johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Njooni pia funcity
duh kuogelea sh ngap ss?Gate entries ni tofauti na kuogelea labda kwenye bahari
Mkiwa wengi mnaweza kuongea nao na ndo wanavopenda coz hawaandiki kwenye ktabu hela wanapiga juu kwa juu
beach zote mziki upo inategemea na siku
Changani beach pazuri
So hiyo buku 10 ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea kwenye swimming pool?South beach kiingilio 10,000 utaogelea na kucheza mziki mpk uchoke
Chakula na vinywaji utanunua mwnyw ukiwa ndani
Unakalibishwa Pm Ndugu YanguMkuu naomba unitumie namba yako inbox kuna vitu sana nahitaji kuvifahamu
Na kama hutojali nitumie picha za south beach
Changani beach pazuri
Kama anapenda sehemu tulivu kama mie
Amani si mpaka ufanye booking???
Kingine pale Getin Huwa Kuna watu wawili au zaid wahind na MabaunsaMkuu naomba unitumie namba yako inbox kuna vitu sana nahitaji kuvifahamu
Na kama hutojali nitumie picha za south beach
South kuzur! Waltaka kunkaba wakat Wa kutokaMkuu naomba unitumie namba yako inbox kuna vitu sana nahitaji kuvifahamu
Na kama hutojali nitumie picha za south beach
Hahaha nilikuwa nashangaa mji tu ghafka nikajikuta changani beach......Ulienda na nani huko wakati nilikwambia nikupeleke?
Amani Beach yes hadi booking but na ukata huu usikute rules zime change
Ukitaka kwny swimin au beach ww tuSo hiyo buku 10 ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea kwenye swimming pool?
Hahaha nilikuwa nashangaa mji tu ghafka nikajikuta changani beach......
Kama anataka kwenda amani ni vema akapiga kwanza simu
Mkuu nitumie namba yako inbox nahitaji kufahamu vitu vingi zaidi
Badilisha avatar ya shunie kwanza mkuu maana utanifanya ni lale nimuote yy kumbe nimekutumia ww![]()
![]()
![]()
Badilisha avatar ya shunie kwanza mkuu maana utanifanya ni lale nimuote yy kumbe nimekutumia ww
.Funcity sio kwamba watoto wengi?Co beach ila itakufaaa swmng zpo za kutosha michezo ya wakubwa na watoto wabongo n wa kuhesabu tena wastarabu sana n wahind inaitwa fun city kingilio 14000