Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

Habari wakuu.

Nikitaka kuanzisha na kufanikiwa katika kutoa huduma ya massage nizingatie nini?

1). Kibali kinatolewa baada ya kukamilisha nini?

2). Profesional Masseuse /masseur wanakua na cheti cha level gani?Mishahara yao ikoje?

3). Natakiwa niwe na nini?


Natanguliza shukrani
Aiseee
 
Na yeye itapendeza akipiga show time ili kuboresha huduma zaidi..!! 😹😹😹
Halafu wewe si binti mdogo wewe!?Endelea tu ku hang out na hao wazee wa hovyo na wewe uje kuwa bibi wa hovyo shauri yako.
 
Hongera kwa kuchagua professional massage.
Option ya kwanza
Unaweza kutafuta Wathailand/Philipines/Taiwaness massuer. Work permit sio issue na wanapatikana. Ingia partnership badala ya yeye kukufanyia kazi. Wako vizuri sana na ni internationally recognized. Foreigners wengi na watanzania wanaotaka huduma za uhakika hupenda kupata huduma yao.
Kama uko Dar I can recommend utembelee baadhi ya maeneo ili kuweza kuiba ideas na kuamua modus operandi yako
Asante mkuu!
Naomba u recomend please🙏🙏
 
Asante mkuu!
Naomba u recomend please🙏🙏
Sala Thai Massage (Masaki & Oysterbay)- pale nenda kimyakimya,angalia mazingira,angalia service catalog yao (utaona na aina mafuta,herbs etc),angalia set up ya vyumba na vitanda. Hapa hawawezi kukupa details unless umezoeana nao sana. Ukiuliza maswali watajifanya ung'eng'e na kiswahili havipandi😆😆

Then nenda Collesium hotel,muulizie Roni. She is nice and engaging. You will get good info kwa kuanzia
 
Sala Thai Massage (Masaki & Oysterbay)- pale nenda kimyakimya,angalia mazingira,angalia service catalog yao (utaona na aina mafuta,herbs etc),angalia set up ya vyumba na vitanda. Hapa hawawezi kukupa details unless umezoeana nao sana. Ukiuliza maswali watajifanya ung'eng'e na kiswahili havipandi😆😆

Then nenda Collesium hotel,muulizie Roni. She is nice and engaging. You will get good info kwa kuanzia
Shukrani🙏🙏
 
Back
Top Bottom