alfa na Omega, yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu’”.


Kwa masahihisho haya, ni dhahiri kuwa hii ni kauli ya Mwenyezi Mungu wala sio kauli ya Yesu
 
Katika Kitabu cha Ufunuo 1, aya ya 8, inaonyeshwa kuwa Yesu alisema yafuatayo kuhusu yeye mwenyewe: “Mimi ni Alfa na Omega”, asema Bwana, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu”.

Hizi ni sifa za Mwenyezi Mungu. Hivyo, Yesu, kulingana na Wakristo , hapa anadai uungu.

Hata hivyo, maneno yaliyotajwa hapo juu, ni kulingana KJV.

Katika RSV, wanazuoni wa Biblia walisahihisha tafsiri na kuandika: “Mimi ni Alfa na Omega”, asema Bwana Mungu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu”.

Masahihisho pia yalifanywa kwa New American Bible (Biblia Mpya ya Marekani) iliyochapishwa na Katoliki.

Tafsiri ya Ayah hiyo imerekebishwa ili kuiweka katika muktadha wa sawa kaa ifuatavyo:

“Bwana Mungu anasema: ‘Mimi ni Alfa na Omega, yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mwenye Nguvu’”.


Kwa masahihisho haya, ni dhahiri kuwa hii ni kauli ya Mwenyezi Mungu wala sio kauli ya Yesu
Soma lugha ya asili ipo usipate shida na translations

Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
 
Hii sawa, ni maelezo ya Yohana


The Gospel of John:


Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:

"Many scholars of the past two centuries have denied that John wrote this book, partly because of their belief that the author fabricated many details such as the miracles and the discourses of Jesus. (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Gospel of John, Page1540)"


"Critical Analysis makes it difficult to accept the idea that the gospel as it now stands was written by one person. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"



"Within the gospel itself there are also some inconsistencies. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"To solve these problems, scholars have proposed various rearrangements that would produce a smoother order. However, most have come to the conclusion that the inconsistencies were probably produced by subsequent editing in which homogeneous materials were added to a shorter original. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"Other difficulties for any theory of eyewitness authorship of the gospel in its present form are presented by its highly developed theology and by certain elements of its literary style. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"The gospel contains many details about Jesus not found in the synoptic gospels. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"

"The final editing of the gospel and arrangement in its present form probably dates from between A.D. 90 and 100. Traditionally, Ephesus has been favored as the place of composition, though many support a location in Syria, perhaps the city of Antioch, while some have suggested other places, including Alexandria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
 
The Gospel of John:

Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:

"Many scholars of the past two centuries have denied that John wrote this book, partly because of their belief that the author fabricated many details such as the miracles and the discourses of Jesus. (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Gospel of John, Page1540)"


"Critical Analysis makes it difficult to accept the idea that the gospel as it now stands was written by one person. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"



"Within the gospel itself there are also some inconsistencies. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"To solve these problems, scholars have proposed various rearrangements that would produce a smoother order. However, most have come to the conclusion that the inconsistencies were probably produced by subsequent editing in which homogeneous materials were added to a shorter original. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"Other difficulties for any theory of eyewitness authorship of the gospel in its present form are presented by its highly developed theology and by certain elements of its literary style. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"The gospel contains many details about Jesus not found in the synoptic gospels. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"

"The final editing of the gospel and arrangement in its present form probably dates from between A.D. 90 and 100. Traditionally, Ephesus has been favored as the place of composition, though many support a location in Syria, perhaps the city of Antioch, while some have suggested other places, including Alexandria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
Ma copy paste achana nayo , wewe kasoma biblia kwa lugha yake ya mwanzo

Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
 
Soma lugha ya asili ipo usipate shida na translations

Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,


Umeandika :

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,


Majibu:

Ikiwa kweli Kiswahili unakielewa , anayesema ni nani hapo ?

Swali kwako

Mbona hujatuambia Yesu kasema wapi kuwa yeye ni wa mwanzo na wa mwisho ??
 
Ma copy paste achana nayo , wewe kasoma biblia kwa lugha yake ya mwanzo

Jibu hili kwanza

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Copy and paste, Sorry mimi siandiki biblia na ndio nikakuletea ushahidi wa hizo biblia zilivyoandikwa


HIZO NI NUKUU KUTOKA NDANI YA BIBLIA


The Gospel of John:

Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:

"Many scholars of the past two centuries have denied that John wrote this book, partly because of their belief that the author fabricated many details such as the miracles and the discourses of Jesus. (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Gospel of John, Page1540)"


"Critical Analysis makes it difficult to accept the idea that the gospel as it now stands was written by one person. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"



