Naomba Nijitambulishe Kwenu - Big Lady

Naomba Nijitambulishe Kwenu - Big Lady

Hapana Chrispin, sikai Mwananyamala. Unakaa huko?

Hapana hayo maneno yako hayo. Mara "Makubwa", mara "Mwaya". Yamekaa kitaarab taarab hivi. Si unajua tena mwananyamala na taarab ni kama chanda na pete? Unapenda Taarab weye?
 
Hapana hayo maneno yako hayo. Mara "Makubwa", mara "Mwaya". Yamekaa kitaarab taarab hivi. Si unajua tena mwananyamala na taarab ni kama chanda na pete? Unapenda Taarab weye?
mpwa hapo sio pakuuliza!
kwa jinsi ya hiyo avatar ni 100% akipanda tukutuku lazima tairi ziwe flat kidogo
hahahahaaaaaaaaa.
 
mpwa hapo sio pakuuliza!
kwa jinsi ya hiyo avatar ni 100% akipanda tukutuku lazima tairi ziwe flat kidogo
hahahahaaaaaaaaa.

Hahaha! Mpwa umeua. Ukute tukutuku lenyewe halina breki za mbele halafu liwe limetoka kumshusha mama la Carmel. Lazima tukutuku liende service kubwa. LOL!
 
Waungwana wote hamjambo?

Nimekuwa nikisoma JF na nimevutiwa saaa na michango yenye kuelemisha.

Mimi ni mdada wa umri wa kati niliyeishia sekondari na kujiendeleza.

Naomba ukaribisho wenu.

Asanteni.

Karibu sana! unatumia line gani ya simu nikutafute? tiGo ama vodafasta? Nipo engaged na sipatikani hahahahahaahhahh

Karibu jamvini!
 
Hahaha! Mpwa umeua. Ukute tukutuku lenyewe halina breki za mbele halafu liwe limetoka kumshusha mama la Carmel. Lazima tukutuku liende service kubwa. LOL!

Umesahau ukute na ukuta hamna/natural break
 
Karibu sana! unatumia line gani ya simu nikutafute? tiGo ama vodafasta? Nipo engaged na sipatikani hahahahahaahhahh

Karibu jamvini!

No comment......namwona mtoto wa kipemba anakutafutia zawadi hapa zenji darajani.
 
Mpaka Kesho PM yako itakuwa imejaa, Ili ujue wapo lakini hawavumi..! Wenzio wanaingia kimya kimya humu..!!
 
Inabidi misamiati kama debit,credit,reconciliation,current a/c etc uwe nayo kichwani kama sala.......

Hebu nitasfirie hicho kiblurei ulichokitandaza hapo. Wengie tuliishia form 2B shule za kata.
 
Ma legend wamefisadi hii thread mbona bandiko la mada wamekunywa?
 
Big Lady kabla hujajiunga ulivutiwa na nani haswaaaaa?
 
Back
Top Bottom