Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

Alie andika Koran alikuwa anasahau ku switch kutoka first person kwenda third person Biblia Haina ujinga kama huo
Huwa nacheka sana unapo andika ujinga kama huu. Hiyo ndiyo fasihi ya Qur'aan ndiyo maana hukuti kosa mpaka kesho.

Mtume alikuwa analetewa aya na Malaika, na yeye Malaika anazitoa katika ubao ulio hifadhi mambo.

Kwa maana ya kuwa ni mtume anasema yale aliyo yasema Allah bila kupunguza wala kuzidisha.

Kujichanganya kwa Biblia ni pakubwa sana angalia tu mfano hapo anapojichanganya kwamba yeye alfa na omega halafu muda huo huo ametumwa na Mola...?
Unaona utafauti Allah anasema Mungu ndie kweli anajisahau yeye ndio anatakiwa kuwa Mungu, biblia unaona wazi Yesu anasema Mimi ni kweli na uhai, kama Allah alikuwa anaongea na muhammad anabadili hilo ni tatizo lingine kubwa
Nimeona kabisa kijana kumbe husomi maandiko yenu, haya tusome hapa :

10. Tena akaniambia, “Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.

11. Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”

12. “Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

13. Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Safi hapo unasema amesema Yesu, tuambie mstari wa 10 anakudiwa nani ?

Kingine maneno hayo anayasema nani toka kwa nani yaani akinukuu toka kwa nani ?

Mstari wa 12 nani anawapa habari wenzake. Kwa unavyotaka wewe hapo ilitakiwa isomeke, "Sikiliza, naja upesi pamoja na tuzo...".

Ndiyo maana mnasema Yesu ni mungu, yaani wajinga mpaka mnauzidi ujinga wenyewe.
Alah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
Sasa hiki si ni sawa na hicho alichosema huyu :

Tena akaniambia, “Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.

11. Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”

12. “Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

13. Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Au huoni tofauti ?

Maana yake hapo kuna mnukuzi na kuna aliye yasema hayo maneno. Mtume ananukuu, sasa sijui ulitaka asemaje na maneno hayo si ya Mtume ?
 
Soma maandiko yenu yanapingana na unacho kiandika. Kingine inaonyesha ya kuwa nyinyi mnajua zaidi kuliko Yesu mwenyewe mpaka mnamuita Mungu. Hakuna sehemu ambayo Yesu amesema yeye ni Mungu zaidi ya nyinyi kuleta maoni yenu binafsi na maoni yenu dhaifu sana, na hamgusi jambo husika.

Hakuna andiko hata moja ambalo mnalihusisha na uungu wa Yesu bila yeye kurejea kwa muwezeshaji ambaye andiko lenu humtaja kama ni Baba.
Tusisahau kwamba neno mungu ni cheo kama ilivyo rais, kama ambavyo ofisini unaye bosi anayeripoti kwa Bosi wake. Lakini hakuna namna nyie wafanyakazi mkafuata sense ya kampuni halafu isipitie kwa bosi kabla ya kufika kwa Bosi. Hii ni pale ambapo kwa asilimia mia/100% bosi anatimiza matakwa ya Bosi kikampuni.

Wewe mwenyewe hapo ni mungu kwa seli zako zinakutumikia na unazipenda. Sema waislamu mnafundishwa uoga sana kwa Mungu kuliko upendo na kitu kikikaribiana tu na shirki mnaogopa hata kukifikiria. Relaax.

Je unakubali kwamba wote sisi huku chini tutajibu kwa Yesu kabla hatujajibu kwa Mungu. Kwanza hili ni kosa maana kutokana na kwamba Yesu atahukumu vilevile ambavyo Mungu anahukumu. Kujibu kwa Yesu na kujibu kwa Mungu ni kitu kimoja.

Braza Mungu yupo [Baba] na Yesu yupo [Mwana] nakubali. Na pia Mungu ni mmoja tu hakuna mwingine.

Basi mi nimeacha kusema Yesu ni Mungu, ntakuwaga nasema tu Yesu ni mmoja na Mungu. Yesu ni njia ya kumfikia Mungu. Yesu anatenda kazi kwa mamlaka aliyopewa na Baba. Anatenda mapenzi ya Baba na ndio maana sense/uelekeo/will yake ndio will ya Baba, kwa hiyo tusiseme will ya Yesu bali ni will ya Baba all along.

