Asante kwa ukaribisho wako.
Kwani huyo Xpin ni nani na ana harakati gani jamani?
Na kum-PM maana yake nini?
Hiyo PM ndo nini jamani?
Asante Kaka;
Hiyo ni picha yako?
I am Chrispin (Xpin). Harakati zangu ni kuwaunganisha watu wenye mapenzi mema.
PM - Private Message. kum-PM ni kumtumua private message. Unaweza kuwasiliana na member mwingine bila wengine kuona mawasiliano yenu isipokuwa mimi tu. Mimi huwa naona PM zote. Beware!
Naamini utapunguza woga sasa na kunikong'olia Senksi hapo chini.
Jamani Lily asante Mwaya.
Ila mie hata sijakuelewa mengine uliyoyaandika.
ooph,afadhali.Ngoja nikamuangalie binti Matosha nyumbani
Big lady hata usiogope kabisaaaaaaaaa.Hwa wote ni wapwa family ndivyo walivyo.Tushaanza kampeni ya kuwaombea mimi na Bht na Lilyflowe.Usiwe na shaka kabisa we karibu kwa moyo mmoja jamvini.
PM ni kifupi cha PRIVATE MESSAGE.Wakati mwingi kama unataka kuongea na mtu private unatumia hiyo,nakuPM sasa hi ili ujue inavokuwa.
Big lady hata usiogope kabisaaaaaaaaa.Hwa wote ni wapwa family ndivyo walivyo.Tushaanza kampeni ya kuwaombea mimi na Bht na Lilyflowe.Usiwe na shaka kabisa we karibu kwa moyo mmoja jamvini.
PM ni kifupi cha PRIVATE MESSAGE.Wakati mwingi kama unataka kuongea na mtu private unatumia hiyo,nakuPM sasa hi ili ujue inavokuwa.
Mmmh makubwa mie Big Lady. Mbona mnaniogopesha jamani!
Na hiyo mipango ya Mungu ni ipi?
Makubwa!
ndio mwenyewe,Du!
Mbona huyo kama ile Papa Mkulu Mkulu ya Kutoka kule DRC ile Mokili ya Muzambe Mkulu Kabisa.
Mmmmh! Asante sana First Lady.
Hee, hilo jina lako dada yangu, kiboko.