"Within the gospel itself there are also some inconsistencies. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"To solve these problems, scholars have proposed various rearrangements that would produce a smoother order. However, most have come to the conclusion that the inconsistencies were probably produced by subsequent editing in which homogeneous materials were added to a shorter original. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"Other difficulties for any theory of eyewitness authorship of the gospel in its present form are presented by its highly developed theology and by certain elements of its literary style. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"The gospel contains many details about Jesus not found in the synoptic gospels. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"

"The final editing of the gospel and arrangement in its present form probably dates from between A.D. 90 and 100. Traditionally, Ephesus has been favored as the place of composition, though many support a location in Syria, perhaps the city of Antioch, while some have suggested other places, including Alexandria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
 
Umeandika :

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Ikiwa kweli Kiswahili unakielewa , anayesema ni nani hapo ?


Mbona hujatuambia Yesu kasema wapi kuwa yeye ni wa mwanzo na wa mwisho ??
Anaeongea ni Allah
Kama ni kweli mnatuambia anae ongea ni Allah alaitakiwa kusema Mimi ndie mwanzo na mwisho
Sasa huyu Yeye ni nani Allah anaongea alafu anataja yeye anakuwa anamtaja nani?

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
 
Copy and paste, Sorry mimi siandiki biblia na ndio nikakuletea ushahidi wa hizo biblia zilivyoandikwa


HIZO NI NUKUU KUTOKA NDANI YA BIBLIA


The Gospel of John:

Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:

"Many scholars of the past two centuries have denied that John wrote this book, partly because of their belief that the author fabricated many details such as the miracles and the discourses of Jesus. (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Gospel of John, Page1540)"


"Critical Analysis makes it difficult to accept the idea that the gospel as it now stands was written by one person. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"



"Within the gospel itself there are also some inconsistencies. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"To solve these problems, scholars have proposed various rearrangements that would produce a smoother order. However, most have come to the conclusion that the inconsistencies were probably produced by subsequent editing in which homogeneous materials were added to a shorter original. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"Other difficulties for any theory of eyewitness authorship of the gospel in its present form are presented by its highly developed theology and by certain elements of its literary style. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


"The gospel contains many details about Jesus not found in the synoptic gospels. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"

"The final editing of the gospel and arrangement in its present form probably dates from between A.D. 90 and 100. Traditionally, Ephesus has been favored as the place of composition, though many support a location in Syria, perhaps the city of Antioch, while some have suggested other places, including Alexandria. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
Achana na copy paste Jenga hoja zako mwenyewe, uliyo weka yapo google kama ulivyo ya paste hapa
 
Anaeongea ni Allah
Kama ni kweli mnatuambia anae ongea ni Allah alaitakiwa kusema Mimi ndie mwanzo na mwisho
Sasa huyu Yeye ni nani Allah anaongea alafu anataja yeye anakuwa anamtaja nani?

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Hivyo ni unavyotaka wewe ,


Anza tokea Aya ya mwanzo inamzungumza nani ??? nakuwekea



Sura Ya Hamsini Na Saba: Al-Hadid​


Imeshuka Madina. Ina Aya 29.
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ
Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.
سَبَّحَ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ {1}
Vinamsabihi Mwenyezi Mungu vilivyo katika mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
لَهُ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۖ يُحْيِي وَيُمِيتُ ۖ وَهُوَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {2}
Yeye ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha. Na Yeye ni Mwenye uweza wa kila kitu.
هُوَ الْأَوَّلُ وَالْآخِرُ وَالظَّاهِرُ وَالْبَاطِنُ ۖ وَهُوَ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمٌ {3}
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhahiri na wa Batini, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.
هُوَ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۚ يَعْلَمُ مَا يَلِجُ فِي الْأَرْضِ وَمَا يَخْرُجُ مِنْهَا وَمَا يَنْزِلُ مِنَ السَّمَاءِ وَمَا يَعْرُجُ فِيهَا ۖ وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنْتُمْ ۚ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ {4}
Yeye ndiye aliyeziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akastawi juu ya Arshi. Anayajua yanayoingia katika ardhi, na yanayoteremka kutoka mbinguni, na yanayopanda humo. Naye yuko pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayoyatenda.
لَهُ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَإِلَى اللَّهِ تُرْجَعُ الْأُمُورُ {5}
Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.
يُولِجُ اللَّيْلَ فِي النَّهَارِ وَيُولِجُ النَّهَارَ فِي اللَّيْلِ ۚ وَهُوَ عَلِيمٌ بِذَاتِ الصُّدُورِ {6}
Huuingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na Yeye ni Mwenye kuyajua yaliomo vifuani.
آمِنُوا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ وَأَنْفِقُوا مِمَّا جَعَلَكُمْ مُسْتَخْلَفِينَ فِيهِ ۖ فَالَّذِينَ آمَنُوا مِنْكُمْ وَأَنْفَقُوا لَهُمْ أَجْرٌ كَبِيرٌ {7}
Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na toeni katika alivyowafanyia nyinyi kuwa ni waangalizi wake. Basi walioamini miongoni mwenu, na wakatoa, wana malipo makubwa.
 
