Tojo
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,810
- 3,087
Ndio hii mkuuMkuu, naomba nilione ilo jani la Madagascar,,,na matumizi yake pia kama hutojali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hii mkuuMkuu, naomba nilione ilo jani la Madagascar,,,na matumizi yake pia kama hutojali
Ikingii/makingii,Arusha na moshi ipo sanaTojo eeh, Kilugha inaitwaje? Naweza pata huko Mworombo au Olasiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida
Hapo chini nimeambatanisha dawa niliyo tumiwa na nilipo ipokea.View attachment 1443257View attachment 1443258
Sent using Jamii Forums mobile app

1. Nilijifukiza nyungu kwa kutumia muarobaini mixer na mshana mixer na mkaratusi × 3 kwa siku
2. Nili kunywa juice ya tangawizi mixer na limao mixer na kitunguu swaumu × 3 kwa siku.
Kuna dawa nilitumiwa na nilikunywa vijiko 2 vya chai kila baada ya masaa 3.
Sasa nimekuwa mzima, sina mafua, sina maumivu, sina kikohozi, sina maumuvu ya kichwa, sina mamumivu ya mwili, asante Mungu nimerudi barabarani kama kawaida
Hapo chini nimeambatanisha dawa niliyo tumiwa na nilipo ipokea.View attachment 1443257View attachment 1443258
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningesema neno, lakini kwaleo naomba niseme tu kwamba kwenye kufa hakuna mjanjaWe jamaa ujanja wote huo unaogopa kifo duh
Nami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia
Karibu tena, nafurahi kukuona tena.
Ulikuepo mkuu ?Hata wakati wa gharika ya Nuhu kuna wenzako walifanya vivyo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni mwema amekushindia mkuuNami nimekuwa mwenye furaha na amani tele kuendelea kuwepi nanyi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani leo umeandika hii moja tuu? Nimeshiba hapa nasema ngoja nianze kukusahihisha nakuta comment moja tuu. Tena ngoja nikufollow kabisa ili nikufuatilie kwa ukaribu maendeleo yako.