Kutokana na level yetu kumuelewa Mungu sijui kama inawezekanika, ila tunapomuangalia Yesu at least tunapata ile sense ya how it may feel like. Kwa sababu katika utendaji wake anatufunulia utendaji wa Mungu Baba. Tunaposema Yesu amemuwakilisha Baba kikamilifu hapa duniani sio shirki. Ila basi binafsi hata kama nitatumia Yesu ni Mungu najua jinsi inavyomaanisha usishtuke. Ila kuwa honest sijui kama kuna mtu anasemaga 'Mungu ni Yesu' wote utaskia tu Yesu ni Mungu.

Natamani ungedownload haka kapicha umeditate upon it maana mi ukiniuliza sijui haya nimetoa aya gani au kitabu gani ntakwambia nimesoma katika hili jani. Katika nature. Vyote vilivyoumbwa ni ishara kwa wenye akili, na hakika Yeye ndio mwenye kujua zaidi
BABA NA MWANA.jpg
 
Maelfu ya seli ndio sisi kwenye hiki kidunia chetu. Hiyo imsaidie na Mokiti aelewe anaposema Yesu ni Mungu imekaa kinamna gani👆

Ndio maana utakuta ukienda kufananisha sifa zinazotajwa za Mungu kwenye Quran unakuta zinaresonate/zinafanania sifa anazotajiwa Yesu. Sababu imekaa kama hivyo.

Mungu yupo na Yesu Yupo na Yesu na Mungu ni mmoja in that sense
 
Hili la mwanga halijaisha, sababu bujajibu swali langu huo mwanga wa Yesu ni wa kimaana au maada ? Hili huwezi kulijibu achilia mbali tu kusema umelimaliza.


Yohana akamsemea Yesu mwisho kabisa kwamba :

16 . “Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!”

Yaani Yesu ni mzawa wa ukoo wa Daudi halafu hapo hapo anasema amemtuma Malaika. Ukiangalia hili andiko kwa namna ya maandiko yanayotoka kwa Allah, tunasema kabisa haya maneno ya uongo achilia mbali tu ndani kumetajwa yeye ni wa uzao wa Daudi.

Swali, linakuja maneno hayo Yesu aliyasema akiwa wapi na huyo Malaika ni nani. Je wakati huo anaongea hayo Malaika alikuwa tayari ameshatumwa na makanisa yalikuwepo ?
Tupo hapa Allah anataja sifa kubwa sana ya Mungu ni kuwa mwanzo na mwisho kuwa mzao wa daud ni human flesh kijana mbona mkojo wa ngamia unakufanya uwe mjinga

Allah Anatutajia tena sifa nyingine ya Mungu
Allah anasema kuna Mungu ambae Yeye ni mwanzo na mwisho
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Point hii imeisha
 
Sasa hilo liko wazi. Mola ametuumba kwa mfano wake.

Sasa Biblia si imeshatuambia ni katika uzao wa Daudi, hii imeonyesha wazi kuwa Yesu si Mungu, sababu Mola hajaa wala hajazaliwa wala hafanani na chochote. Kitendo cha kuzaliwa tu kinaonyesha Yesu si Mungu.

Hata wewe ni Roho kadhalika na Roho haifi kijana, ndiyo maana kuna maisha ya kaburini na kuna ufufuo.
Naona unaweweseka soma tena

1Timothy 3:16 And without controversy great is the mystery of godliness: God was manifest in the flesh, justified in the Spirit, seen of angels,.........

Ulitaka hiyo flesh itoke kwenye uzao wa wapi?
nimekwambia unaposoma ukristo ukiweka nature ya mungu wako huwezi elewa Jehovah ni Roho hiyo ndio nature yake , Allah nature yake ni physical being creature hana uwezo wa ku manifest in flesh

God manifest in the flesh
 
Huwa nacheka sana unapo andika ujinga kama huu. Hiyo ndiyo fasihi ya Qur'aan ndiyo maana hukuti kosa mpaka kesho.

Mtume alikuwa analetewa aya na Malaika, na yeye Malaika anazitoa katika ubao ulio hifadhi mambo.

Kwa maana ya kuwa ni mtume anasema yale aliyo yasema Allah bila kupunguza wala kuzidisha.

Kujichanganya kwa Biblia ni pakubwa sana angalia tu mfano hapo anapojichanganya kwamba yeye alfa na omega halafu muda huo huo ametumwa na Mola...?

Nimeona kabisa kijana kumbe husomi maandiko yenu, haya tusome hapa :

10. Tena akaniambia, “Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.

11. Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”

12. “Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

13. Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Safi hapo unasema amesema Yesu, tuambie mstari wa 10 anakudiwa nani ?

