Naomba ukaribisho

Naomba ukaribisho

mimi case yangu ni ya tofauti.
sikuji register kama wewe kwa Id mpya.

swali la kizushi
kwanini umefungua Id mpya, hauoni kwamba upo uwezekano wa kuchanganya mafaili ya Id yako mpya na Id yako ya zamani.

imi
Uliji register kwa I’d ipi kama haikua mpya.

Unauhakika gani kama hii ni I’d ya pili unaweza kuthibitisha. Acha ujuaji hii ni platform inayo fuatiliwa na watu wengi na hauwezi kumpangia mtu muda na wakati wa kuji register ili awe na uwezo wa kupost au ku reply kwenye mada
 
Leo ndio utaona! Subiri aje nimpe umaarufu kidogo katumia energy nyingi this month namkaushia haelewi! Nataka aje leo nina muda naye sana, tuhakikishe wote tunalala hoi, ban zitembee akapike pilau ale msenge huyu! Ananikomalia nakula nauli mara shoga sijui ndio level yake! Kuna matakataka huku ndani🚮
Mmh ngoja nijionee mie Ugomvi wa wanawake sio wa kuingilia.

Nawaombeni myamalize msije kuharibiana reputation
 
Uliji register kwa I’d ipi kama haikua mpya.

Unauhakika gani kama hii ni I’d ya pili unaweza kuthibitisha. Acha ujuaji hii ni platform inayo fuatiliwa na watu wengi na hauwezi kumpangia mtu muda na wakati wa kuji register ili awe na uwezo wa kupost au ku reply kwenye mada
Unatakiwa kuelewa kuwa wewe ni "Member" wakati mimi ni "JF-Expert member." huoni hiyo tofauti ?

halafu nakupa elimu ya bure, ukiona Id yeyote yenye JF-expert member au platinum member ujue huyo ni mwekezaji, sio mwanachama wa kawaida.
 
Unatakiwa kuelewa kuwa wewe ni "Member" wakati mimi ni "JF-Expert member." huoni hiyo tofauti ?

halafu nakupa elimu ya bure, ukiona Id yeyote yenye JF-expert member au platinum member ujue huyo ni mwekezaji, sio mwanachama wa kawaida.
Sidhani kama hiyo Elimu yako umuhimu kwa sasa
 
Leo ndio utaona! Subiri aje nimpe umaarufu kidogo katumia energy nyingi this month namkaushia haelewi! Nataka aje leo nina muda naye sana, tuhakikishe wote tunalala hoi, ban zitembee akapike pilau ale msenge huyu! Ananikomalia nakula nauli mara shoga sijui ndio level yake! Kuna matakataka huku ndani🚮
hilo pambano lifanyike offline kama itawapendeza.
 
Sina reputation yoyote hapa! Nataka leo nimpe umaarufu inaonekana anautaka sana! We uliona wapi mjamzito anaandika hivi? Amewachota wee mkawa mnatiririkaa mkahisi mnadeal na mtu timamu? Naona aliyemtuma anachekea chooni! Leo namsubiri aje! Alitukana kuna siku,aliniandika bonge moja ya paragraph sikumjibu mods wakapita nayo chap basi anahisi ananimudu! My pride can’t! Lol..
Ooh kumbe hii ni vita ya muda?
Mimi nikahisi ilianzia kwenye uzi wake?
Halaf wengine hata hatujali kamlenga nani tunaangalia nini anamaanisha, so hata usiingie mtegoni mwanike.

Mtaishia kuwa kituko bora cha mwaka
 
Wewe unaumia nini kama wababa wananiandikia nyuzi! Heal babe hii week nzima naona hupati usingizi unaniwaza! Uliuzaga ku.ma humu hukulipwa basi unaumia unahisi kuna mia mia naokota? Au wewe hunaga pa kupata pesa unahisi wote ndio tuna biashara kichaa hizo?

Kama haikuumi na kukusumbua unaniwazia nini? Wewe kama una akili timamu ukisoma hizo nyuzi unahisi nafanya nazo nini? Au unaumia hakuna anayekupa attention? Mimba yako inakupeleka vibaya sana mpumbavu usiyejielewa wewe!

Umeniona nimekaa kimya umeanza kuniletea usenge! Nyege z amimba ndio ziko hivi? Umekaa umeshindwa kulimalima hata hapo kwako unakuja kunieletea story za kikuda ulizotungq huko matako ww! Fanya mambo zilizokuleta humu msenge wewe au kuna bwanaako unamuona anaelekea kibla? Tena unikome! Heal soon qmmmk!
Eeeeeeeeeeeeeh na hivi tena
 
baaada ya kumpopoa umpatie haka katunywaji kwanza astay connected 😆
Limeanzia offline? Unaweza kukaa offline likipisha tutakushtua!
downloadfile-22.jpg
 
Mimi usiniweke kwenye mjadala wenu mkuu maadui nilionao wananitosha kwa sasa! Kununiwa na watu nisiowajua bado sijamaliza kushangaa!
point taken. Sasa mtu anakununia na hakujui kwanza kwa lipi. Hao achana nao furahia jf kwa raha zako na wasikupimie hewa. Kwani wao ndo wanakununulia bundle. Wafie mbele wakuache afu jifunze kutokasirika na mambo ya mtandaoni.
 
Mbona tulikuwa sawa tena nani kaleta mvurugano wote huo jamani yaan uzi hauwezi ukaisha fresh bila kuvurugana mashetani nyie. Chokochoko tu ndio mnazo mnafikiri jf ni ya mama zenu **** nyie mnafirwa matako wote msiojiheshimu jf.
 
Back
Top Bottom