notyfeky
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 673
- 663
Wazoefu tufahamishane yafuatayo kuhusu biashara ya asali mbichi:
Nataka kuanza kuifanya hii biashara, naomba wazoefu waje kutoa muongozo.
Karibuni.
- Ipi njia ya kuifahamu asali nzuri?
- Upatikanaji wa asali, wapi inapatikana nzuri na kwa wingi? Bei ya kununua kwa mzalishaji sh. ngapi?
- Je kuisafirisha kutoka mikoani kwenda kuiuza Dar kuna ulazima niwe na kibali?
- Bei ya kuuza Ikoje? Lita sh.ngapi kuuza?
- Changamoto za biashara hii ni zipi?
- Kwa Dar es Salaam soko lake liko wapi?
Nataka kuanza kuifanya hii biashara, naomba wazoefu waje kutoa muongozo.
Karibuni.