Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,008
Umesoma kozi gani ndugu
Na ulikuwa unaomba kada gani?
Tatizo linaweza kuwa hapo
Na ulikuwa unaomba kada gani?
Tatizo linaweza kuwa hapo
Ukijibu swali hili utakua umesaidia sana utatuzi wa tatizo lako.Umesoma kozi gani ndugu
Na ulikuwa unaomba kada gani?
Tatizo linaweza kuwa hapo
Angalia tangazo lipo kwenye category gani kisha nawe kwenye profile yako weka katika category hiyo hiyoHabari zenu wadau.
Kuna tatizo linanipata san kila ninapoomba kazi za ajira portal kunikatalia. Inasema sina vigezo na ilhal vigezo vyote ninavo naomba msaada wenu katika hili.
View attachment 1826262
Mi nilijaza asilimia 80 sijachukuliwa hatua zote mbiliUmejaza taarifa zako kwa asilimia ngapi?
Ndio mkuuUnazo hizo sifa?
Mkuu nimesoma instructions nikaelewa..lakin nashindwa kutuma application ndio maana nipo hapa kuomba msaadaUsije kuwa unaomba kazi ambayo itaka qualification za Diploma wakati wewe una Degree au vice versa!