Naomba kutajiwa beach za Kigamboni

Naomba kutajiwa beach za Kigamboni

Mkuu kijiji beach na south beach ipi nzuri?


Halafu ipi ina gharama ndogo kuliko nyingine?

Gharama kwa sasa sijui zikoje
but South Beach ndo ilikuwaga ya gharama zaidi kuliko beach zote kigamboni
Kijiji ilikuwa nafuu kidogo
halafu South Beach mbali kidogo
Kijiji pako karibu....

kuhusu uzuri inategemeana na mtu anavyopenda..
South Beach wana eneo kubwa hasa la parking
na mandhari kwa ujumla..eneo kubwa....
still mtu anaweza penda kijiji beach...inategemeana
inabidi mtu aende zote aamue mwenyewe
 
Gharama kwa sasa sijui zikoje
but South Beach ndo ilikuwaga ya gharama zaidi kuliko beach zote kigamboni
Kijiji ilikuwa nafuu kidogo
halafu South Beach mbali kidogo
Kijiji pako karibu....

kuhusu uzuri inategemeana na mtu anavyopenda..
South Beach wana eneo kubwa hasa la parking
na mandhari kwa ujumla..eneo kubwa....
still mtu anaweza penda kijiji beach...inategemeana
inabidi mtu aende zote aamue mwenyewe
Mkuu naomba upitie maswali yangu yale mengine af unisaidie kujibu
 
Sijayaona
yarudie hapa
1:ukilipia pesa ya kiingilio south beach ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea au unalipa tena pesa nyingine ya kuogelea?


2:mkienda south beach kidarasa kama 80 hivi bei ya kiingilio mnashushiwa?


3:swimming pool zao kiujumla unazizungumziaje?

4:kuogelea mwisho saa ngapi

5:kuna sehemu pa kuchezea mziki?
 
1:ukilipia pesa ya kiingilio south beach ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea au unalipa tena pesa nyingine ya kuogelea?


2:mkienda south beach kidarasa kama 80 hivi bei ya kiingilio mnashushiwa?


3:swimming pool zao kiujumla unazizungumziaje?

4:kuogelea mwisho saa ngapi

5:kuna sehemu pa kuchezea mziki?


Dah maswali yako majibu yako mixed kidogo
Kijiji beach swimming pool ni ndogo sana
na mimi sikuona kiingilio kingine kwenye pool
but ....kawaida hizi beach zina taratibu tofauti siku za
weekend au siku za sikukuu....
unaweza kukuta jumamosi kuna kiingilio but ijumaa hakuna....

South beach nimeambiwa kuna kiingilio cha kuogelea pia...
South beach wana disco hadi hapo kwenye pool
Kijiji beach sikuona disco...

but then again....nimeenda zamani kidogo...
na kama nilivyokwambia siku za sikuukuu wana badili taratibu
sijui kuhusu group.....but i am sure unaweza ku negotiate
watu 80 ni wengi....unawapigia simu first
 
Mkuu naomba unijibu maswali haya

1:ukienda south beach kwa group kama 80 kiingilio wanapunguza?

2:na je south beach ukilipia kiingilio ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea

3:kuna vitu gani vya kuvutia south beach

4:kuogelea mwisho saa ngapi?
1 punguzo lipo
2 Hapana Chakula unajitegemea
3 Kuna swimming pool Vyumba vya kupumzikia bt Bei sijajua
Ktk swimming kuna Fry water

4 Any Time wee tuu

Mlinzi wa Ziada Ntausika welcome
 
Mkuu naomba ujibu maswali yangu niliyouliza
Mkuu kuna mdau alikuuliza mfuko wako umeupangaje? maana huku kuna beach za kimasikini na kitajiri
anyway list yangu hii japo kiuchache
Mikadi Beach Lodge
Barracuda beach resort
SandRocks Lodge
Hotel South Beach Resort
Changani Beach
Protea Hotel Amani Beach
kipepeo
kijiji beach
n.k


