Monseur
JF-Expert Member
- Dec 5, 2016
- 655
- 525
Ushimen uwe una chat sasa upo kiiimyaaa!!?
what do you mean!!?
Labda keshatangulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushimen uwe una chat sasa upo kiiimyaaa!!?
what do you mean!!?
Usifike mbali hivyo....Mungu wa mbinguni atakusaidia, kwani hata mimi nafsi yangu inatoa machozi na ninajuta sana kwanini mungu alinileta dunia hii ya mateso
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa self isolation nimezurura sana JF, nafikiri imekua sehem ya kunipunguzia mawazo na kunipa burudani.
Ushimen endapo tatizo ni huu ugonjwa kukata tamaa ni kosa kubwa sana mkuu. Kwanza sio kila anaeupata anaondoka, kuna kundi la watu wengi tu wanapona tena wengine bila hata msaada wa hospital, hatari ipo lakini sio kubwa kiasi hichi mkuu.
Kaka USh. naona bado ni mzima maana kwangu ka-like pia mpaka sasa ni active.
Ila yaezekana hajisikii vizuri au katutania.Ila kwa kipindi hiki tuondolee dukuduku kwa kusema neno basi!
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
Pole Sana mkuu, lakini ndo uhalisia tuchukua tahadhaliAmechoka.
Yupo vizuri.
Amejiweka karantini anajisikilizia.
Binafsi mimi usiku huu ni mbaya sana kwangu.
Najuta kwenda instagram kuangalia hayo mavideo ya maziko ya corona.
Zimeniumiza
Mungu ni mkuu wa yote, ukimtegemea yeye utapona tu. Hakikisha unalala kifudifudi ili upate hewa mwilini mwako kwa urahisi. Hii ni kwa mujibu wa wanasayansi wa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nooo,! Ushimen rudi bhana bado mapema sanaa
Baking powder unainywa na maji moto pia?Hapana ila Asali limao na Tangawiz8 ya unga ndio nimechanganya.
Nilikua nikinywa glas ya baking soda asubuhi basi siku nzima nakunywa asali hiyo taratiibu
Mmh..yupi huyo tena?Nilitaka kukuuliza huko Unguja umeshatoka? Nimeangalia video ya mazishi mfanyakazi wa azam marine nikakukumbuka sana.
Stay safe.
Moyo wangu umeumia sana na kupata uchungu mno kuangalia hizo video.
Sio baking powder ni baking soda zipo tofauti..
Pole Sana mkuu, lakini ndo uhalisia tuchukua tahadhali
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau