Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,734
- 27,098
Ili jani nimekua nikiweka kwenye supu ya mbuzi kwa muda mrefu kumbe Ni Kama nilikua naoteshwa kitu fulani ivi..,VIVA MAGUFULI
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Ili jani nimekua nikiweka kwenye supu ya mbuzi kwa muda mrefu kumbe Ni Kama nilikua naoteshwa kitu fulani ivi..,VIVA MAGUFULI
tu
,Haya ni matatizo ya kukwepa umande enzi hizo,
Yaani leo umeandika hii moja tuu? Nimeshiba hapa nasema ngoja nianze kukusahihisha nakuta comment moja tuu. Tena ngoja nikufollow kabisa ili nikufuatilie kwa ukaribu maendeleo yako.
pole sana kaka MWENYEZI MUNGU AKUPIGANIE POPOTE ULIPOKwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.
Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.
Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.
Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.
Ngoja nipambanie hii pumzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
moyo umeuma sana hapa kaka mshanaKaka mbona unanitisha? Hebu fungua simu tuongee kidogo tafadhali
Jr![]()
Nami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
safi sana kaka ni vema kumpa mtu moyoCorona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.
Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?
Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.
Fear is the darkenes
Hope is the lantern.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana kaka fanya na mazoezi kakaWala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo
Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)
Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..
Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.
Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.
Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
jitahidi kula vitungu swaumu kaka ni vizuri sana maji ya moto na mazoezi na ipumzishe utumiaji wa sukari kwa sasa itasaidia sana kakaNami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Hili ni iyombo.
na ikiwezekana tafuta majani ya iyombo wachaga wanayaita hivyo naimani utakuwa poa ila kikubwa zoezi kaka na kwepa vyakula vya sukari kula vyakula vya alkaline kwa sana nenda vegetarian kama ikiwezekana kurudisha mazingira ya mwili sawa na zoezi nila kusahau maji ya moto kwa wingi kama kichwa kikiwa kinauma na mafua tumia kitungu swaumu tafunaNami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaloweka kwenye supu ya mbuzi ni iyaka. Hilo ni iyombo mkuu usije ukachanganyaIli jani nimekua nikiweka kwenye supu ya mbuzi kwa muda mrefu kumbe Ni Kama nilikua naoteshwa kitu fulani ivi..,VIVA MAGUFULI
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
na kama mafua au kama corona ni inamafua (sijaona bado au kuona mgonjwa ndio maana nimeweka kama ni mafua) jaribu kula vyakula vya alkaline sana nimejatibu kufanya hivyo japo sijapata hilovtatizo ila mafua yanadhibitiwa kabisaNami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Twanga/iponde ponde weka maji kidogo itengeneze Kama juice kunywa glass 1 asbh na jioniMatumizi yake mkuu?
Ndio hii mkuu Moshi inawekwa kwenye supu sanaIli jani nimekua nikiweka kwenye supu ya mbuzi kwa muda mrefu kumbe Ni Kama nilikua naoteshwa kitu fulani ivi..,VIVA MAGUFULI
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Nakwambiaje hilo ndio nawekaga kwenye supu ya mbuzi unabisha nini kiongoziUnaloweka kwenye supu ya mbuzi ni iyaka. Hilo ni iyombo mkuu usije ukachanganya
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha basi!!! Mbona mm nimekunywa hii na ndio imenisaidia na watu waliniambia ndio yenyew na ukiifananisha na ile ya Madagascar mbona zinafanana jamani!!!Hapana. Hili ni iyombo.
Iyaka ni tofauti mkuu japo zote dawa ila kimatumizi zatofautiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida
Hapo chini nimeambatanisha dawa niliyo tumiwa na nilipo ipokea.View attachment 1443257View attachment 1443258
Sent using Jamii Forums mobile app
Twanga/iponde ponde weka maji kidogo itengeneze Kama juice kunywa glass 1 asbh na jioni
Sent using Jamii Forums mobile app