- Thread starter
- #61
Hili ni jitu la hoyo, limenijibu kwa matusi nami nikalikonkomeka..nimeliblock kupunguza takataka kwenye njia yangu for saving time and MBsMmmmh, una ugomvi na huyu bwana mzee?
Hili ni jitu la hoyo, limenijibu kwa matusi nami nikalikonkomeka..nimeliblock kupunguza takataka kwenye njia yangu for saving time and MBsMmmmh, una ugomvi na huyu bwana mzee?
Hujajibu swali langu pleasekama ni kumshitaki aende segerea, unapoteza muda
kama unataka fidia, bro tafuta pesa
huyu hakuwa na pesa?kama ni kumshitaki aende segerea, unapoteza muda
kama unataka fidia, bro tafuta pesa
Kwamba kwanini kafa kabla ya ushahidi?sheria hizi.Baada ya mchoro wa ajali kujua chanzo cha ajali, mwisho wote wanamakosa, hata huyo aliekufa
fuata ushauri wa uttoh brohuyu hakuwa na pesa?
LEONARD PAUL KISENHA………….....……….. PLAINTIFF
VERSUS
KILIMANJARO TRUCK COMPANY LTD …1ST DEFENDANT
ROLAND SAWAYA…………….…………….2ND DEFENDANT
MJAHID MOHAMED ………………………..3RD DEFENDANT
Muda mwingine usijibu mjitu kama hayo. Badala ya kutoa hoja yanatukanaKwamba kwanini kafa kabla ya ushahidi?sheria hizi.
You seem to be sailing in the same boat!fuata ushauri wa uttoh bro
utamshukuru baadaye
Kuna mengi ya kujifunza....Inatakiw ujue Boda aligongwaje? Maana wana mtindo wa kuchomekea na kuingia bila tahadhari.
Kugongwa nyuma si kipimo cha makosa ya Dereva ukizingatia na Maelezo ya ajal utaelewa vzr.
Pole snKijana wangu alikuwa amebebwa na Bodaboda (pikipiki) pamoja na wenzake wawili wanakwenda shule (mshikaki). Gari likamgonga bodaboda kwa nyuma, mtoto akaanguka na kuumia . (by the way mmoja alikufa na mwingine escaped unhurt)
Msaada: Katika scenario kama hiyo namshitaki nani? Bodadoda au mwenye gari aliyegonga bodaboda nyuma na kusababisha ajali ya pikipiki?
Bodaboda anatakiwa awe na bima ya matukio kama haya. Hivyo unamshitaki bodaboda, ili bima yake ikulipe wewe (3rd party). Yeye atamshitaki aliyemgonga, na atadai hata alichokulipa wewe.Kijana wangu alikuwa amebebwa na Bodaboda (pikipiki) pamoja na wenzake wawili wanakwenda shule (mshikaki). Gari likamgonga bodaboda kwa nyuma, mtoto akaanguka na kuumia . (by the way mmoja alikufa na mwingine escaped unhurt)
Msaada: Katika scenario kama hiyo namshitaki nani? Bodadoda au mwenye gari aliyegonga bodaboda nyuma na kusababisha ajali ya pikipiki?
asante sana. Kuna mkanganyiko maana wengine wanasema subiri kesi ya polisi iende mahakamani (waliochora ramani) and from there atakayepatikana na kosa ndipo unamshitaki huyo civil case kwa kuegamia hiyo traffic offence case.Bodaboda anatakiwa awe na bima ya matukio kama haya. Hivyo unamshitaki bodaboda, ili bima yake ikulipe wewe (3rd party). Yeye atamshitaki aliyemgonga, na atadai hata alichokulipa wewe.
Asante sana kwa kujali. Ndivyo JF ilivyo, Matusi, kejeli, ujinga, kutofahamu, stress etc etc. Unavipokea vyote.Pole sana mkuu kwa kuondokewa na kijana wako
Mimi ni maamuma wa sheria hivyo nipo kusoma hoja
Huko juu kwenye comments kuna wakuu wanashindana kingereza🤣
Duh poleni sana saanaKijana wangu alikuwa amebebwa na Bodaboda (pikipiki) pamoja na wenzake wawili wanakwenda shule (mshikaki). Gari likamgonga bodaboda kwa nyuma, mtoto akaanguka na kuumia . (by the way mmoja alikufa na mwingine escaped unhurt)
Msaada: Katika scenario kama hiyo namshitaki nani? Bodadoda au mwenye gari aliyegonga bodaboda nyuma na kusababisha ajali ya pikipiki?
Pole sana sana MpwaAsante sana kwa kujali. Ndivyo JF ilivyo, Matusi, kejeli, ujinga, kutofahamu, stress etc etc. Unavipokea vyote.
asante sana.Duh poleni sana saana