Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,072
- 134,443
Alikubali vipi mshikakiBaada ya mchoro wa ajali kujua chanzo cha ajali, mwisho wote wanamakosa, hata huyo aliekufa
Alikubali vipi mshikakiBaada ya mchoro wa ajali kujua chanzo cha ajali, mwisho wote wanamakosa, hata huyo aliekufa
Nimekupata. Kwa faida ya kesho, soma kesi hiiKama walivyosema wengine road accident map ni ya muhimu kujua utamshtaki nani... Pamoja na traffic Case judgement ili ukienda kufungua case ya negligence usipate tabu kuprosecute kesi yako...
ila kwa mimi ningemshtaki mwenye Gari deep pocket utapata cha kueleweka😀
Kama una ujusi wa sheria kwa mbali, mshikaki haukusababisha ajali....... kuna hiki kitu unakifahamu? Novus Actus InterveniensAlikubali vipi mshikaki
Hujui kitu wewe katika sheriaWatu mnachonga sana humu kutwa kutukana watu kumbe mnabebesha watoto kwenye mishkaki, kutwa kutukana sukuma gang kumbe hata kula yenu taabu tupu
Hiyo ni ajali ishu za mshkaki zitamhusu bodaboda sio abiria ndio maana kuna bimaasante sana. najua kuna watu wanasema mshikaki hauruhusiwi. Lakini hiyo ni kesi ya bodaboda , mimi hainihusu maana ni kosa la dreva kubeba mishikaki.......
Wewe ni mtu sensible, ngoja nikuwekeehii kesi uisome na unishauri
Wewe lengo la kushtaki ni ili iweje?Asante kwa mawazo. sasa nawashitaki nani na nani? Bodaboda na mwenye gari au mwenye gari nikishirikiana nan bodaboda. Insuarance itaingiaje?
Kuna kesi jamaa ameshinda anatakiwa alipwe 300mil na Kilimanjaro Express baada ya hilo basi kuwagonga gari lao na kusababisha vifo vya watoto wake wawiliAsante kwa mawazo. sasa nawashitaki nani na nani? Bodaboda na mwenye gari au mwenye gari nikishirikiana nan bodaboda. Insuarance itaingiaje?
Ngoja niitafute, GOOD NIMEIPATA. It gives a lot of information.Kuna kesi jamaa ameshinda anatakiwa alipwe 300mil na Kilimanjaro Express baada ya hilo basi kuwagonga gari lao na kusababisha vifo vya watoto wake wawili
Kama sijakosea
Hukumu imetoka mwaka huu
Nimeisoma hiyo case.. Sidhani kama hii ya kwako itafikia huku, kuna mawili matatu ningependa kujuaasante sana. najua kuna watu wanasema mshikaki hauruhusiwi. Lakini hiyo ni kesi ya bodaboda , mimi hainihusu maana ni kosa la dreva kubeba mishikaki.......
Wewe ni mtu sensible, ngoja nikuwekeehii kesi uisome na unishauri
Unachangia hoja vizuri sana ila unamchanganya mno mtoa mada kwa kumtajia latin legal maxims ambazo naamini hazijui, labda hadi a-google.Kama walivyosema wengine road accident map ni ya muhimu kujua utamshtaki nani... Pamoja na traffic Case judgement ili ukienda kufungua case ya negligence usipate tabu kuprosecute kesi yako...
ila kwa mimi ningemshtaki mwenye Gari deep pocket utapata cha kueleweka![]()
Obvious kosa ni la dereva wa gari. Huwa hawaheshimu waendesha bodabodaKijana wangu alikuwa amebebwa na Bodaboda (pikipiki) pamoja na wenzake wawili wanakwenda shule (mshikaki) . Gari likamgonga bodaboda kwa nyuma, mtoto akaanguka na kuumia . (by the way mmoja alikufa na mwingine escaped unhurt)
Msaada: katika scenario kama hiyo namshitaki nani? Bodadoda au mwenye gari aliyegonga bodaboda nyuma na kusababisha ajali ya pikipiki?
Umenena kweli ni very dangerous, lakini it is the order of the day in Tanzania to ferry students to and from school by bodaboda in the middle-income strata of the society we live in.Ajishtaki mwenyewe Kwanza Kwa kuruhusu kuhatarisha Maisha ya mtoto wake na kumsabishia madhara Makubwa
IndemnityKwanini ushitaki,hata ukilipwa hakuna kitakacho badilika
DuhWatu mnachonga sana humu kutwa kutukana watu kumbe mnabebesha watoto kwenye mishkaki, kutwa kutukana sukuma gang kumbe hata kula yenu taabu tupu
Wewe huzhtaki, hiyo ni traffic case, kama ulipata PF3 Na traffic aliepima ajali atafatilia, na kutoa mchoro wa ajali, then utaenda ku clem kwenye campuni ya Bima. Hapo fidia utaipata kutoka BimaAsante kwa mawazo. sasa nawashitaki nani na nani? Bodaboda na mwenye gari au mwenye gari nikishirikiana nan bodaboda. Insuarance itaingiaje?