Kingine maneno hayo anayasema nani toka kwa nani yaani akinukuu toka kwa nani ?

Mstari wa 12 nani anawapa habari wenzake. Kwa unavyotaka wewe hapo ilitakiwa isomeke, "Sikiliza, naja upesi pamoja na tuzo...".

Ndiyo maana mnasema Yesu ni mungu, yaani wajinga mpaka mnauzidi ujinga wenyewe.

Sasa hiki si ni sawa na hicho alichosema huyu :

Tena akaniambia, “Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.

11. Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.”

12. “Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

13. Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Au huoni tofauti ?

Maana yake hapo kuna mnukuzi na kuna aliye yasema hayo maneno. Mtume ananukuu, sasa sijui ulitaka asemaje na maneno hayo si ya Mtume ?
Koran Kuna sehemu Muhammad alikuwa anakumbuka Kuweka neno sema sehemu zingine anasahau, Allah kama yeye ni Mungu hawezi kuongea kwa staili ya ku refer alafu unasema ni fasihi , fasihi gani ya kujisahau ,
Kuna shida kubwa aliendika Koran alizingua kwenye kuandika Allah anashindwajwe kusema Mimi kama Yesu alivyosema?

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
 
Hakuna reality yoyote ya maana, kitu chamaana nikumueleza mtu ukweli na ukweli sio kutaja taja makaburi sanda,sijui mwanandani, ilikutishana bila sababu, kwanini tufundishane imani kwa vitisho badala ya kufundisha fact kwamba, MUNGU ATATUSAMEHE MAKOSA YETU KAMA NASISI TUTAWASAMEHE WALIO TUKOSEA.
ama,MPENDE JIRANIYAKO KAMA UNAVYO JIPENDA WEWE.

Acheni ujanja ujanja.
Amen!!
 
Tafuta hela hayo mapepo ya umaskin dini ya haki Ni uislam tu

Nani alikuonyesha dini ya haki ingawa uislamu ulitanguliwa na ukristo pamoja na hivyo imani na maandiko ya ki islamu yanautambua ukristo?
Acha chuki na roho ya kulisha watu sumu ya chuki

Mwamini mungu
 
Uisilamu siyo kutishani,na kuna hadisi nyingi zinasema hivyo,lakini inatofautiana mnazungumzia nini?mfano kuna mtu mmoja wa kibila la bedui tumuite kama mshamba hana ustarabu,alienda akakojoa ndani ya msikitini,Maswahaba wakataka kumpiga, Mtume Muhamad(S.A.W)akawakataza,kwanza aliwaamulu wamuache mpaka amalize kukojo,pili akawaamuru wapasafishe kwa kumwagia maji,na baadaye kutokana na ukarimu wa Mtume,yule jamaa akaslimu na kuwa Muisilamu.Sasa huwezi kuuchezea Uisilamu kama huyo mleta maada halafu watu wakakujibu kwa hadithi za kukupapasa
Pole
 
Kwa uzi huu wake wa "Tips za kuwa superstar bongo" ugoro uliopo ndani unaonyesha jinsi gani mleta mada ni mtu wa hovyo na anapenda zaidi mambo ya kikafiri kama alivyojielezea humo eti "anataka kupata mabwana"
Empress_sheila
#PatheticKafir
Kunywa maji upunguze hasira! Pamoja na yote mie ni mwanadam!
 
Ukristo ni ukafiri? Acha upopoma ww shwain. Hivi umewahi kutana na mganga mkristo? au jini la kikristo?

Jibu hayo maswali mawili nijue una upopoma kiasi gani.

Sijuagi hawa watu huwa wana shida gani na ukristo,wana chuki za wazi wazi sana ingali wakristo wenyewe hawana tatizo nao
 
  • Thanks
Reactions: hnp
Kunywa maji upunguze hasira! Pamoja na yote mie ni mwanadam!
Nicheke kwanza 😂😂😆 ,kivipi niwe na hasira kitu ambacho hakininufaishi wala kunidhuru wkt mtu akipotoka ni kwa nafsi yake na kuongoka vile vile kwa nafsi yake mwenyewe? kimfano hapo kwenye kupata mabwana si ilikuwa kwa nafsi yako mwenyewe (dhambi ,magonjwa mtoto,raha,maumivu nk)mimi nimepungukiwa nini na kuongezekewa nini Ktk maisha yangu ? Mimi nikikusikitikia tu na sio kukasika kwa ujinga wa mtu mwenyewe ..
 
ngoja nijaribu kuelezea utatu.

