Naomba niwaage

Naomba niwaage

Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.

Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa vizuri ukaweka wazi uliponaje mkuu,maana sio Ushimen pekee anaeishi kwa hofu tuko wengi humu ndani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usikate tamaa fanya hivi

Anza dosi ya mchanganyiko wa kuchemsha Wa limao ,tangawizi ,kitunguu swahum na chumvi kila wakati wakati huo pata dawa za kupunguza maumivu,weka antibiotic Kali ka ma azithromycin,na kama homa Kali piga na mseto inaweza kua malaria kama shida kupumu chukua salbutamol inhal.Tuliza kichwa punguza mawazo na kwa maelezo hayo ni matumain utaludi hapa janvin kwa kicheko
 
Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.

Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?

Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.

Fear is the darkenes
Hope is the lantern.

Sent using Jamii Forums mobile app

Boss naomba tips kidogo. Kusema kweli sijisikii vizuri.
 
Hahaha,pole,,wiki iliyopita nilipata homa kali nusra nitoke mbio kwenda hospital,maana kila nikilala naona joto linapanda kasi Kama niive,,halafu ndani Niko home alone

Kifua nacho kinabana kimtindo,,Mara mbili nakurupuka kitandani na kupepesuka kulifuata getting nitoke nje angalau Basi nifie nje,nisije kuozea ndani watu hawajui nimedead.

Nikajikaza kurudi ndani,nikanywa dawa ya kushusha homa,,wapi,,,nikajikongonja famasi,nikanunua metakeflin,nikarudi nikanywa na kutulia kitandani nikisema Sasa if I die,I die,

Kufikia jioni home imeshuka,

Nikawa Sasa naisikia kea mbali na hii SI kawaida,maana nikimeza dawa Mimi haichukui mda kupona,
Ila Sasa nimetimiza wiki na ushee,

Kifua bado Kama hakiko sawa,lakini ndo hivyo. Wanadai,ukipitisha wiki na zaidi haujawa kuzidiwa kuna uwezekano mkubwa wa kurecover maana mwili unakuwa umeshaanza kumjua adui na kupambana nae vilivyo.

As for me,sijui Kama Ni corona au ilikuwa maralia tu,maana sikuwa na chembe ya kikoozi ama mafua
 
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.

Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.

Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.

Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.

Ngoja nipambanie hii pumzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama ni muumini wa biblia pitia mstari huu:
Mithali - 18:21
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.

Haijalishi upo kwenye hali gani, pambania uhai wako huku ukiukiri uhai. Pindi unapopoteza tumaini na kuikiri mauti haina budi kuja.

Watu wengi wanaofanikiwa kuwa karibu na marehemu katika saa zake za mwisho utawasikia wakisema yamkini marehemu alijua ya kuwa anakaribia kufa, ila ukweli ni kuwa huwa mtu anaikiri mauti mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom