Habari wana JF, rejea na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana nipo mkoa wa mwanza, nimemaliza Chuo mwaka Jana(2023), nimesoma kozi ya clinical medicine (utabibu) katika ngazi ya certificate (tabibu msaidizi)/ clinical Assistant, hivyo Basi nilikuwa naomba/ natafuta nafasi ya kujitolea iwe zahanati au kituo cha afya, naweza kufanya kazi maabara, duka la dawa, OPD nk.
Mawasiliano yangu 0623332979
NAWASHUKURU.
Mawasiliano yangu 0623332979
NAWASHUKURU.