Naomba niwaage

Naomba niwaage

Mungu akupe afya njema.
Pole sana Ushimen. Mwenyezi Mungu asimamie afya yako mkuu.
Jipe moyo mkuu, utayashinda haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu are you serious or just kidding. Kama ni kweli unamaanisha basi sote tunakuombea upone maana ni kweli sasa hivi unalala asubuhi inakuwa surprise Mungu akupe uponyaji Katika Jina la Yesu Kristo, Amina.
Piga nyungu mwanzo mwisho!
Unajuaje kama hana matatizo mengine ya Afya?
Mkuu JITAHIDI Sana, kuikimbia hofu kadri ya uwezo wako, wasiliana na kiongozi wako wa kiimani atakushauri vema, Mungu ni mwema atakuponya bila shaka.
Wala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo

Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)

Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..

Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.

Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.

Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
Jitenge ila usisahau vyungu na juice ya limao na tangawizi kwa wiiiingiiiiiiii,hakika utapona mkuu
Pole sana mkuu,
Wakuu, asanteni sana.
Hii kitu ipo na ninawashauri tu kuwa makini na hasa kuchukuwa tahadhari ili kuwalinda wanao tuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu..... hata sasa niseme naendelea vizuri sana, na Mungu amenisimamia katika hili.
Asante kwa MAOMBI yenu yalio niinuwa.
Asante kwa michango na PM zenu zilizo nifariji na kunitia moyo.
Asante kwa comments zenu zilizo nijenga na kunitoa hofu pakubwa.
Asante kwa kuniweka mawazoni mwenu na kunijulia hali, najivunia zaidi nikisema mnanijali sana.
Asante kwa msaada wote ule mliotoa kwa ushauri na pia member ulie nitumia dawa.
Asante kwa kujumuika nami kimawazo na kiroho.
Asante kwa urafiki wenu.
Asante kwa upendo wenu.
ASANTE, ASANTE, ASANTE tena nasema ASANTE.




Sent using Jamii Forums mobile app
Umepona Corona
Tuambie ilikiwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu..... hata sasa niseme naendelea vizuri sana, na Mungu amenisimamia katika hili.
Asante kwa MAOMBI yenu yalio niinuwa.
Asante kwa michango na PM zenu zilizo nifariji na kunitia moyo.
Asante kwa comments zenu zilizo nijenga na kunitoa hofu pakubwa.
Asante kwa kuniweka mawazoni mwenu na kunijulia hali, najivunia zaidi nikisema mnanijali sana.
Asante kwa msaada wote ule mliotoa kwa ushauri na pia member ulie nitumia dawa.
Asante kwa kujumuika nami kimawazo na kiroho.
Asante kwa urafiki wenu.
Asante kwa upendo wenu.
ASANTE, ASANTE, ASANTE tena nasema ASANTE.




Sent using Jamii Forums mobile app


Kila sifa njema anastahiki kusifiwa Mwenyezi Mungu, Mola wa walimwengu wote!


Karibu sana Mkuu, Allah azidi kukupa nguvu na afya njema.
 
Mungu apewe sifa kwa uponyaji wake!
Wakuu..... hata sasa niseme naendelea vizuri sana, na Mungu amenisimamia katika hili.
Asante kwa MAOMBI yenu yalio niinuwa.
Asante kwa michango na PM zenu zilizo nifariji na kunitia moyo.
Asante kwa comments zenu zilizo nijenga na kunitoa hofu pakubwa.
Asante kwa kuniweka mawazoni mwenu na kunijulia hali, najivunia zaidi nikisema mnanijali sana.
Asante kwa msaada wote ule mliotoa kwa ushauri na pia member ulie nitumia dawa.
Asante kwa kujumuika nami kimawazo na kiroho.
Asante kwa urafiki wenu.
Asante kwa upendo wenu.
ASANTE, ASANTE, ASANTE tena nasema ASANTE.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, asanteni sana.
Hii kitu ipo na ninawashauri tu kuwa makini na hasa kuchukuwa tahadhari ili kuwalinda wanao tuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana tunafurahi kukuona ukirejea tena uwanjani mkuu maana ulitaka kufanya timu ifungwe kutokana na huzuni hasa sisi abiria wako tunaoombaga lift kwenye kale kagari kako kenye korodani nyuma na kama hutojali nitupie picha hapa nifurahi kwenye huu huu uzi aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu..... hata sasa niseme naendelea vizuri sana, na Mungu amenisimamia katika hili.
Asante kwa MAOMBI yenu yalio niinuwa.
Asante kwa michango na PM zenu zilizo nifariji na kunitia moyo.
Asante kwa comments zenu zilizo nijenga na kunitoa hofu pakubwa.
Asante kwa kuniweka mawazoni mwenu na kunijulia hali, najivunia zaidi nikisema mnanijali sana.
Asante kwa msaada wote ule mliotoa kwa ushauri na pia member ulie nitumia dawa.
Asante kwa kujumuika nami kimawazo na kiroho.
Asante kwa urafiki wenu.
Asante kwa upendo wenu.
ASANTE, ASANTE, ASANTE tena nasema ASANTE.




Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni mwema.
 
Umepona Corona
Tuambie ilikiwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida

Hapo chini nimeambatanisha dawa niliyo tumiwa na nilipo ipokea.
IMG-20200502-WA0002.jpg
IMG-20200504-WA0003.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu..... hata sasa niseme naendelea vizuri sana, na Mungu amenisimamia katika hili.
Asante kwa MAOMBI yenu yalio niinuwa.
Asante kwa michango na PM zenu zilizo nifariji na kunitia moyo.
Asante kwa comments zenu zilizo nijenga na kunitoa hofu pakubwa.
Asante kwa kuniweka mawazoni mwenu na kunijulia hali, najivunia zaidi nikisema mnanijali sana.
Asante kwa msaada wote ule mliotoa kwa ushauri na pia member ulie nitumia dawa.
Asante kwa kujumuika nami kimawazo na kiroho.
Asante kwa urafiki wenu.
Asante kwa upendo wenu.
ASANTE, ASANTE, ASANTE tena nasema ASANTE.




Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni mkuu,karibu tena kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom