- Thread starter
- #101
Okay.Kuna sehemu akiminya kwa nguvu unazima
Okay.Kuna sehemu akiminya kwa nguvu unazima
Mkiajiri watu wasafi itakuwa vizuri zaidiKaribu sana boss wetu
Tutazingatia hiloMkiajiri watu wasafi itakuwa vizuri zaidi
Tafuta wadada kutoka singida sio wachoyo muhimu uwape mshahara mnono..!!Kwa kuwa wale babu zako hawapo naamini unaweza kunipa ushauri mzuri tu
Kunako mbususuUkisha mshik shik kikisimama
Unadumbukiza kunako
Hahaha unaota kijanasiku utaamka unakuta uko na permanent ban, hutaamini
NaaamKunako mbususu
Mi uminishika nashikashika pia sio k sio NonoKwanin
Hapana si lazima WALIOSOMA chukua Moja tu mwenye uzoefu afundishe wenzakeSawa ila si lazima ziwe zimesomea hiyo kazi?
Anzisaha na hudumia ya kusongesha mwili wateja wakubwa wanawake ila wakuwaogesha ni mwanaume, wanasuguliwa na povu zito ka ilivo car wash nipesa tu zitakufataOkay.
Offcoz mkuu nitahakikisha huduma inakua nzuri wateja watoke wamefurahi.
I personally will make sure all my customers get a happy ending
Thailand kufanya nini hapo zenji Kuna majanki ni WA Thailand unaongea NAE unamuhamisha tu mana NDO kazi zaoHongera kwa kuchagua professional massage.
Option ya kwanza
Unaweza kutafuta Wathailand/Philipines/Taiwaness massuer. Work permit sio issue na wanapatikana. Ingia partnership badala ya yeye kukufanyia kazi. Wako vizuri sana na ni internationally recognized. Foreigners wengi na watanzania wanaotaka huduma za uhakika hupenda kupata huduma yao.
Kama uko Dar I can recommend utembelee baadhi ya maeneo ili kuweza kuiba ideas na kuamua modus operandi yako
Hao wa Thailand wanapatika a wapi kwa Dar??Mkuu, hii biashara imevamiwa sana sana, ndio maana unaona replies za wanajukwaa kutokana na experience tunazoziona na kusimuliana.
My own experience, nilikua naumwa mgongo na nikatakiwa nitafute masseur professional. Aisee hao wa Sinza izo za fullbody 20,000 sijui jacuzzi massage body2body zote janja janja. Hawajui wanachokifanya.
Nikaja nikapata ya Wathailand ndio walimisaidia ingawa bei zilikua za moto sana.
Tukirudi kwenye topic, nashauri tafuta kwanza mtoa huduma ndio mpange nae. Hafu mshahara mnaweza kulipata kwa huduma na sio kwa mwezi, kwasababu hii huduma lazima appointment sio kama kwa wakala wa Mpesa au duka la Mangi unaingia anytime.
Vifaa itategemea ila simple ni chumba chenye self bathroom, kitanda na materials (mafuta, nk).
Ni cheap sana sijajua tu bei za mafuta nk.
Nimeweka address yao Google Map hapo juu bossHao wa Thailand wanapatika a wapi kwa Dar??
😅😅Haya maelezo umeyaweka kwenye mada?