Kwanza ili uelewe utatu lazima ujue utofauti huu

a)1+1+1=3

b)1×1×1= 1

Katika mfano ' b' hapo juu ndio utatu wenyewe .

Ni hivi , baada ya wanadamu kuasi katika kanuni za kiroho ilipaswa lazima uhai utoke ndio wanadamu wapate kusamehewa dhambi zao.

Kumbuka Mungu hajikani neno lake, mshahara wa dhambi ni mauti na yeyote aliyetaka kuondolewa dhambi mauti iliyotokana na kuchinja mnyama au wanyama na kutoa sadaka( utaona kwenye agano la kale ) ilihusika.


Sasa kwa kuwa Mungu ana upendo, na ili asilikane neno lake na sheria yake mwenyewe ilibidi ashuke mwenyewe na itolewe sadaka takatifu ambayo itakomboa watu wote na utumwa wa dhambi ambao uliwahitaji wao kutoa sadaka niliyotaja hapo juu.


Sasa Mungu anashukaje, hapa ndio utatu unaeleweka sasa , Mungu akashuka kwa njia ya mwanadamu ( kumbuka yesu hakuwa mbegu ya mwanadamu ) kama wanadamu wengine, na hakuna mwanadamu wa kawaida ambaye anatokea katika mbegu ambazo sio za mwanadamu.

Mungu huyo huyo akashuka in form of a human kwaajili ya ukombozi wa watu.

Sasa kuna watu huwa wanauliza swali la kijinga kama Mungu alishuka duniani , mbinguni alibaki nani ( watakaouliza hivi na wenyewe tuwaulize Mungu anawezaje kusikia mtu aliyepo singida , mwingine austaralia , Mwingine india?) hivyo basi jibu Mungu ni muweza wa yote na anaweza kuwa kote muda wote. Tusiulimit uwezo wa Mungu kwa uwezo mwanadamu wa kuwepo eneo moja kwa wakati mmoja.

Yesu alipomaliza mission yake akaondoka, alipoondoka akasema Roho mtakatifu atachukua hatamu.

Roho mtakatifu ni roho wa Mungu, anatufundisha na anatuongoza hapa duniani baada ya Mungu kuondoka inform of a human.

Yesu= Mungu alipokuja kama mwanadamu na ndio neno la Mungu

Roho mtakatifu= Roho wa Mungu/Jehovah ambaye hata hapa duniani ukiamua kusali utamsikia kabisa akikuongoza katika mambo mbalimbali

Mungu Baba= Jehovah/Yahweh

hivyo utatu ni simple kuelewa.... 1×1×1=1
 
Tupo hapa Allah anataja sifa kubwa sana ya Mungu ni kuwa mwanzo na mwisho kuwa mzao wa daud ni human flesh kijana mbona mkojo wa ngamia unakufanya uwe mjinga
Hapa kijana hutoki, labda ukiri ya kuwa aliye nukuu andiko lenu amezusha. Maana yake Yesu nabii wa Mola hawezi kujichanganya namna hii.
 
Hapa kijana hutoki, labda ukiri ya kuwa aliye nukuu andiko lenu amezusha. Maana yake Yesu nabii wa Mola hawezi kujichanganya namna hii.
Tunajadili hili

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
 
Hapa kijana hutoki, labda ukiri ya kuwa aliye nukuu andiko lenu amezusha. Maana yake Yesu nabii wa Mola hawezi kujichanganya namna hii.
😂😂😂😂 Ilichukua muda Sana kusoma na kugundua Allah ametaja Kuna Mungu na sifa zake kaziweka wazi , na hakuna ata sehemu moja kajiita Mimi ,Allah ana refer kwa Mungu

Yesu kajiita Mimi mwanzo na mwisho, Mimi mwanga wa ulimwengu, Mimi mflame wa haki, Mimi kweli na uhai, Mimi hakuna kilichoumbwa bila Mimi, Mimi nafuta dhambi, Mimi nitahukumu siku ya mwisho

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....

Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....

102. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye, Muumba wa kila kitu...

Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........

Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...

Koran 59:23. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, ....
 
Tusisahau kwamba neno mungu ni cheo kama ilivyo rais, kama ambavyo ofisini unaye bosi anayeripoti kwa Bosi wake. Lakini hakuna namna nyie wafanyakazi mkafuata sense ya kampuni halafu isipitie kwa bosi kabla ya kufika kwa Bosi. Hii ni pale ambapo kwa asilimia mia/100% bosi anatimiza matakwa ya Bosi kikampuni.

