Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,679
- 4,417
Najitahidi kuelewa, nadhani nimeelewa kuwa tutumie maneno yenye hikma ya Mungu haijalishi yanatokea kitabu gani.Unaelewa nini pale nguzo ya Imani ya Dini yetu ya Kiislamu inapotaka kuviamini vitabu vya Mwenyezi Mungu?.
Pili mimi ntamuelewesha asiye Muislamu kwa njia atakayo ielewa kwa wepesi kwa kutumia mifano na njia alizo zoea.
Ningekuwa najadiliana na Muislamu mwenzangu,basi nisingetumia Injili bali ningetumia Qur'an,hadithi na sunna za mtume.
Nafikiri umenielewa.
Na wewe unajitahidi kutumia zaidi kile ambacho muhusika ataelewa. Okay ni nzuri hata mi hufanya vivyo hivyo kadri navyoweza
