Nakazia, hii ndo njia ya uhakika ya kupata simu yake!Mbinu sahihi ni kununua simu mpya TU
Hahahaaaaa ila humu ndani mko na majibu ya rejareja sanaKweni simu yako ilikuwa kwenye Anti theft mode?
Haipo, usisumbukeNdugu zangu naomba kujua njia ya kutack simu ya mwizi wangu ili nijue Yuko wapi?
Kunasystem inajulikana nzuri yakutumia kulocate simu ya mtu ninayemtafuta hata kama amezima simu?
Naomba ushauri
Simu janja zote you can track, kwa kwenda kwenye settings na enable tracking, na kuna tracking ya aina mbili,Ndugu zangu naomba kujua njia ya kutack simu ya mwizi wangu ili nijue Yuko wapi?
Kunasystem inajulikana nzuri yakutumia kulocate simu ya mtu ninayemtafuta hata kama amezima simu?
Naomba ushauri
Anti theft mode ni kitu gani?Kweni simu yako ilikuwa kwenye Anti theft mode?
Simu ya aina gani? na uliibiwa wapi?Ndugu zangu naomba kujua njia ya kutack simu ya mwizi wangu ili nijue Yuko wapi?
Kunasystem inajulikana nzuri yakutumia kulocate simu ya mtu ninayemtafuta hata kama amezima simu?
Naomba ushauri
Simu ikiibiwa unaifuitilia.Anti theft mode ni kitu gani?
Hahahaa mzee kama huna majibu si bora ungekaa tu kimyaMbinu sahihi ni kununua simu mpya TU
simu yako aina gani Kimla ? Siku hizi wezi wa simu wamekuwa wajanja sana simu wanauza spea tuNdugu zangu naomba kujua njia ya kutack simu ya mwizi wangu ili nijue Yuko wapi?
Kunasystem inajulikana nzuri yakutumia kulocate simu ya mtu ninayemtafuta hata kama amezima simu?
Naomba ushauri
4. Kabla hujaanza tracking ripoti polisi kuna pesa kidogo unalipia, polisi wana track,
Ukienda polisi wana kitengo cha cyber, unalipa kidogo wanakusaidia kuipata simu yako
Usije ukathubutu Kimla utapoteza pesa na muda bure na hautaipata simu yako, kanunue nyingine.Nenda police ba box la simu lenye IMEI NAMBA.na hela ya chai.
Hizo kesi wanazipenda sana zina hela.
Wanakula kwako na watakula kwa mwizi wako
Mkuu pasal,Simu janja zote you can track, kwa kwenda kwenye settings na enable tracking, na kuna tracking ya aina mbili,
1. Tracking kupitia IMEI number simu zote hata za tochi zinakuwa tracked ila only zinapokuwa on, hata akibadili sim card.
2. Tracking kwa GPS, hii ni kwa simu janja tuu, hiyo tracking inakuwezesha wewe kuiwasha simu au kuizima, na kui trace kwa GPS, unaiona mpaka ilipo, unaipiga na inaita mnamdakuwa mwizi wako kama mvuvi anavyovua kwa ndoana.
3. Kuna simu sio salama sana, ukiisha ibiwa wana I flush hadi IMEI number, na kuweka IMEI za simu nyingine, hivyo you can't get it!.
Simu zinazoongoza kwa kuwa flushed ni simu za Android, OS kwa simu za Apple na Simbion, kwa simu za blackberry ni salama zaidi.
4. Kabla hujaanza tracking ripoti polisi kuna pesa kidogo unalipia, polisi wana track,
5. Kuna wezi wakijua simu iko tracked, wana I dismantle na kuuza components as spares.
P
Ahsante.Simu ikiibiwa unaifuitilia.