Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 3,146
- 6,009
Point nilitaka kuweka ni mwanga Allah anasema Mungu ni mwanga Yesu anajitaja na Kujidhihirisha Yeyes ni mwanga kipi kinakushinda kuelewa? nipoKwa ukamilifu wa aya hiyo uko hivi :
35. Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu. (an-Nur : 35)
Nakataa vipi hali toka kwa Mola wangu, na huo Allah alitumia kama mfano. Ndiyo maana nataka uniambie maana ya Mwanga wa Yesu ni nini ? Sababu hiyo lugha ni ya mfano, sasa tuambie Yesu alimaanisha nini aliposema yeye ni Mwanga wa ardhini, nataka utuwekee andiko alilosema yeye mwenyewe akilitolea ufafanuzi.
Duh! Sikua najua hilo
Point za mwanga na kweli allah kasha thibitisha Kasema Mungu ni mwanga na Mungu ni KweliKwa ukamilifu wa aya hiyo uko hivi :
35. Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu. (an-Nur : 35)
Nakataa vipi hali toka kwa Mola wangu, na huo Allah alitumia kama mfano. Ndiyo maana nataka uniambie maana ya Mwanga wa Yesu ni nini ? Sababu hiyo lugha ni ya mfano, sasa tuambie Yesu alimaanisha nini aliposema yeye ni Mwanga wa ardhini, nataka utuwekee andiko alilosema yeye mwenyewe akilitolea ufafanuzi.
Awe msaada kuwapotosha wengine ili wangine ili waanze kupata adhabu ya Kaburi baada ya kufa
Sikiliza nafsi yako inakwambia nini
Pamoja mkuu.Maandiko mi wala sijakariri, nikiyasomaga huwa nayajumlisha kichwani napata maana yake natulia.
Siku nyingine nikiulizwa natumia sense tu iliyojijenga na nashkuru Roho wa Mungu huwa ananiongoza kwa kweli.
Kwa hiyo kama unasubiri niquote vifungu huwa sipo vizuri. By the way mimi sio muwakilishi mzuri wa dini yoyote. Ila natamani kuwa na ni mfuasi mzuri wa Kristu
YESU ni MUNGU
Naona ushaishiwa cha kuandika. Sasa nitakuuliza ni mungu gani anaye rejelewa hapo ? Unafikiri hiyo ni Biblia ambayo ni zao la mwanadamu ?Allah anaongea alafu ana refer kwa Mungu kweli ni muujiza ,
Allah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
Jibu swali nililo kuuliza, mwanga wa Yesu ni nini kwa mujibu wa Yesu mwenyewe.Point za mwanga na kweli allah kasha thibitisha Kasema Mungu ni mwanga na Mungu ni Kweli
Sasa hapa allah Anatutajia tena sifa nyingine ya Mungu
Allah anasema kuna Mungu ambae Yeye ni mwanzo na mwisho
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Sasa hapo ajabu iko wapi ? Hayo ni maneno ya Allah mtume ana yanukuu kama yalivyo ndiyo maana yanakuwa katika hiyo sura.Allah anaongea alafu ana refer kwa Mungu kweli ni muujiza ,
Allah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
Sio JF tu. Hata huko kwa wenzetu mambo ni hayo hayo. Angalia mfano wa huyu binti mdogo anamuuliza baba yake na jibu linalotokaKuna mwalimu wangu aliwahi kujenga hoja yake kuhusu utatu akasema.
" Ujue ni rahisi kumuelewezsha mtoto kuwa Mungu I mmoja, kuliko kumwambia Mungu amegawanyika mara tatu,"
Nilipouona huu mfano wako ndio Nimekumbuka hii, yaani najiuliza kama sisi watu wazima umeona huwenda hatuja uelewa huo mfano wako, sijui watoto wenu huwa mnawaelewesha vipi?
Hivi unajua tofauti ya sifa na dhati?
Gari - dhati
Linakimbia, jeusi - sifa
Tangu nianze kutumia Jf sijawahi kumuona mkristo akifafanua utatu akaeleweka.
Kwa nini Allah kuna mda anasahau kumwambia muhammad sema , huku kuongea kwa allah na kutaja mungu mwingine ni muujizaSasa hapo ajabu iko wapi ? Hayo ni maneno ya Allah mtume ana yanukuu kama yalivyo ndiyo maana yanakuwa katika hiyo sura.
Kijana jena hoja za maana huku n kujichoresha.
