Hawa watu wa namna hii wako wengi sana, wanajidai Waislamu kumbe si Waislamu, lengo lao ni kuichafua dini ya Allah, ila hili haliwezkani.Ni ipi ilikuwa ‘Aqidah na Manhaj yako huko zamani?
mmmh!
mmh!
Nina maswali mengi. Ila ngoja nikae kimya.
cc Kisai Kazakh destroyer naombeni muweke neno hapa.
رَبَّنَا لَا تُزِغْ قُلُوبَنَا بَعْدَ إِذْهَدَيْتَنَا وَهَبْ لَنَا مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً ۚ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْوَهَّابُ
“Our Lord, let not our hearts deviate after You have guided us and grant us from Yourself mercy. Indeed, You are the Bestower.” (Qur’an 3:8)
Ewe Mwenye kuzigeuza Nyoyo, uthibitishe Moyo wangu katika Dini yako.
Hii mada nawaachia nyinyi ndugu zangu mmalizane, mimi naona kama anmtanipotezea muda. Nasoma maoni yenu nipate faida.
