Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Tena tulimuita akauchuna
Koloni lake la zamani lilikuwa linataka kujirudisha dada akavunga km sio yeye
Dada sijui kitu kwahiyo nilishushiwa mistari kutumia app huku hata notification sipati
 
Halafu wewe,nitakuitia yule mtu wako aje akuchukue ,maana unaleta vurugu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 yaani kaka kajua kujieleza yule khaaaaaaa

Tatizo hakutaja dau ndiomana shunie akauchuna
 
Mjue mmenipa kazi ya kutafuta thread mpaka nimeipata

Sasa yule anaongea sana jamaniii

Si umeona? Maneno mingi bila kuweka dau kweli?!! Ana kazi ya kutukumbusha vitu vilivyopita badala ya kuweka mzigo mezani
 
Si umeona? Maneno mingi bila kuweka dau kweli?!! Ana kazi ya kutukumbusha vitu vilivyopita badala ya kuweka mzigo mezani
Na vitu vyenyewe hata sivikumbuki au sijui alikuwaga na I'd nyingine yaani sijui ni nani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom