hapana sioniliwahi kuulizia kwa nn watu wanashangaa mtu akinunua KY humu ndani,..ile mada ikapotea sasa cjui nimekiuka maadili...c unajua um just a senior member...naomba muongozo wenu!!
sehem za siri????
We umeuliz swali lako vibaya. rudi kwenye swali lako fanya editing. una option hizi hapa:
1. Nilikua na post, imepotea, nifanyeje? (nakushauri kabisa uwaandikie mods)
2. Nilikua na post kuhusu KY imepotea. nauliza tena: kununua KY ni makosa?
Kuwa kwako senior member hakuusiki kabisa na ujuzi wako wa either threat imevutika au laa. (By the way, hongera kwa kua senior member)