Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

wewe hii ilinipita veeepee kwanza?? Yaani dada Joannah hizi pesa zikitupita sitokuelewa abadani!!!!!!!!

Yeye atake, asitake harusi tunayo. Shem asijali mke umepata hata kwa winch tutamtoa

Tunataka mashemeji wenye mipesaaa yao sisi
winja winja tunampeleka hata akikataa mashemeji ndio sisi hapa
 
🤣🤣🤣🤣 wewe hii ilinipita veeepee kwanza?? Yaani dada Joannah hizi pesa zikitupita sitokuelewa abadani!!!!!!!!

Yeye atake, asitake harusi tunayo. Shem asijali mke umepata hata kwa winch tutamtoa 🤣🤣🤣🤣🤣

Tunataka mashemeji wenye mipesaaa yao sisi
Shemeji Yako anakuangalia tu hapa u-Yuda wako🤣🤣🤣🤣
 
Shemeji Yako anakuangalia tu hapa u-Yuda wako🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Mwambie atulie, shemeji hata hela ya vocha hajawahi kutuma? Bahili km nini khaaaa!!

Si bora tuende na huyu kaweka dau mapema na nina uhakika wadogo zako hatukosi hata million moja moja za kula vyuku KFC

Wewe mimi na Shunie tuko kukupangia vitu vya kwendea vacation na shem 🤣🤣
 
Mwambie atulie, shemeji hata hela ya vocha hajawahi kutuma? Bahili km nini khaaaa!!

Si bora tuende na huyu kaweka dau mapema na nina uhakika wadogo zako hatukosi hata million moja moja za kula vyuku KFC

Wewe mimi na Shunie tuko kukupangia vitu vya kwendea vacation na shem
Ewaaah tutamsindikiza akifika sisi tunarudi shemeji hawezi kutuacha hivihivi
 
Tena tulimuita akauchuna 🤣🤣🤣
Koloni lake la zamani lilikuwa linataka kujirudisha dada akavunga km sio yeye
Jamaniiiii🙄🙄🙄🙄aliuchuna huyo chunuuuuu,akaona oooh ishakuwa balaa🤣🤣🤣🤣
 
Ewaaah tutamsindikiza akifika sisi tunarudi shemeji hawezi kutuacha hivihivi
Shemeji kachafukwa pesa. Tena aje hapa atupe za vocha tumemuita dadaetu mpk kafika kutoka mafichoni 🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom