well saidKwenye afya ajira zina uhakika ila uwe na moyo wa kuhudumia watu, pesa zije baadae ! Ukiweka pesa kuwa kipaumbele utaiona kazi ngumu maana huko siyo sehemu ya kutajirisha watu. Ukitaka utajiri nenda biashara
Nenda hapo ukawe MoUkitaka utajiri nenda biashara
kwa upande wa maslahi, program za biashara/uchumi zipo vizuri mnoHabari jamani
Naomba ushauri je kati ya kozi ya Business administration na clinical medicine ipi bora na ajira zake zinapatikana sana
Nikujibu kwa. Swali la ww kupambanua kt CO na admin wa bsnes nani anahitajika zaidi kwa jamii na mwnye watrja wenhi kika mkoa hyo ndio uichagueHabari jamani
Naomba ushauri je kati ya kozi ya Business administration na clinical medicine ipi bora na ajira zake zinapatikana sana
anhaa sawa kiongozi nimekupata ..nilkuw natafut njia bora y kuanz nayo nikiend diplomaKwenye afya ajira zina uhakika ila uwe na moyo wa kuhudumia watu, pesa zije baadae ! Ukiweka pesa kuwa kipaumbele utaiona kazi ngumu maana huko siyo sehemu ya kutajirisha watu. Ukitaka utajiri nenda biashara
research sjafany nd maan nmeuliz kwanz wakubwaNikujibu kwa. Swali la ww kupambanua kt CO na admin wa bsnes nani anahitajika zaidi kwa jamii na mwnye watrja wenhi kika mkoa hyo ndio uichague
duuh kimsingi watu wananivuruga san mtaan wengne wanasem niende Afya wengne biasharakwa upande wa maslahi, program za biashara/uchumi zipo vizuri mno
Kwa upande wa ajira, kwa sasa hakuna program yoyote yenye guarantee kubwa maana kuna watu wa afya na walimu kibao mtaani, na hizi ndio program zilizokuwa zina guarantee kubwa.
In short kama una connection kasome biashara ila kama ni single man army kasome hiyo ya afya
Thanks sana kw ushaur wakoBusiness admistration n nzuri na ajira zake ziko bwelele serikalin na sekta binafsi n ww tu
Thanks sana kw ushaurBusiness admistration n nzuri na ajira zake ziko bwelele serikalin na sekta binafsi n ww tu
anhaa kwahiyo biashara nako kupo vizuri sndy??Kwenye afya ajira zina uhakika ila uwe na moyo wa kuhudumia watu, pesa zije baadae ! Ukiweka pesa kuwa kipaumbele utaiona kazi ngumu maana huko siyo sehemu ya kutajirisha watu. Ukitaka utajiri nenda biashara