Tojo
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,810
- 3,087
Utapona mkuu! Chungu kweliNshapiga mkuu Ila ni chungu balaa Ila naona reaction yake iko fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nimeinywa yenyewe uzuri inafanya kazi faster ,nlikua najiskia hovyo Ila saivi niko poa kiasiYaani uzuri wa hiyo dawa inafiti popote, unaweza kuinywa yenyewe tu, au ukaichemsha na tangawizi (chai) au ukaichanganya kwenye nyungu ukajifukiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mnyaa nimejaribu kuwashirikisha watu nikaambiwa haifaiNamimi nimeshtuka nilipoona mnyaa, ni hatari sana usipokuwa makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Chungu balaa sema nzurihii dawa nzuri sana ya tumbo lililochafuka ila chungu kwelikweli ,
Huyu jamaa ameshikilia ile ile idadi ya 16,,,hajui kuwa watu wanakufa kila cku
Wanakula sana.Mnyaa naujua vizuri sana, ule utomvu wake unavutia ukiuona,,ila cjasikia mtu akila mnyaa,,ndio kwanza nackia mkuu.
Pitia mbege na nyama ya mbusi hapa ukajilie bwa shee!Jamaa mzushi... kumbe hujamjua vizuri bado?
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.
Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.
Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.
Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.
Ngoja nipambanie hii pumzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
So waona tunabatisha acha mazalau yako yani acha mazalau yakoDuh,hizi dawa mnazomtajia inawezekana kabisa zinasaidia ila nyingi ni kubahatisha,kwanini msimshauri aende hospitali mapema ili kama ni Covid-19 aanze matibabu pale na kama sio ndio aendelee na hizo mixer iwapo atagundulika ana hayo matatizo,kwa mfano hapo umetaja mseto na salbutamol,unawezaje kuzitumia hizo dawa kama hujajua una malaria au pumu...!
Wanakula sana.
Ukiubanika kwenye jiko la mkaa ule upande yanapoangukia majivu unakauka ule utomvu na kubaki mkavu kiasi sasa ukiutafuna kuna radha fulani kama jojo ila si tamu wala chungu kuna kauchachu flani.
Ila sio mzuri ukiutumia mara nyingi
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.
Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.
Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.
Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.
Ngoja nipambanie hii pumzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga Wako tuAmechoka.
Yupo vizuri.
Amejiweka karantini anajisikilizia.
Binafsi mimi usiku huu ni mbaya sana kwangu.
Najuta kwenda instagram kuangalia hayo mavideo ya maziko ya corona.
Zimeniumiza
Mkuu namshukuru Mungu naendelea vizuri ,toka nitumie ile Jani la Madagascar huwezi amini pua zimefunguka na nahisi harufu saivi kabisa
Safi sana kiongozi.. endelea kutumia maombi nayo usiache.Mkuu namshukuru Mungu naendelea vizuri ,toka nitumie ile Jani la Madagascar huwezi amini pua zimefunguka na nahisi harufu saivi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app