Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Anataka kukuvuruga tyuu![]()



Atajivuruga mwenyewe nilikuwa nashangaa nani kajitoa muhanga kuniwekea thread shangazi mimi
Anataka kukuvuruga tyuu![]()



Atajivuruga mwenyewe nilikuwa nashangaa nani kajitoa muhanga kuniwekea thread shangazi mimi
Mpe deni la marejesho alipie kisha utamkumbuka bila hata ya kukukumbusha![]()




Akubali sasa kulipa me nampa sio shida zanguAtajivuruga mwenyewe nilikuwa nashangaa nani kajitoa muhanga kuniwekea thread shangazi mimi



Akubali sasa kulipa me nampa sio shida zangu



Jamani riba ni asilimia ndogo jamani!Sisi hatutaki wa riba wakati wa bure upo.![]()
Anataka kukumbushia haamini km ulimuacha![]()




Sasa dada bora hata ningemjua
Kabisaa alipe marejesho ndio mambo mengine yaendelee![]()




Hatutaki kujieleza sanaa pesa mingiiii maneno kidogo
Dini inakataza riba hatutakiiiJamani riba ni asilimia ndogo jamani!

Jamani riba ni asilimia ndogo jamani!




Wewe sisi hatutaki yote hayo
Shemeji atakupa za mtaji na hizo utapewa km bonus, lakin kwann dada hutaki tupate pesa wenzio?!! Hujui ukipata wewe na sisi tumepata jamani?!!!
Mimi hizi pesa zikitupita sikuelewi kabisaaa
Za DPW tumekosa mgawo na hizi jamani kweli?!!![]()
Akubali akatae tunampeleka
Hatutaki kujieleza sanaa pesa mingiiii maneno kidogo




Ndio ndiooooAweke pesa mezani hakuna linaloshindikana kuzungumzika mbona![]()
apunguze sanaa kujielezeaAkubali akatae tunampeleka



