Dah sijaenda miaka hapo,hivi bado hua panajaa watoto wa shule???Kunduchi beach wet n wild water park kiingilio 23,000 pamoja na chakula kinywaji na kuogelea unaweza kulipia 15,000 kwa kuogelea tu bila ya chakula
Ulinzi ni wa uhakika
Usafi pia ni wa uhakika
Ww hujui kukabwa ww karbu Tandale ujentembelee utajua kukabwa na ss iv wakkuba wanakupa rctMmm kukukaba kivipi?
Wewe Miss Natafuta nlikumind vibaya nimefight na kuchomoka kwenye lile Kosovo la vibaka nkaupload na pics ukakubali my sexy body and bravery act then ukanipromise "kunipa ile kitu inamesa mwenzie" (in masai voice). afu from nowhere ukaingia mitini.bado unakumbuka lile tukio?
Mi nilienda jumapili iliyopita hakuna watoto siku hizi pale.wengi ni wahindi waarabu na watz wachacheDah sijaenda miaka hapo,hivi bado hua panajaa watoto wa shule???
kumbuka sio kila anayeenda huko anataka kuogeleaNi ujinga kwenda beach na kuoga ktk swimming pool. Feel the ocean. Nenda beach ambayo utaogelea maji ya bahari au ziwani. Kama unataka swimming pool si uende Viva Tower hapo mjini ipo fresh ukishuka chini unaenda kula pizza pale chini Rhapsode au unavuka upande wa pili Serena hotel kula buffet(tamka bufee) na live music gharama ndogo sana ila wabongo waoga tu wa hizi hotel. Feel the ocean, feel the sand and enjoy ocean/sea aroma, Say No to artificial things. Emancipate yourself from man made cages. A swimming pool is like an aquarium. Don't live like labaratory species even Nemo couldin't like it!!!! Nialike mleta uzi nikakufundishe butter fly style, Back stroke style, Free style, Medley style, e.t.c.
Kila rika lipo mama ila hapa mfukoni pawe pamejaaWatoto sio wengi hapo???
Unaogelega wapi wewe mamaa bonge! Au wewe ndie yule tunaekutana pale city garden tunacheza volleyball kwenye swimming pool?umenitamanisha leo lazima nikaogelee hakuna jinsi
Kweli pamechokwa yaani ni huku mbili? Maana last time kitambo mno niliingia kwa huku tanoMikadi kiingilio buku 2
Patulivu sana hapo bamba beach nakumbuka nilipelekaga mchepuko hapo aisee mpka naondoka tulikuwa wenyewe tu ukiwa na roho ya kishetani unaweza malizamo kwenye maji/ufukweniBamba Beach
![]()
![]()

Huyu mngese nilikuwa najua ni Nyani Ngabu kumbe mwizi Wa avatarMkuu naomba ujibu maswali yangu niliyouliza
Tena ya TRAahahaha na risiti
I second you chief, nilikuwepo jana hapo pako vilevile tu.. japo bora iyo South Beach, Sun rise na kidogo Malaika Beach nayo iko sehemu nzuri...hizo beach nyingine ni za wanafunzi..South Beach is just overrated......ukiona hotel ina viti vya coca cola kama bar zetu za uswahilini si hotel hio.