Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Hata kwa kumvuta, hatuwezi kukosa pesa kizembee afu nyingi hivyo![]()
Huyu tutambeba
Hata kwa kumvuta, hatuwezi kukosa pesa kizembee afu nyingi hivyo![]()
Huyu tutambeba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mods kuna watu Wanafundisha watoto michezo mibaya humu, njoeni mtoe BAN.
Hotelini mkafanyaje?..
Hasa na mada kama hizi🤣Hahahaha, sijui kwa nini nimecheka namna hii🤣🤣🤣
Kifupi ni kuwa sipitwi🤣
🤣🤣🤣 Tulia dawa ikukolee 🤒Mmeamua kuniteta!
Marahaba mdogo wake,Hasa na mada kama hizi🤣
Shkamoo Kaka Eli
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Marahaba mdogo wake,
M
Kwa kweli huyo uliyempata nampa kongole sana!🤣
Aaah wapi! Huyo jamaa tumpe maua tu hakuna jinsi.
Ni kazi tu zimenibana kaka Elli
Hakuna Cha niliyempata wala Nini
Si unajua kazi za wahindi tunafanya kazi kama mazombie.,hata muda wa kupumua haupo

Ni kazi tu kweliAaah wapi! Huyo jamaa tumpe maua tu hakuna jinsi.![]()

Ni kweli hawa makaburu watatuuaNi kazi tu kweli
Kazi za wahindi tunafanya kama mizimu
Tukiacha ndo hivyo tunakuwa jobless![]()
Watatuua wazima wazimaNi kweli hawa makaburu watatuua
Sijaelewa mdogo wangu, rudia ukichoandika🤣Watatuua wazima wazima
Hadi nataka kuomba pooo
Ila kaka Elli nimi nakutaka wewe eti
Nikupate
Ni hivyohivyoSijaelewa mdogo wangu, rudia ukichoandika🤣
Serious kabisa, sijaelewa.Ni hivyohivyo
Soma Tena
Huelewi Nini hapo?😆
*Ila kaka Elli nimi nakutaka wewe etiDah
Naona umeamua kukaza fuvu Kaka Elli![]()
Dear mhasibu😅😅😅Hilo jina lako unatutishia tusicomment(tusitukane)? Usitutishe inawezekana hiyo hela huna, kama kweli unayo fanya kutuma mimi ndiye mhasibu wa Joannah😀