Naomba niwaage

Naomba niwaage

Ni ipi kaka maana nimeoneshwa picha mbili tofauti???

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio yenyewe
2386794_20200502_122843.jpeg
 
🤣🤣🤣🤣Imebidi tu nicheke unajua wewe huna akili!!!
Anyway ahsante kwa hiko cheo japo si changu ana recover anafanya mazoezi
na kujifukiza vitamin c kwa wingi pia
Bado anapumua si mnaona hata analike humu? Kama humpati ina maana amezima simu amepumzika unaweza kumcheki mida ya saa 4 au saa 3 asubuhi.
Mwenye update ya maendeleo ya rafiki yetu @ ushimen shemeji yetu amu tupe taarifa jamani simu yake haipo hewani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imebidi tu nicheke unajua wewe huna akili!!!
Anyway ahsante kwa hiko cheo japo si changu ana recover anafanya mazoezi
na kujifukiza vitamin c kwa wingi pia
Bado anapumua si mnaona hata analike humu? Kama humpati ina maana amezima simu amepumzika unaweza kumcheki mida ya saa 4 au saa 3 asubuhi.
Comments yangu haja like shemeji usijali pia nimefarijika kwa kuona tabasamu yako ikirejea ni kielelezo kuwa mpendwa wetu yu na maendeleo mazuri...mwambie pia hata jir ani naye baada ya kutoka Njombe na Mbeya hali yake imeyumba ni leo at least yupo na tabasamu ila bado ana kifua na kikohozi kama mwenye pumu. .Ukweli ugonjwa upo tuendelee kumuomba Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa taarifa, ulichoandika ndiyo hali halisi.

Hatua ulizochukua ndiyo hatua stahili. Week ya 3 sasa nimekuwa katika mapambano ya hali kama yako.

Sikuwa karibu na wife, chakula changu kikawa duni, nilishindia uji wa lishe nikiyopewa na majirani zangu wenye upendo.

Shemeji zangu na kijana jirani walifanya kazi kubwa kuniandalia majani ya Mwembe, mwarobain, alovera, mpera , mparachichi na mstafeli walichemsha na kunifukiza.

Wife akaja toka safari, akaniunganishia kufukiza na kuboresha chakula, uji, supu ya kuku, ugali laini ndizi kuku kwa mpangilio wa muda mfupi unakula hiki kwa kiasi cha mgonjwa .

Glass ya maziwa, tangawizi limao karafuu unakunywa, Ahsante Mungu nguvu zimerudi Niko vzr .

Kumpeleka mgonjwa hosp au huko Mlonganzila ni kumsogeza kaburini, Nampongeza sana Rais anaishi nasi anajua maisha yetu kupelekana hosp na kupewa majibu yanakuwa yanatisha yenye sura zote za maandalizi ya KUNYANYAPALIANA na kupelekea kifo .

Nyumba nzima , tujifukize nyumba nzima tunywe tiba mbadala.
 
Back
Top Bottom