Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

Massuer niko hapa, Lakini mimi special kwa mishangazi na feminist.
But you have to pay me extra kunirudisha bongo.
 
Mkuu, hii biashara imevamiwa sana sana, ndio maana unaona replies za wanajukwaa kutokana na experience tunazoziona na kusimuliana.

My own experience, nilikua naumwa mgongo na nikatakiwa nitafute masseur professional. Aisee hao wa Sinza izo za fullbody 20,000 sijui jacuzzi massage body2body zote janja janja. Hawajui wanachokifanya.

Nikaja nikapata ya Wathailand ndio walimisaidia ingawa bei zilikua za moto sana.

Tukirudi kwenye topic, nashauri tafuta kwanza mtoa huduma ndio mpange nae. Hafu mshahara mnaweza kulipata kwa huduma na sio kwa mwezi, kwasababu hii huduma lazima appointment sio kama kwa wakala wa Mpesa au duka la Mangi unaingia anytime.

Vifaa itategemea ila simple ni chumba chenye self bathroom, kitanda na materials (mafuta, nk).

Ni cheap sana sijajua tu bei za mafuta nk.
 
Happy ending ni kucheka cheka mwishoni na kutoa sauti za ajabu ajabu baada ya massage.
Tutaweka mziki mzuri laini wa kuliwaza hizo milio za ajabu za nini sasa?
 
Habari wakuu.

Nikitaka kuanzisha na kufanikiwa katika kutoa huduma ya massage nizingatie nini?

1)Kibali kinatolewa baada ya kukamilisha nini?

2)Profesional Masseuse /masseur wanakua na cheti cha level gani?Mishahara yao ikoje?

3)Natakiwa niwe na nini?


Natanguliza shukrani
Amua unataka kuifanyaje biashara yako
1. Proffesional massage parlour (hapa wateja wanaokuja ni wale wanaojitambua wakilenga kupata treatment za variety mbalimbali
2. Massage za kawaida( wateja wengi ni wanaume na wanafuata uzuri wa wadada na mara nyingi huduma huenda beyond massage)

Kwenye namba mbili,masseurs ni wengi na wateja ni wengi.
 
Mkuu, hii biashara imevamiwa sana sana, ndio maana unaona replies za wanajukwaa kutokana na experience tunazoziona na kusimuliana.

My own experience, nilikua naumwa mgongo na nikatakiwa nitafute masseur professional. Aisee hao wa Sinza izo za fullbody 20,000 sijui jacuzzi massage body2body zote janja janja. Hawajui wanachokifanya.

Nikaja nikapata ya Wathailand ndio walimisaidia ingawa bei zilikua za moto sana.

Tukirudi kwenye topic, nashauri tafuta kwanza mtoa huduma ndio mpange nae. Hafu mshahara mnaweza kulipata kwa huduma na sio kwa mwezi, kwasababu hii huduma lazima appointment sio kama kwa wakala wa Mpesa au duka la Mangi unaingia anytime.

Vifaa itategemea ila simple ni chumba chenye self bathroom, kitanda na materials (mafuta, nk).

Ni cheap sana sijajua tu bei za mafuta nk.
Kabla sijakutana na hii reply nilishaboreka na michango ya wadau.

Nimegundua kitu,wadau wanaendaga kwenye madanguro wakidhani ni massage parlours.

Mimi natamani kutoa huduma kama hao wathailand waliokusaidia.Massage ni tiba ya matatizo mengi na sio huduma ya ngono kama wabongo wengi wanavyodhani.

Labda niwatafute hao wathailand wanipe muongozo.


Halafu vitanda si huwa vinakua kama vya hospital?
 
Back
Top Bottom