Wewe mwenyewe hapo ni mungu kwa seli zako zinakutumikia na unazipenda. Sema waislamu mnafundishwa uoga sana kwa Mungu kuliko upendo na kitu kikikaribiana tu na shirki mnaogopa hata kukifikiria. Relaax.

Je unakubali kwamba wote sisi huku chini tutajibu kwa Yesu kabla hatujajibu kwa Mungu. Kwanza hili ni kosa maana kutokana na kwamba Yesu atahukumu vilevile ambavyo Mungu anahukumu. Kujibu kwa Yesu na kujibu kwa Mungu ni kitu kimoja.

Braza Mungu yupo [Baba] na Yesu yupo [Mwana] nakubali. Na pia Mungu ni mmoja tu hakuna mwingine.

Basi mi nimeacha kusema Yesu ni Mungu, ntakuwaga nasema tu Yesu ni mmoja na Mungu. Yesu ni njia ya kumfikia Mungu. Yesu anatenda kazi kwa mamlaka aliyopewa na Baba. Anatenda mapenzi ya Baba na ndio maana sense/uelekeo/will yake ndio will ya Baba, kwa hiyo tusiseme will ya Yesu bali ni will ya Baba all along.

Kutokana na level yetu kumuelewa Mungu sijui kama inawezekanika, ila tunapomuangalia Yesu at least tunapata ile sense ya how it may feel like. Kwa sababu katika utendaji wake anatufunulia utendaji wa Mungu Baba. Tunaposema Yesu amemuwakilisha Baba kikamilifu hapa duniani sio shirki. Ila basi binafsi hata kama nitatumia Yesu ni Mungu najua jinsi inavyomaanisha usishtuke. Ila kuwa honest sijui kama kuna mtu anasemaga 'Mungu ni Yesu' wote utaskia tu Yesu ni Mungu.

Natamani ungedownload haka kapicha umeditate upon it maana mi ukiniuliza sijui haya nimetoa aya gani au kitabu gani ntakwambia nimesoma katika hili jani. Katika nature. Vyote vilivyoumbwa ni ishara kwa wenye akili, na hakika Yeye ndio mwenye kujua zaidiView attachment 2232297


Hayo ni maneno yako tunataka maneno ya Biblia , kila mtu anaweza kuwaza vyake na kujiita atakavyo kwa namna akili yake inavyompeleka.

Le
Mimi ni Muislam kwa baba na mama na hatuna historia ya dini nyingine labda huko nyuma kabisa ambapo hata bibi zangu hawakuwepo au hawajui, imetokea mimi tu kuupenda ukiristo kiasi ambacho tangu niko form one miaka zaidi ya ishirini kubadili majina yangu na kuwa ya Kikiristo na nilikua nikisema baba yangu mkristo mama yangu ndiyo Muislam.

Bahati mbaya nikiwa form two nilikaa hostel ya waroma kwahivyo nilikuwa napenda wakati mwingine kwenda kanisani japo nilikua sielewi kitu, kuna wakati napotezea naanza kusali kiislam kwasababu dini ya Kiislam naijua nimesoma madrasa nikiwa mdogo na hakuna kitabu cha dini kina kina kinanishinda kusoma na hapo zamani nilikua nikisia mtu anasoma kuruan nalia bila kujua nalilia nini nikawa namwambia mama mbona nie nalia nikiona au kusikia kuruan inasomwa? Mama ananiambia tu inaitwa midadi hiyo.

Nimejikuta tu wanangu sijawapeleka madrasa na shule nimewapeleka shule za kikiristo na sipendi kabisa za kiislam wala madrasa na huwa nawaambia wanangu nendeni kanisani, na utu uzima huu kuna wakati nilipata majanga makubwa nikaona njia sahihi ni kuombewa kanisani nikaenda roma kuombewa ndani ya siku tatu pepo likatoka na nimeendelea kusali kiroma nikiwa nyumbani na natumia maji ya baraka wakati mwingi nahisi kabisa yananisaidia, halafu nikiwa kanisani nina amani zote nachokisema nakielewa nachokisali nakielewa! Naona mahubiri ya father nayaelewa vizuri na hapa nyumbani redio nasikiliza redio Maria tu na naifurahia.

Sasa wakuu nisaidieni hili ni pepo au nini? Je nibadili dini na utu uzima huu? Au nifanyaje nifute historia hii? Yaan sasa hivi ndiyo nazidi kuzama kwenye ukristo kiasi ambacho hata wanangu natamani waanze mafundisho, au kuna sehemu sijielewi?
 
Back
Top Bottom