Here is what the Bible's theologians and historians said about this gospel:
Basi J unajua kuna namna mbili kama sio tatu za kupokea taarifa mpya ambayo imekinzana na lie ulokuwa nayo
A. Kuikataa taarifa mpya na kubaki na ya zamani tu
B. Kuikataa taarifa ya zamani na kubaki na taarifa mpya tu
C. Kuzilinganisha hizo taarifa mbili, kulinganisha na uhalisia [hata kama itatikisa na kubadili uhalisia ulokuwepo kichwani kwangu] kisha kuchukua yale yanayoendana na uhalisia kutoka pande mbili A/B.

Basi mimi nimejaribu kutumia hiyo ya tatu na ndio nikaielewa hivyo maana nafahamu Quran ina maneno ya Mungu na Biblia pia ina maneno ya Mungu. Ndo kushare na nyie kama mtareconcile sawa, na kama mtachagua A au B huwa kuna sababu maelfu za kuchagua kwa hiyo we endelea tu wala usiwaze.

Nimetoka na kitu kinasema nisipende kutumia Yesu ni Mungu, kuna watu ntawaconfyuse, bora niseme Yesu ni Mmoja na Mungu[Japo bado wapo wanaokonfyuzika still] au Mwana wa Mungu
 
Achana na copy paste Jenga hoja zako mwenyewe, uliyo weka yapo google kama ulivyo ya paste hapa



Mimi nimekurahisishia kazi wewe nenda katafute hizi katika nukuu nilizokuwekea


Ita vyovyote copy au kopia lakini ukweli ndio huo


(The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Gospel of John, Page1540)"


(The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


(The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"


The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
 
Basi J unajua kuna namna mbili kama sio tatu za kupokea taarifa mpya ambayo imekinzana na lie ulokuwa nayo
A. Kuikataa taarifa mpya na kubaki na ya zamani tu
B. Kuikataa taarifa ya zamani na kubaki na taarifa mpya tu
C. Kuzilinganisha hizo taarifa mbili, kulinganisha na uhalisia [hata kama itatikisa na kubadili uhalisia ulokuwepo kichwani kwangu] kisha kuchukua yale yanayoendana na uhalisia kutoka pande mbili A/B.

Basi mimi nimejaribu kutumia hiyo ya tatu na ndio nikaielewa hivyo maana nafahamu Quran ina maneno ya Mungu na Biblia pia ina maneno ya Mungu. Ndo kushare na nyie kama mtareconcile sawa, na kama mtachagua A au B huwa kuna sababu maelfu za kuchagua kwa hiyo we endelea tu wala usiwaze.

Nimetoka na kitu kinasema nisipende kutumia Yesu ni Mungu, kuna watu ntawaconfyuse, bora niseme Yesu ni Mmoja na Mungu[Japo bado wapo wanaokonfyuzika still] au Mwana wa Mungu

Mbona unakimbia , Wapi yesu alisema mimi ni wa mwanzo na wa mwisho ??
 
Hivyo ni unavyotaka wewe ,


Anza tokea Aya ya mwanzo inamzungumza nani ??? nakuwekea



Sura Ya Hamsini Na Saba: Al-Hadid​


Imeshuka Madina. Ina Aya 29.

Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.

Vinamsabihi Mwenyezi Mungu vilivyo katika mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

Yeye ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha. Na Yeye ni Mwenye uweza wa kila kitu.

Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhahiri na wa Batini, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.

Yeye ndiye aliyeziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akastawi juu ya Arshi. Anayajua yanayoingia katika ardhi, na yanayoteremka kutoka mbinguni, na yanayopanda humo. Naye yuko pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayoyatenda.

Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.

Huuingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na Yeye ni Mwenye kuyajua yaliomo vifuani.

Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na toeni katika alivyowafanyia nyinyi kuwa ni waangalizi wake. Basi walioamini miongoni mwenu, na wakatoa, wana malipo makubwa.
Bado unaleta utata Allah anamtaja mwenyezi Mungu huyu anajitenganisha naye wazi kabisa

Sasa huyu Yeye ni nani Allah anaongea alafu anataja yeye anakuwa anamtaja nani?

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Alafu Aya ya mwanzo mmetengeneza haipo kwenye koran
 
Back
Top Bottom