Nb. Ukitaka kulala
Mikadi Beach Lodge
69,000 TZS
Barracuda beach resort
54,387 TZS
SandRocks Lodge
50,000 TZS
Hotel South Beach Resort
180,563 TZS
Changani Beach Cottages
195,791 TZS
Protea Hotel Amani Beach
261,054 TZS
 
Gharama kwa sasa sijui zikoje
but South Beach ndo ilikuwaga ya gharama zaidi kuliko beach zote kigamboni
Kijiji ilikuwa nafuu kidogo
halafu South Beach mbali kidogo
Kijiji pako karibu....

kuhusu uzuri inategemeana na mtu anavyopenda..
South Beach wana eneo kubwa hasa la parking
na mandhari kwa ujumla..eneo kubwa....
still mtu anaweza penda kijiji beach...inategemeana
inabidi mtu aende zote aamue mwenyewe
South Nzur mkienda kama Camp Hii ni kutokana na Sehem kubwa na usalama wa Hari ya juu
 
1:ukilipia pesa ya kiingilio south beach ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea au unalipa tena pesa nyingine ya kuogelea?


2:mkienda south beach kidarasa kama 80 hivi bei ya kiingilio mnashushiwa?


3:swimming pool zao kiujumla unazizungumziaje?

4:kuogelea mwisho saa ngapi

5:kuna sehemu pa kuchezea mziki?
Gate entries ni tofauti na kuogelea labda kwenye bahari
Mkiwa wengi mnaweza kuongea nao na ndo wanavopenda coz hawaandiki kwenye ktabu hela wanapiga juu kwa juu
beach zote mziki upo inategemea na siku
 
Dah maswali yako majibu yako mixed kidogo
Kijiji beach swimming pool ni ndogo sana
na mimi sikuona kiingilio kingine kwenye pool
but ....kawaida hizi beach zina taratibu tofauti siku za
weekend au siku za sikukuu....
unaweza kukuta jumamosi kuna kiingilio but ijumaa hakuna....

South beach nimeambiwa kuna kiingilio cha kuogelea pia...
South beach wana disco hadi hapo kwenye pool
Kijiji beach sikuona disco...

but then again....nimeenda zamani kidogo...
na kama nilivyokwambia siku za sikuukuu wana badili taratibu
sijui kuhusu group.....but i am sure unaweza ku negotiate
watu 80 ni wengi....unawapigia simu first
Ze Boss Hapana

Ktk kiingilia siku za sikukuu ktk Swimming

Hakuna kiingiliao
 
Dah maswali yako majibu yako mixed kidogo
Kijiji beach swimming pool ni ndogo sana
na mimi sikuona kiingilio kingine kwenye pool
but ....kawaida hizi beach zina taratibu tofauti siku za
weekend au siku za sikukuu....
unaweza kukuta jumamosi kuna kiingilio but ijumaa hakuna....

South beach nimeambiwa kuna kiingilio cha kuogelea pia...
South beach wana disco hadi hapo kwenye pool
Kijiji beach sikuona disco...

but then again....nimeenda zamani kidogo...
na kama nilivyokwambia siku za sikuukuu wana badili taratibu
sijui kuhusu group.....but i am sure unaweza ku negotiate
watu 80 ni wengi....unawapigia simu first
Kuogelea buku 5 kijiji
 
Mkuu kuna mdau alikuuliza mfuko wako umeupangaje? maana huku kuna beach za kimasikini na kitajiri
anyway list yangu hii japo kiuchache
Mikadi Beach Lodge
Barracuda beach resort
SandRocks Lodge
Hotel South Beach Resort
Changani Beach
Protea Hotel Amani Beach
kipepeo
kijiji beach
n.k


Nb. Ukitaka kulala
Mikadi Beach Lodge
69,000 TZS
Barracuda beach resort
54,387 TZS
SandRocks Lodge
50,000 TZS
Hotel South Beach Resort
180,563 TZS
Changani Beach Cottages
195,791 TZS
Protea Hotel Amani Beach
261,054 TZS
Mkuu nitumie namba yako inbox nahitaji kufahamu vitu vingi zaidi
 
Back
Top Bottom