Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

Naomba muongozo biashara ya MASSAGE

Kabla sijakutana na hii reply nilishaboreka na michango ya wadau.

Nimegundua kitu,wadau wanaendaga kwenye madanguro wakidhani ni massage parlours.

Mimi natamani kutoa huduma kama hao wathailand waliokusaidia.Massage ni tiba ya matatizo mengi na sio huduma ya ngono kama wabongo wengi wanavyodhani.

Labda niwatafute hao wathailand wanipe muongozo.


Halafu vitanda si huwa vinakua kama vya hospital?
Massage place cha kwanza kabisa jitahidi pawe calm. Usitafute nyumba iko jirani na barabara. Itakua fujo.

Kuhusu kitanda mchawi budget ila vipo design simple tu.
IMG_3167.jpeg

Na room pia iwe simple na calm.
IMG_3169.jpeg

Jaribu wacheki hawa Sala Thai Massage Oysterbay.
IMG_3170.jpeg


Kama ni mdau wa Google Maps wacheki
https://maps.app.goo.gl/GbZ3ZWysump5A3C76?g_st=ipc
 
Amua unataka kuifanyaje biashara yako
1. Proffesional massage parlour (hapa wateja wanaokuja ni wale wanaojitambua wakilenga kupata treatment za variety mbalimbali
2. Massage za kawaida( wateja wengi ni wanaume na wanafuata uzuri wa wadada na mara nyingi huduma huenda beyond massage)

Kwenye namba mbili,masseurs ni wengi na wateja ni wengi.
Natamani kufanya no 1.
Tusaidie hadi watu wenye stroke.
 
Amua unataka kuifanyaje biashara yako
1. Proffesional massage parlour (hapa wateja wanaokuja ni wale wanaojitambua wakilenga kupata treatment za variety mbalimbali
2. Massage za kawaida( wateja wengi ni wanaume na wanafuata uzuri wa wadada na mara nyingi huduma huenda beyond massage)

Kwenye namba mbili,masseurs ni wengi na wateja ni wengi.
Nimechagua No 1 nipe miongozo yake dear.🙏
 
Massage place cha kwanza kabisa jitahidi pawe calm. Usitafute nyumba iko jirani na barabara. Itakua fujo.

Kuhusu kitanda mchawi budget ila vipo design simple tu. View attachment 3464784
Na room pia iwe simple na calm.
View attachment 3464786
Jaribu wacheki hawa Sala Thai Massage Oysterbay.
View attachment 3464787

Kama ni mdau wa Google Maps wacheki
https://maps.app.goo.gl/GbZ3ZWysump5A3C76?g_st=ipc
Bless you mkuu🙏🙏.
Eneo lko sehemu yenye utulivu sana.

Ingekua sijazeeka ningeenda Thailand kujifunza then narud ku train vijana wangu ila ngojea nitembelee wathai walioko Tz labda watanisaidia.

Mambo yakuajiri kina Mwajuma Nchokonoe kuja kubinya binya wateja bila elimu sitaki
 
Back
Top Bottom