King usiogope sana kuitwa mkristo mbona kila mkristo wa kweli ni muislamu, na kila muislamu wa kweli ni mkristo!


Mkristo ni mfuasi wa alichofanya na kufundisha Kristo, alichofanya Kristo ni 'Kuwa mtii wa mapenzi ya Mungu' na mapenzi ya mungu ni haya 'Kutumia akili yote na moyo wote
kumcha Mungu, na pia kumpenda jirani'
Muislamu ni mtii kwa Mungu -Mtii kwa Mungu anafuata anachoambiwa na Mungu either directly[Yesu, Muhamad na manabii wote waliopita automatically wanakuwa ni waislamu!] au kupitia kwa manabii na mitume wake. Katika dunia ya sasa muislamu ni mfuasi wa alichofundisha Mtume specifically, Mtume alifundisha 'Mungu ni mmoja mcheni yeye, mimi nayewaambieni haya ni mtume wake tu'. Kumcha Mungu ni kuyatenda mapenzi yake [utii]. Mapenzi yake ni yepi? Yapo unayojifunza katika Quran na yapo waliyofundisha manabii waliopita katika Kitabu. Na manabii wa kweli ikiwa wanawasilisha ile Kweli huwa hawapingani kamwe! Sasa huoni kama ukisoma Injil utafuata alichofundisha Kristu[aliyefundisha pia utii na upendo], and by definition YNWAM.... Mkristuu