Tunaendelea na nondo hilo la mwanga tumeshamaliza na Allah alishakujibu sasa kama hujapenda maelezo ya Allah sijui nikusaidiejeJibu swali nililo kuuliza, mwanga wa Yesu ni nini kwa mujibu wa Yesu mwenyewe.
Safi kabisa usisahau mstari wa kumi katika huo ufunuo wa Yohana, ule mstari wa uzao wa Daudi, maaa yake Yesu ni binadamu. Sasa labda ukiri hapa maandiko yenu ya uongo na yanapingana kwa uwazi.
kanisa katoliki, sio takatifu, na sio la mitume. unaweza kuchukua kanisa katoliki ukalinganisha na kanisa la mitume la kitabu ya Matendo? lile wameanzisha kina Petro? hili lenu limechuja.Kanisa ni Moja Takatifu Katoliki la mitume.Wewe si wakwanza mkuu.Wapo Watakatifu wengi waliosikia sauti ya ndani kama yako wakaongoka. Mtakatifu Paulo Mtume Mtakatifu Augustino Watakatifu Fransisco wa asizi n.k Karibu sana katika Dini ya kweli yenye mafundisho ya kweli aliyoiacha Yesu Kristu mwenyewe.Roho Mtakatifu akuongoze
1Timothy 3:16 And without controversy great is the mystery of godliness: God was manifest in the flesh, justified in the Spirit, seen of angels,.........Jibu swali nililo kuuliza, mwanga wa Yesu ni nini kwa mujibu wa Yesu mwenyewe.
Safi kabisa usisahau mstari wa kumi katika huo ufunuo wa Yohana, ule mstari wa uzao wa Daudi, maaa yake Yesu ni binadamu. Sasa labda ukiri hapa maandiko yenu ya uongo na yanapingana kwa uwazi.
Niongee na Mokiti na Kisai hivi kuna mmoja wenu amewahi kujifunza kuhusu fractal Geometry? Nataka kutumia analojia yake kuonesha asili ya mnachobishania View attachment 2231811
Ukitazama ki sura na umbo hako kajani kamoja pembeni kanafanana kabisa na katawi kote kalivyokaa.
Kutokana na Yesu kuwa Mwana wa Mungu basi amezibeba sifa zile za Mungu ndio maana kuna baadhi ya watu wanashindwa kutofautisha vizuri.
Kitawi kikisema kwa seli mimi ndio ninawapa, maji, chakula na uhai, hata kijani pia kwa seli ndicho kinawapa maji, chakula na uhai wao! Umeona?
Kwa analojia seli zilizopo katika kajani kamoja zinaona hako kajani kama ndio kila kitu kwake na zinakatumikia. Ila kwa kutumikia hako kajani ndio hivyo zinalitumikia tawi zima na kuutumikia mmea mzima na mmea mzima ni mapenzi yake kabisa seli zitumikiane na kuzitambua mamlaka zilizo juu yake. Kajani na kitawi ni mmoja ila kuna kajani na kuna kitawi. Kajani[mwana] ndio njia pekee ya kuelekea kwa tawi zima[baba]. Jani na tawi hata siku moja havipingani ki matakwa ni 'kitu kimoja'
Sasa kwa kuwa seli ni ndogo sana kajani kwake kanaonekana ni kitu kuuubwa sana[infinity] kiasi kwamba wakiambiwa kuna tawi kubwa zaidi[infinity infinity] wanakubali na wanaelewa. By the way for all intents and purpose wakimuangalia jani wanapata sura halisi ya tawi na mmea ulivyo kisifa wanazoweza kuzielewa wao finite cells.
Kwa hiyo kwa level yetu ndogondogo ndogo sana Yesu ni Mungu[infinity] hamna kitu hakipo chini yake katika ulimwengu huu. Lakini sasa huyo Yesu yumo ndani ya Mungu tena infinity,infinity,infinity. Sisi tulio wadogo hatutenganishi kiuelewa infinity yoyote ile. Na we can do just fine hata tukiishia kuelewa level yetu mradi tufanye kitu ambacho kina uelekeo mwema kwa seli, mwema kwa kijani, mwema kwa kitawi na mmea mzima!
Elimu ninayoisema siyo hiyo ya unayoijuia wewe ambayo ukifa unakufa nayo.Elimu ninayoisema mimi ni ile ambayo ukifa unafufuliwa nayoElimu ni ubunifu wa mwanadamu kama mimi na wewe