Naomba niwaage

Naomba niwaage

Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.

Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.

Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.

Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.

Ngoja nipambanie hii pumzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana kaka MWENYEZI MUNGU AKUPIGANIE POPOTE ULIPO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.

Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?

Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.

Fear is the darkenes
Hope is the lantern.

Sent using Jamii Forums mobile app
safi sana kaka ni vema kumpa mtu moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo

Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)

Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..

Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.

Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.

Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
pole sana kaka fanya na mazoezi kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
na ikiwezekana tafuta majani ya iyombo wachaga wanayaita hivyo naimani utakuwa poa ila kikubwa zoezi kaka na kwepa vyakula vya sukari kula vyakula vya alkaline kwa sana nenda vegetarian kama ikiwezekana kurudisha mazingira ya mwili sawa na zoezi nila kusahau maji ya moto kwa wingi kama kichwa kikiwa kinauma na mafua tumia kitungu swaumu tafuna

au changanya iyombo na kitungu swaumu twanga weka maji kunywa nusu glass utatema makohozi pamoja na chafya nyingi ila ndio njia ya kupunguza mucus mwilini

maana sisi wengi hatujui kwamba mafua (mucus) ni chanzo cha magonjwa mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
na kama mafua au kama corona ni inamafua (sijaona bado au kuona mgonjwa ndio maana nimeweka kama ni mafua) jaribu kula vyakula vya alkaline sana nimejatibu kufanya hivyo japo sijapata hilovtatizo ila mafua yanadhibitiwa kabisa

only way ya kupona ni msosi eat to live kaka naimani utakuwa fiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida

Hapo chini nimeambatanisha dawa niliyo tumiwa na nilipo ipokea.View attachment 1443257View attachment 1443258

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi
Dawa nyingine inakuja
Ila wote wamekunywa na wamevaa barakoa
IMG_20200508_155128_141.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanangu Ushimen Mungu atukuzwe kwa kukuruzuku maisha tena maana ulikuwa umeshakata tamaa kabisa! Sasa mwanangu usije ukamwacha hata siku moja, kama ukikuwa humjui sasa ni fursa yako kumjua na kumtumikia! Yunafundishwa kwenye Katekismu kwamba Mungu ametuumba ili tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho twende kwake mbinguni. Sasa kama haya ulikuwa umeyasahau ni wakati muafaka kuyakumbuka na kuyatenda! Kila wakati Mungu anapotupa fursa ya pili huwa ana makusudi yake! Mimi nilikoswakoswa kufa kwenye ajali ya gari landcrusier mkonga ikawa nyang'anyang'a lakini nikatoka bila mchubuko, kila nilipogonga humo kwenye gari penyewe ndipo palibondeka siyo mimi! Huwa nikifika hapo nachoka mwenyewe na haya makusudi ya Mungu! Sasa mkuu hiyo dawa iliyokutibu iweke hapa kwa ufasaha kabisa ili wote tujue! Pia toa ushuhuda kabisa!
 
Back
Top Bottom